Utii wa wanawake wa kisasa

Msingi wa mwanamke kumtii mwanaume uko katika mwanaume kumhudumia mwanamke, huna mamlaka ya kukitawala kiumbe usichokihudumia, mbona nilitumia kiswahili rahisi kabisa mkuu
Oohh hapo sawa
Uyo na wafuasi wake wakina Guantanamoh wanachangamsha genge tu kulinda character zao walizozijenga hapa jf ila nakuakikishia yote wanayoubiri humu ndani hawawezi ku-practice kwenye mahusiano yao
Alaa kumbe kuna wenzetu mpo humu jf kwa ajili ya kujenga character hongereni, yes hatuwezi kupractice haya tunayoyahubiri humu kwa sababu hatuwezi kudate na watu wenye mitazamo ya ajabu kama ya humu, haya mahubiri ya humu ni kwa ajili ya watu wasiojielewa kama ninyi ila wanaojielewa haya mahubiri hayawahusu
 
Kwahiyo unataka wanawake tunyanyasike na bado tuwatii?!!! Kila binadamu anazaliwa na utii, lakini likija suala la dharau, kejeli na manyanyaso sahau mtu kukutii.

Halafu nyie wanaume wa kibongo mnapenda KUABUDIWA km miungu watu.!!
 
Msingi wa mwanamke kumtii mwanaume uko katika mwanaume kumhudumia mwanamke, huna mamlaka ya kukitawala kiumbe usichokihudumia, mbona nilitumia kiswahili rahisi kabisa mkuu
Nimeelewa ndio maana nikauliza vp katika situation ambazo hamkai pamoja au na mwanamke ana uwezo wa kujihudumia? Kwamba mwanaume utawajibika kumgharamia kodi, chakula, mavazi n.k wakati hamuishi pamoja? Hata mke akiwa na kazi bado mwanaume anawajibika kuhudumia
Waliopo uko mtaani ndio hawa hawa wa jf. Wewe ni keyboard warrior tu ila mahubiri yako hauwezi kuya-apply kwenye mahusiano yako.
 
# ROCA FELLA

WANAWAKE KWA WANAUME NASHAURI MSIPENDE KUJENGA DHARAU, KIBURI, UBINAFSI, SIFA HAFIFU, KWA SABABU MAISHA YETU KWA UJUMLA HAPA ULIMWENGUNI NI MCHACHE ISITOKEE BINADAMU YEYOTE AKAKURINGIA NI KWA SABABU WOTE TUNA ONJA UMAUTI
 
Unajifanya kuwa na sauti na pesa huna!!! Aaah huo ni mtindio wa ubongo.
Shangaa na wewe!! Hata mataifa makubwa ili yawamiliki mataifa madogo lazima wawe na PESA.
Hivi nchi km Tanzania inaweza kumvimbia Marekani?? Awwwweh wanaume watafute PESA. Halafu hizi kelele huwezi kuzisikia kwa kina GSM ila hawa ving’ong’o wavivu wavivu 🤣🤣🤣🤣
 
Wewe hizo wine zishapanda kichwani, tulia embu🤣🤣🤣🤣
 
Tena hao wanautaka utumwa sio utii yaani akioa leo anavunjika mikono na miguu hata kikombe kiko karibu yake anataka umletee 🤨
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…