Utii wa sheria bila shuruti UMENAJISIWA na Polisi Tanzania? Wananchi tushtuke sasa kwani hatupo salama

Utii wa sheria bila shuruti UMENAJISIWA na Polisi Tanzania? Wananchi tushtuke sasa kwani hatupo salama

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Nisiwachoshe sana.
  1. Matukio ya watu kupotea ndani mikono ya polisi.
  2. Matukio ya watuhumiwa kuteswa na kutwezwa wakihojiwa na polisi
  3. Matukio ya mauaji ndani ya vituo vya polisi ni mengi
  4. Matukio ya watu kutekwa na vyombo vya dola kisha kutoweka ni mengi
  5. Matukio ya kutishia wakosoaji na kuwabambika kesi ili kuwanyamazisha ni mengi
  6. Dhamana ya kutoka mahabusu ya polisi ni baada ya rushwa na kuzungushwa
  7. Sasa unakuta, polisi wanatuma barua ya wito na raia anatii wito bila shuruti lakini anapofika kituo cha polisi anashughulikiwa kama mhalifu na si mtuhumiwa
Kwa mantiki hiyo, nawaasa raia wema
  • Usiitikie wito wa polisi ukiwa peke yako. Nenda na ndugu aua jamaa waliobeba dhamana.
  • Usikubali kuitikia wito wa polisi siku ya ijumaa maana wana mpango wa kukulaza ndani hadi jumatatu
  • Polisi wanapokuja kukukamata eneo lolote hakikisha PGO inahusika na watu wanaokuhusu wajulishe hapo hapo kabla hamjaenda kituoni.
  • Polisi yeyote mkamataji arekodiwe namba yake na jina lake. Pia tumia smart phone kumpiga picha na kutuma kwa jamaa zako ama waachie simu zako ili viwe ushahidi
  • Akija mtu kukukamata na akajitambulisha ni polisi huku akigomea kutoa utambulisho wake, piga kelele kuomba msaada maana huyo ni muuaji kama wauaji wengine
  • Hakikisha unajiweka mbali na jirani ambaye ni polisi. Polisi wengi ni wasaliti wa raia na siyo walinzi wa raia na mali zao
  • Unapokuwa kituo cha polisi kufuatilia dhamana ya jamaa yako hakikisha unawarekodi polisi wanaozungumza nawe kuhusu jamaa ama nduguyo
  • Vujisha taarifa za changamoto za polisi hapo kituoni kwa jamii ama watu wa karibu ili hatua zichukuliwe
  • Usimuamini polisi yeyote na usiamini uwapo mikononi mwa polisi kuwa upo salama
  • Kwenye simu yako weka S.O.S. namba za watu watatu unaoamini wanathamini uwepo wako.
SImama na Tanzania njema
Kataa CCM kwani inamiliki jeshi, polisi na TISS kwa maslahi yake na si ya nchi...

Msanii
 
Yaani siku hizi hata hujui anayekukama ni Polisi au ni wanywa damu.

Maana wote wanavitambulisho
 
Kama ni mkosoaji wa serikali, kwa sasa ni aheri ukutane na jambazi kuliko polisi mateka wa CCM.

Jambazi, kama una hela unaweza kulipatia, likakuachia ukiwa salama, maana linachokihtaka kutoka kwako ni hela tu, Lakini polisi mateka wa CCM wanachotaka ni roho yako, hawana haja na pesa kwani wana uhakika wa kuipata iliyo nono maradugu zaidi toka CCM watakapokuwa wamekamilisha uovu waliokusudia dhidi yako.
 
Polisi yeyote mkamataji arekodiwe namba yake na jina lake. Pia tumia smart phone kumpiga picha na kutuma kwa jamaa zako ama waachie simu zako ili viwe ushahidi
Tuanze kutembea na Microchip
 
Mfumo wa jeshi la polisi ni mbaya ukianza na elimu yao.
Mbaya zaidi hakuna chombo madhubuti cha kulisimamia jeshi la polisi.
Rais Samia unda chombo cha kusimamia jeshi la polisi kisichohusisha askari polisi.
 
Mfumo wa jeshi la polisi ni mbaya ukianza na elimu yao.
Mbaya zaidi hakuna chombo madhubuti cha kulisimamia jeshi la polisi.
Rais Samia unda chombo cha kusimamia jeshi la polisi kisichohusisha askari polisi.
Atanufaikaje sasa? Mfumo huo umetengenezwa kwa matakwa maalum
 
Kwa maneno mengine siku hizi ni vita au ugomvi Kati ya polisi na Raia… sio Kati ya Raia na Viongozi wa serikali…
Hongereni viongozi wa serikali Kwa kufanikiwa kuwauzia mechi hawa polisi- sasa kila corner ni polisi ndio wanalaumiwa… Pumueni Kwa sasa… inawezekana yajayo yatakuwa na mshindo mkuu..
 
Nisiwachoshe sana.
  1. Matukio ya watu kupotea ndani mikono ya polisi.
  2. Matukio ya watuhumiwa kuteswa na kutwezwa wakihojiwa na polisi
  3. Matukio ya mauaji ndani ya vituo vya polisi ni mengi
  4. Matukio ya watu kutekwa na vyombo vya dola kisha kutoweka ni mengi
  5. Matukio ya kutishia wakosoaji na kuwabambika kesi ili kuwanyamazisha ni mengi
  6. Dhamana ya kutoka mahabusu ya polisi ni baada ya rushwa na kuzungushwa
  7. Sasa unakuta, polisi wanatuma barua ya wito na raia anatii wito bila shuruti lakini anapofika kituo cha polisi anashughulikiwa kama mhalifu na si mtuhumiwa
Kwa mantiki hiyo, nawaasa raia wema
  • Usiitikie wito wa polisi ukiwa peke yako. Nenda na ndugu aua jamaa waliobeba dhamana.
  • Usikubali kuitikia wito wa polisi siku ya ijumaa maana wana mpango wa kukulaza ndani hadi jumatatu
  • Polisi wanapokuja kukukamata eneo lolote hakikisha PGO inahusika na watu wanaokuhusu wajulishe hapo hapo kabla hamjaenda kituoni.
  • Polisi yeyote mkamataji arekodiwe namba yake na jina lake. Pia tumia smart phone kumpiga picha na kutuma kwa jamaa zako ama waachie simu zako ili viwe ushahidi
  • Akija mtu kukukamata na akajitambulisha ni polisi huku akigomea kutoa utambulisho wake, piga kelele kuomba msaada maana huyo ni muuaji kama wauaji wengine
  • Hakikisha unajiweka mbali na jirani ambaye ni polisi. Polisi wengi ni wasaliti wa raia na siyo walinzi wa raia na mali zao
  • Unapokuwa kituo cha polisi kufuatilia dhamana ya jamaa yako hakikisha unawarekodi polisi wanaozungumza nawe kuhusu jamaa ama nduguyo
  • Vujisha taarifa za changamoto za polisi hapo kituoni kwa jamii ama watu wa karibu ili hatua zichukuliwe
  • Usimuamini polisi yeyote na usiamini uwapo mikononi mwa polisi kuwa upo salama
  • Kwenye simu yako weka S.O.S. namba za watu watatu unaoamini wanathamini uwepo wako.
SImama na Tanzania njema
Kataa CCM kwani inamiliki jeshi, polisi na TISS kwa maslahi yake na si ya nchi...

Msanii
TII SHURUTI BILA SHERIA!

Kutokana na hali halisi ya kutokea kwa matukio mabaya ya kutisha kwa Raia wanayofanyiwa na Jeshi la Polisi au wale 'jamaa zao wa karibu,' ni dhahiri kabisa kwamba Askari Polisi na Vituo vya Polisi Siyo sehemu salama Tena. Mtu kupata Wito wa Kuitwa katika Kituo Cha Polisi au kukamatwa na Askari Polisi ni sawa na 'Nusu ya Kukutana na Kifo'.
Aidha, Kitendo Cha mtu kukubali kuitika wito wa kufika katika Kituo chochote kile Cha Polisi au kukubali kukubali kuambatana na Askari Polisi kwenda katika Kituo Cha Polisi ni sawa sawa na Kukubali na kukipokea kifo chenyewe, kwa sababu uwezekano haupo kwa mtu huyo kurudi nyumbani akiwa salama au mzima mwenye afya, aidha atarudi akiwa maiti au asirudi kabisa na hata maiti yake isiweze kuonekana milele. Seriously, hali ni mbaya sana, hali siyo shwari hata kidogo, hatari kubwa Sana ipo mbele yetu. Watu wengi sana wamepoteza imani dhidi ya Jeshi la Polisi.
Kwa siku hizi ukisikia kwamba ndugu yako au jamaa yako amekamatwa na Askari Polisi basi anza kujiandaa kisaikolojia katika kuandaa mazishi yake au kuanua matanga yake ili kuhitimisha shughuli ya msiba wake. Hali inatisha.
 
Nisiwachoshe sana.
  1. Matukio ya watu kupotea ndani mikono ya polisi.
  2. Matukio ya watuhumiwa kuteswa na kutwezwa wakihojiwa na polisi
  3. Matukio ya mauaji ndani ya vituo vya polisi ni mengi
  4. Matukio ya watu kutekwa na vyombo vya dola kisha kutoweka ni mengi
  5. Matukio ya kutishia wakosoaji na kuwabambika kesi ili kuwanyamazisha ni mengi
  6. Dhamana ya kutoka mahabusu ya polisi ni baada ya rushwa na kuzungushwa
  7. Sasa unakuta, polisi wanatuma barua ya wito na raia anatii wito bila shuruti lakini anapofika kituo cha polisi anashughulikiwa kama mhalifu na si mtuhumiwa
Kwa mantiki hiyo, nawaasa raia wema
  • Usiitikie wito wa polisi ukiwa peke yako. Nenda na ndugu aua jamaa waliobeba dhamana.
  • Usikubali kuitikia wito wa polisi siku ya ijumaa maana wana mpango wa kukulaza ndani hadi jumatatu
  • Polisi wanapokuja kukukamata eneo lolote hakikisha PGO inahusika na watu wanaokuhusu wajulishe hapo hapo kabla hamjaenda kituoni.
  • Polisi yeyote mkamataji arekodiwe namba yake na jina lake. Pia tumia smart phone kumpiga picha na kutuma kwa jamaa zako ama waachie simu zako ili viwe ushahidi
  • Akija mtu kukukamata na akajitambulisha ni polisi huku akigomea kutoa utambulisho wake, piga kelele kuomba msaada maana huyo ni muuaji kama wauaji wengine
  • Hakikisha unajiweka mbali na jirani ambaye ni polisi. Polisi wengi ni wasaliti wa raia na siyo walinzi wa raia na mali zao
  • Unapokuwa kituo cha polisi kufuatilia dhamana ya jamaa yako hakikisha unawarekodi polisi wanaozungumza nawe kuhusu jamaa ama nduguyo
  • Vujisha taarifa za changamoto za polisi hapo kituoni kwa jamii ama watu wa karibu ili hatua zichukuliwe
  • Usimuamini polisi yeyote na usiamini uwapo mikononi mwa polisi kuwa upo salama
  • Kwenye simu yako weka S.O.S. namba za watu watatu unaoamini wanathamini uwepo wako.
SImama na Tanzania njema
Kataa CCM kwani inamiliki jeshi, polisi na TISS kwa maslahi yake na si ya nchi...

Msanii
SImama na Tanzania njema
Kataa CCM kwani inamiliki jeshi, polisi na TISS kwa maslahi yake na si ya nchi..💪🏿📌🔨.
 
Back
Top Bottom