Alitumwa na Mwenyekiti wa CCMHalikuwa jambo la kiungwana. Wahusika mnisikie na kunielewa. Jana, pale Ikulu Chamwino kwenye utiaji saini mikataba mitatu ya uwekezaji katika Bandari ya Dar es Salaam kati ya Serikali/TPA na DP World vilirushwa vijembe kwa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC).
Tuliofuatilia tunajua kuwa pale ukumbini alikuwepo Askofu Liberatus Sangu kama mwakilishi wa TEC. Wahusika mkaanza kumtumia Mrisho Mpoto kurusha vijembe. Badala ya kughani au kuimba kama ilivyotarajiwa, Mpoto alitoa hotuba na kutamba alivyotaka.
Akadai kuwa kwakuwa mikataba sasa iko vizuri 'hata waliokuwa wanapinga wamehudhuria pale na watakula nao chakula'. Kila mmoja anajua kuwa waliotoa Tamko ni TEC. Na jana walikuwepo pale. Kwanini uwepo wao uonekane ni kuunga mkono mikataba iliyosainiwa jana?
Kiukweli, vijembe vya Mpoto na wengineo vilimkosesha amani na utulivu Askofu Sangu. Akajiweka 'busy' na kuchukua 'notes' huku akishindwa hata kuwatazama wazungumzaji au majirani zake. Askofu Sangu alikuwa kwenye wakati mgumu. Hakukuwa na haja ya mambo yale.
Kama maoni ya watanzania yamezingatiwa, tuonesheni mikataba iliyosainiwa jana!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Mpwapwa, Dodoma)
TEC walikuwa hawashindani na mtu wao walitaka mkataba boraUkiangalia kwa upana TEC wamechukua point 3
Usiwe kama kiazi, sababu za kuukataa walisema ina maana marekebisho yaliyosemwa jana hujaona au ndio kushupaza shingo tu?TEC ni wanafiki walifuata nini lkulu wakati waliukataa mkataba wa awali?
It is a lesson for them next time. WASIKURUPUKE.
Maboresho yapi hayo?Bila waraka wao hayo maboresho yangefanyika?
Mi naona ni ushindi mnene kwa TEC
. Tangu lini mrisho mpoto akawa na akili..Mrisho Mpoto n mtanzania pekee ambaye amepata ajira isiyo na mbambamba, yaani unaitwa toka nyumbani, wengi wetu tunsmuona mhe. Mrisho Mpoto akiongozana na waheshimiwa viongozi wa nchi lakini hatujui alivyopata ajira serikalini kwani kazi yake hatuielewi.
Siku ya jana Jumapili tarehe 22/10/2023 mhe. Mrisho Mpoto hatujui ni kwa mamlaka yake mwenyewe au kwa maelekezo aliamua kuwatolea uvivu maaskofu ea TEC baada ya kuingia kwenye anga zao waheshimiwa, mhe. Mrisho Mpoto akawapa za uso kuwa mlipinga lakini leo mmekuja na tutakula biriani la uarabuni pamoja, mhe. Mrisho Mpoto Mungu akubariki kwa kuwakaribisha biriani maaskofu wa TEC ambao sijui kama wanalijua biriani, pia Mungu akusimamie kwenye kazi yako uendelee kuwa na ujasiri huohuo.
ni ujinga wa huyo askofu kupata kichefuchefu alipasea atulie maana hayo ndio mafundisho yaoHalikuwa jambo la kiungwana. Wahusika mnisikie na kunielewa. Jana, pale Ikulu Chamwino kwenye utiaji saini mikataba mitatu ya uwekezaji katika Bandari ya Dar es Salaam kati ya Serikali/TPA na DP World vilirushwa vijembe kwa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC).
Tuliofuatilia tunajua kuwa pale ukumbini alikuwepo Askofu Liberatus Sangu kama mwakilishi wa TEC. Wahusika mkaanza kumtumia Mrisho Mpoto kurusha vijembe. Badala ya kughani au kuimba kama ilivyotarajiwa, Mpoto alitoa hotuba na kutamba alivyotaka.
Akadai kuwa kwakuwa mikataba sasa iko vizuri 'hata waliokuwa wanapinga wamehudhuria pale na watakula nao chakula'. Kila mmoja anajua kuwa waliotoa Tamko ni TEC. Na jana walikuwepo pale. Kwanini uwepo wao uonekane ni kuunga mkono mikataba iliyosainiwa jana?
Kiukweli, vijembe vya Mpoto na wengineo vilimkosesha amani na utulivu Askofu Sangu. Akajiweka 'busy' na kuchukua 'notes' huku akishindwa hata kuwatazama wazungumzaji au majirani zake. Askofu Sangu alikuwa kwenye wakati mgumu. Hakukuwa na haja ya mambo yale.
Kama maoni ya watanzania yamezingatiwa, tuonesheni mikataba iliyosainiwa jana!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Mpwapwa, Dodoma)
Mpoto amechanganyikiwa,alikuwa havai viatu sasa anavaa viatu.Ameshakiuka masharti ya maganga wake,kwaiyo tumpuuze tu!Halikuwa jambo la kiungwana. Wahusika mnisikie na kunielewa. Jana, pale Ikulu Chamwino kwenye utiaji saini mikataba mitatu ya uwekezaji katika Bandari ya Dar es Salaam kati ya Serikali/TPA na DP World vilirushwa vijembe kwa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC).
Tuliofuatilia tunajua kuwa pale ukumbini alikuwepo Askofu Liberatus Sangu kama mwakilishi wa TEC. Wahusika mkaanza kumtumia Mrisho Mpoto kurusha vijembe. Badala ya kughani au kuimba kama ilivyotarajiwa, Mpoto alitoa hotuba na kutamba alivyotaka.
Akadai kuwa kwakuwa mikataba sasa iko vizuri 'hata waliokuwa wanapinga wamehudhuria pale na watakula nao chakula'. Kila mmoja anajua kuwa waliotoa Tamko ni TEC. Na jana walikuwepo pale. Kwanini uwepo wao uonekane ni kuunga mkono mikataba iliyosainiwa jana?
Kiukweli, vijembe vya Mpoto na wengineo vilimkosesha amani na utulivu Askofu Sangu. Akajiweka 'busy' na kuchukua 'notes' huku akishindwa hata kuwatazama wazungumzaji au majirani zake. Askofu Sangu alikuwa kwenye wakati mgumu. Hakukuwa na haja ya mambo yale.
Kama maoni ya watanzania yamezingatiwa, tuonesheni mikataba iliyosainiwa jana!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Mpwapwa, Dodoma)
Tusubirini kauli ya TEC, naamini wataongea kitu, kushuhudia utiaji saini haimahanishi kuwa TEC wameridhia 100% mara nyingine hukudhuria hafla kama hizi huwa ni 'protocol' huwezi kualikwa ukakataa, itakuwa kuigomea serikali wakati bado una maslahi mengi kwao!Pongezi nyingi kwa TEC tumeona juhudi kubwa mlizofanya mpaka kukamilisha vyema suala nyeti la bandari
Hivi yule aliyevujisha IGA yuko wapi?inabidi ifanyike jitihada na hii mikataba ivujishwe tuone maoni waliyozingatia.Halikuwa jambo la kiungwana. Wahusika mnisikie na kunielewa. Jana, pale Ikulu Chamwino kwenye utiaji saini mikataba mitatu ya uwekezaji katika Bandari ya Dar es Salaam kati ya Serikali/TPA na DP World vilirushwa vijembe kwa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC).
Tuliofuatilia tunajua kuwa pale ukumbini alikuwepo Askofu Liberatus Sangu kama mwakilishi wa TEC. Wahusika mkaanza kumtumia Mrisho Mpoto kurusha vijembe. Badala ya kughani au kuimba kama ilivyotarajiwa, Mpoto alitoa hotuba na kutamba alivyotaka.
Akadai kuwa kwakuwa mikataba sasa iko vizuri 'hata waliokuwa wanapinga wamehudhuria pale na watakula nao chakula'. Kila mmoja anajua kuwa waliotoa Tamko ni TEC. Na jana walikuwepo pale. Kwanini uwepo wao uonekane ni kuunga mkono mikataba iliyosainiwa jana?
Kiukweli, vijembe vya Mpoto na wengineo vilimkosesha amani na utulivu Askofu Sangu. Akajiweka 'busy' na kuchukua 'notes' huku akishindwa hata kuwatazama wazungumzaji au majirani zake. Askofu Sangu alikuwa kwenye wakati mgumu. Hakukuwa na haja ya mambo yale.
Kama maoni ya watanzania yamezingatiwa, tuonesheni mikataba iliyosainiwa jana!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Mpwapwa, Dodoma)
Na wala hana huo uthubutu,'ANGE' is a useless word.huwa mnapenda ukweli ukiwa unabainisha mnayoyapenda ila ukweli ukiwa dhidi yenu hamuupendi.
Mpoto angetoa vijembe kwa serikali leo hii mngetoa nyuzi za kumuona shujaa.