Chawa MkuuMrisho peku ana Cheo gani CCM au Serikalini?!
Na sharti la waarabu ni kujenga misikiti eneo la kazi na haya wanaweza lazimisha huku Afrika tu na si ulaya,amerika...jiulize kama kisheria petrol station hakutakiwi msongamano wa watu inakuwaje misikiti inafumbiwa macho kujengwa?Kuna nguvu kubwa sana ya upotoshoji wa kiimani na sidhani kama hawajui.Kwa mtazamo wangu hili jambo limekuwa la kidini zaidi badala ya kuangalia maslahi ya Taifa.
Kuna watu wanalazimisha wawekezaji kwa kuangalia origin yao.
Hakika itapendeza wakitoka kauli.Tusubirini kauli ya TEC, naamini wataongea kitu, kushuhudia utiaji saini haimahanishi kuwa TEC wameridhia 100% mara nyingine hukudhuria hafla kama hizi huwa ni 'protocol' huwezi kualikwa ukakataa, itakuwa kuigomea serikali wakati bado una maslahi mengi kwao!