Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Mwanaume wako ndio ana tabia hizi? Mbona mtoa mada hajataja izo sifa popote. Nimekuona mara kadhaa unapenda kuchafua kwanza image ya wanaume kwa assumptions zako binafsi ndio utengeneze hoja, izo sifa ulizozitaja hata mwanamke anaweza kuwa nazo. Suala la mmong'onyoko wa maadili kwa wanawake ni tatizo kwa sasa tena hao wanaume wema ndio victims wakubwa ukilinganisha na bad boyz unaowasakama.Mwanaume mlevi, hatunzi familia, hamheshimu mkewe anamletea mahawara hadi ndani nae anastahili heshima? Nyie mna utaniπ€£
Dada angu tatizo lako unatoka sana nje ya mada. Wapi andiko hili limesema mwanamke anastahili kutendewa ubaya.πππbasi turudishe enzi za utumwa. Tujue moja.
Kwahiyo mwanamke anastahili kutendewa ubaya na kudharauliwa kwasababu ni mwanamke? Tf is wrong with this society?
_ Tatizo akili yako iko shallow to the point unashindwa kuelewa mambo. Ulicho kielewa sicho nilicho kiandika ( misinterpretation ), na hili ndio tatizo kubwa walilonalo mafeminist wote.[emoji23][emoji23][emoji23]basi turudishe enzi za utumwa. Tujue moja.
Kwahiyo mwanamke anastahili kutendewa ubaya na kudharauliwa kwasababu ni mwanamke? Tf is wrong with this society?
_ Tatizo akili yako iko shallow to the point unashindwa kuelewa mambo. Ulicho kielewa sicho nilicho kiandika ( misinterpretation ), na hili ndio tatizo kubwa walilonalo mafeminist wote.
_ Hakuna kiumbe kinachoishi duniani kinachostahili kutendwa ubaya, Ubaya unaexist sababu ya uwepo wa watu wabaya (that's human nature). I wrote " treated accordingly ". A man should be treated as a man, and a woman should be treated as a woman.
Wewe unavyokandamizaga wanawake hujioni? Wanawake wa JF mmewajengea uoga hata wa kujitetea wanadhani wakisema wataonekana feminists! WANAUME PIA MNATAKIWA MJIHESHIMU ILI MHESHIMIWE.Mwanaume wako ndio ana tabia hizi? Mbona mtoa mada hajataja izo sifa popote. Nimekuona mara kadhaa unapenda kuchafua kwanza image ya wanaume kwa assumptions zako binafsi ndio utengeneze hoja, izo sifa ulizozitaja hata mwanamke anaweza kuwa nazo. Suala la mmong'onyoko wa maadili kwa wanawake ni tatizo kwa sasa tena hao wanaume wema ndio victims wakubwa ukilinganisha na bad boyz unaowasakama.
Unafikiri hata wametujengea uoga basiii, tumewapuuza tu na kuwaacha wajipigie kelele zao wakichoka wakajitafute walipojisahau.Wewe unavyokandamizaga wanawake hujioni? Wanawake wa JF mmewajengea uoga hata wa kujitetea wanadhani wakisema wataonekana feminists!
Sitakujibu kwa namna ulivyonijibu lakin najua point yangu umeielewa. Mada inahusu mmong'onyoko wa maadili basi baki kwenye dhumuni la mada sio unaleta masuala ya kubakwa, ulevi, unyanyasaji ambayo hayahusiani na dhumuni la madaNdo maana wanaume siku hizi mnabakwa. Haya ona sasa umeparamia comment nliyokua namjibu mtu mwengine umeivaa wewe. Em jishkilie basi tulia kwenye tenga lako utafikiwa acha kiherehere
Jipeni moyo ivyo uko kwenye jukwaa love connect wenzenu walioinga 30+ wanatafuta mume ambae anapumua tu. Habari za hela, tall, dark, handsome tupa kuleUnafikiri hata wametujengea uoga basiii, tumewapuuza tu na kuwaacha wajipigie kelele zao wakichoka wakajitafute walipojisahau.
Mstari wa mwisho uwe pinned juu kabisa.Unafikiri hata wametujengea uoga basiii, tumewapuuza tu na kuwaacha wajipigie kelele zao wakichoka wakajitafute walipojisahau.
Kwanini ulevi na unyanyasaji usihusiane?? Kwani kina nani wanautenda? Si hao wanaodhani kwa kuwa wameumbwa wanaume basi dunia nzima iwatetemekee hata kama wanakosea,Sitakujibu kwa namna ulivyonijibu lakin najua point yangu umeielewa. Mada inahusu mmong'onyoko wa maadili basi baki kwenye dhumuni la mada sio unaleta masuala ya kubakwa, ulevi, unyanyasaji ambayo hayahusiani na dhumuni la mada
nilijua tu
πππππππ Ujambo wewenilijua tu
ππππ Acha basi ujue nn sasa et...
Kama nime sup jua kabisa your the source...usinichokoze ujue nitakutangaza humuππkwanza Lamomy alinambia umesapu uko chuoni kwako
nasemaje nitakutangaza wewe kijana πππusinivuruge ubongo ulokwisha vurugika huuKama nime sup jua kabisa your the source...
Maana yote haya umeyataka wewe ujue πππ
Kufanya hivyo ni kinyume cha kanuni. Washangazi wanajaribu hii principle kwa walamba midomo lakini wapi πMwanaume umtii mwanamke tena!!?? Msubutuuuu
Utajiroga mwenyewe! Sio kwa wanawake sie wa kileo
Kiasili Mwanamke ndie anapaswa kumtii mwanaume walamba lips njaa zitawamaliza!Kufanya hivyo ni kinyume cha kanuni. Washangazi wanajaribu hii principle kwa walamba midomo lakini wapi π