Ana mentality za kimasikini na kidangaji sana. Sasa nashindwa kumuelewa kuwa anachosimamia yeye kuwa mahusiano ni kitu gani?Aisee,
Kwa hiyo ili mwanaume apate utii atafute mwanamke tegemezi kiuchumi
Yeye anachodhania ni kuwa wanaume wanatafuta nidhamu ya uoga kwa mwanamke wao. Kila akielezwa yeye anapindisha maudhui. Anakera.It's the mentality behind, wanawake wengi ambao wamepata knowledge au wana privileged ya kuwa kwenye position flan ndo mentality zao! Hivi utii ni nini? Na kumtii mtu si lazma kuwe na gape kati yenu. Huwezi mwambia mtu mzima amtii kijana mdogo labda awe na wadhifa. Haya mimi sijabase kwenye dhana mbaya ya kutii, ila ile heshima ya kuona huyu ni mwanaume na mm ni mwanamke, sjui umenipata? Wanawake wengi wamepoteza ile quality sababu wanashindwa kutofautisha vitu natural kabisa mwanamke anapaswa kumtii mumewe sio kwa shuruti ila ndivyo ilivyo.
Sometimes shida sio mwanaume kushindwa kumhandle mwanamke, bali shida inakuwa ni mwanamke asiye na maadili na ambaye hajafundwa vizuri.Ukimuona tofauti na unavyotaka ujue umekosea kuchagua au hujamkaza na kumuongoza vizuri huyo.
Ukichagua vizuri ukamkaza vizuri, ukamuongoza vizuri atakutii hata usipotaka akutii.
Akili ya mwanamke ina rubuniwa au kupelekeshwa na vitu vingi sana especially mtandaoni.Mwanamke kumtii mwanaume ni kwa shurti mkuu wala msipindishe maneno ingekuwa siyo kwa shurti basi leo hii msingekuwa mnakesha kuupigania na kuulilia huo utii kwa nguvu, bali wanawake wote wangejikuta wanawapa tu utii wao wenyewe na mambo yangekuwa yanaenda smoothly tu, hapo kwenye hiyo heshima ya kuona kwamba "huyu ni mwanaume na mimi ni mwanamke" ndio ninapohoji msingi wake hapo yani msingi wa mwanaume kumtawala mwanaume uko kwenye nini hasa yani
Na ndio maana wengi wao huwa wanaishia kumegwa na kuachiwa mimba isiyo na baba na kutemwa.Haujajibu chochote ulikua unaluka luka tu unahisi swali lina mtego hata ivyo ulichojibu ni mwanaume fala ndio anaweza kukubali, yaani mnaishi sehemu tofauti(umepanga au upo kwa wazazi wako) au mnaishi pamoja halafu una ajira bado unataka mwanaume akuhudumie. kama unaishi kwenu wajibu wa baba ako ni upi?, kama hauna ajira na umepanga kwanini uliondoka kwenu?, kama una ajira na unataka kuhudumiwa kipato chako unapeleka wapi? Ni mwanaume fala ndio atakubali hayo matakwa yako labda tu kama lengo lake liwe kukutomba na kukuacha ndio atatoa hela kama chambo akishamaliza haja zake anaingia mitini ila kwa mentality yako kuwa na mahusiano ya maana sahau.
Na ndicho nilichomwambia kwenye uzi juu kule.Ukikuwa utaacha kuhoji. It's all about the laws of nature. Kuna vitu vipo hivyo tu kingine mwanamke kaumbwa hivyo kukubali kutawaliwa not in a bad way ila ni moja wapo ya feminine quality. Ukiona mwanamke anataka ku act kama mwanaume there's some imbalances.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kijana anajua balaa lako huyo, mtoto mdogo anataka mechi na maveterani, hivi si ataomba maji na kupungua kilo kwa mikiki utayomuelekeza kufanya. [emoji23][emoji23][emoji23]Aisee..dudu niliyoipata asubuhi hii ni ya viwango vingine kabisa...sent from heaven.
So mfano traffic anapokusimamisha na unatii unasimama, yule traffic anakuhudumia wewe?Hakuna cha kurukaruka hapo wewe unalazimisha mtu ajibu kile unachotaka kukisikia tu hata kama ni uongo, sasa kama unajua kwamba kila mtu anaishi kivyake na kujiwajibikia mwenyewe kwanini unataka mwanamke akutii, ni mwanamke desperate na mwenye low self esteem tu ndiye atakayekubali kumtii mwanaume asiyemuhudumia
Wanawake hawawezi kuwa uniform sababu hata namna wanavyoprocess taarifa na idea hawapo uniform bali wanakuwa emotional.Ni ninyi ndio mnaolazimisha kwamba wanawake wanapenda kutawaliwa yani siku hizi mmegeuka wasemaji wao, kama kutawaliwa ingekuwa nature basi wanawake wote duniani wangekuwa na uniform mentality wala msingehitaji kutumia nguvu kubwa kuwalazimisha hilo, ila the fact kwamba wanawake wamekuwa rebellious inadhihirisha kwamba hiyo siyo nature bali ni some sort of planted mentality labda kama hujui maana ya nature
Kwan mwisho wa siku huwa inakuwaje, unashangaa tu kitoto kinafanana na bosi wa mkeo. Na hampendi bosi wake. [emoji23][emoji23][emoji23]Si kweli kwani wote wanaowatii maboss wao ni kwamba wanawapenda, inawezekana kabisa kuwepo na utii pasipo upendo na pia upendo pasipo utii, mfano mzazi anampenda mtoto wake lakini hawezi kumtii
Kila mtu anamwambia the same comment na yeye bado anajaribu kujiaminisha kuwa si mbishi bali anawashinda hoja wanaume. [emoji23][emoji23][emoji23]Mbishi Sana wewe! Katika ukuaji wako mpk kufikia hapo let's take an example nyumbani nani uliyekuwa una mheshimu zaidi? Nani alikuwa yupo juu kwenye kutoa say hasa kwenye maamuzi magumu ya familia, nani aliyekuwa Kimbilio la kwanza mpatapo shida fulani? Usilete visingizio twende kwenye uhalisia wa mambo mwanaume atabaki kuwa kiongozi, protector na Provider. Mwanamke hata physiology yake tu haimfavor kuwa leader unless she's got money and power which kwa mapana haimfanyi kuwa leader ni vile tu nguvu ya pesa na nyadhifa ndo vina mpa kichwa. Tatizo wanawake(wasichana) wabishi sana sikuhizi ndo maana wanaishiwa kutumika tu.
Joyce kiria kawakalilisha kwamba utiifu ni utumwa.Wewe unatafsiri vipi neno kutii maana unaonekana unayo tafasiri yako pekee yako.
Ona akili zako zilivyo fupi. So una amini sababu za mwanamke kutawaliwa na mwanaume ni za kiuchumi, umeshafuatilia wanawake ambao wamejitafutia mafanikio wenyewe , kwann huwa wanahangaika na mapenzi tena?Wewe bila shaka hujaelewa kabisa hoja yangu nawe ndio wale wale tu wazee wa kukurupuka, mwanaume kumtawala mwanamke siyo nature bali ni kwa sababu za kiuchumi tu na si vinginevyo, kama mwanaume anamhudumia mwanamke ana mamlaka juu yake ila kama hamhudumii hana hayo mamlaka na huo ndio uhalisia
She's very much likes to assume the idea that a woman is a victim of some form of abuse ambayo hata yeye hajui ipoje. She's very delusional.Mbona unataka kwenda na concepts za slavery? We're not talking about kutawaliwa in sense kuwa mwanamke anakosa uhuru! Mentality yako imebase huko. Tunaongelea maisha halisi hapa. Usianze kubadilisha dhana ambayo wote tunayo kichwani. Kama wewe ni mwanamke halisi na hau hisi kuwa protected by a man nakuhakikishia unajidnaganya mwenyewe na unataka tu kukuza ego ambayo unayo kichwani. Trust me hii kama utaiapply maishani hakuna mwanaume ambaye atakuvumilia.
Actually its you not calling a spade a spade.Hebu naomba nifafanulie kwanza hiyo aina ya utawala unayomaanisha wewe maana naona unajaribu kuzunguka mbuyu tu hapa, wakati unachoongea kinaeleweka kabisa wala hakihitaji elimu ya rocket science, ni kama vile you are trying to call a spade a big spoon while it is just a spade so hebu nyoosha maelezo vizuri kwanza hapo