Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Tuvurugane tuu... nitangaze popote mi sawa tuunasemaje nitakutangaza wewe kijana 😂😂😂usinivuruge ubongo ulokwisha vurugika huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuvurugane tuu... nitangaze popote mi sawa tuunasemaje nitakutangaza wewe kijana 😂😂😂usinivuruge ubongo ulokwisha vurugika huu
huna cha kuputeza au sio,,sema nishukuru sana wewe akili zimeendana😂🖐🏾 that's why kila comment unani attackTuvurugane tuu... nitangaze popote mi sawa tuu
Nice couple alisema aslay...huna cha kuputeza au sio,,sema nishukuru sana wewe akili zimeendana😂🖐🏾 that's why kila comment unani attack
hili nalo ka jinga vileNice couple alisema aslay...
😂😂😂😂😂😂😂
Haya umeshindaKwanini ulevi na unyanyasaji usihusiane?? Kwani kina nani wanautenda? Si hao wanaodhani kwa kuwa wameumbwa wanaume basi dunia nzima iwatetemekee hata kama wanakosea,
Hii comment yako akiiona Jadda umekwishaKiasili Mwanamke ndie anapaswa kumtii mwanaume walamba lips njaa zitawamaliza!
Sio single mama tu,sema single mama wenye vielimu vya kuanzia bachelor na kuendelea...Well said mkuu.
Me wanachonishangaza ni kitu kimoja, Kuwa na tabia njema ni sifa ya kuonyesha umelelewa vyema. Its like unawapa maua yao wazazi/walezi wako indirectly. Ila mabinti at their 20's wanashindana kuonekana hawana tabia nzuri kwa jamii as if ni jambo jema, which is very weird.
Ukikuta na hawa single mama at their late 30's nao wamevamia hoja za feminist bila kuchambua kwa ufasaha ndo utazidi kuchoka.
Umeongea ukweli dada angu. Nje ya mada kidogo huyu Smart911 naonaga mnatajana sana kila comment humu ndani hivi huwa unampa kweli au ni mshika pembe wa jf tu.
Nikikuambia una akili nyingi huwa unakataa 🤔Acheni hizi porojo zenu msingi wa mwanamke kumtii mwanaume uko katika mwanaume kumhudumia mwanamke huwezi kukitawala kiumbe usichokihudumia, kinachofanya wanawake wengi wa dunia ya leo kutokuwatii wanaume wao ni kile kitendo cha wao nao kuanza kujitafutia pesa na mali zao bila kuwategemea wanaume, hata mimi huwa nasema humu kama mwanaume anamhudumia mwanamke basi shurti huyo mwanamke amtii hiyo siyo hiyari bali lazima, ila kama mwanaume hawajibiki kwa lolote kwa mwanamke wake halafu anataka utii basi mtaendelea kulalamika na kutukana hadi mwisho wa dahari, huku mkisubiri mwanamke awe 'reject' ndio awe na utii
Nataka penzi lako jamani nyege zitaniua 😔Poor Brain naona kuna kijana ana dislike comments zetu apo unamuelewa kweli😂😂
eti wewe Django doer vipi bwana
Mkuu umeadimika sana why?Kwa nini mtu akienda tofauti na unavyotaka unaishia kutoa maneno ya kudhalilisha? Nimekuona mara kadhaa ukishindwana na mtu unaanza kumuattack hii haijakaa poa.
Sio lazima ukubalike na kila mtu ms R😁Poor Brain naona kuna kijana ana dislike comments zetu apo unamuelewa kweli😂😂
eti wewe Django doer vipi bwana
ebu wataalam mfundsheni uju wakuja jinsi ya kuomba kucheza x naona kachanganyikiwa ukuNataka penzi lako jamani nyege zitaniua 😔
Na mwanamke asiye na heshima atatembea mpaka na mme wa dada yakeView attachment 3011801
Yani hata aje nani anielezee. Wanaume wenye matendo kama haya acha wapumzike tu kwa amani. HAWASTAHILI HESHIMA! Period ..
nyinyi mna kandamiza wanawake kwa kisingizio cha kwamba wakijitetea basi wao ni mafeminist. Kwenye ndoa lazima heshima iwepo. Mwanaume asipo kuwa na heshima na mkewe ndo hivyo analala hadi na mashemeji zake wagonjwa atalala hadi na mkwewe.
Aisee iteni majina yote ila mwanaume asiejiheshimu hastahili heshima. Pelekeni undezi hukoo
huyo anayake tu,, alkua ananikubali ila kuona tu text zangu na Poor Brain kaanza dislike 😆😂Sio lazima ukubalike na kila mtu ms R😁
I luv yu 😘huyo anayake tu,, alkua ananikubali ila kuona tu text zangu na Poor Brain kaanza dislike 😆😂