Utitiri wa michango shule zetu za Msingi na Sekondari inaashiria nini?

Utitiri wa michango shule zetu za Msingi na Sekondari inaashiria nini?

Hero

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2010
Posts
3,932
Reaction score
2,839
Tangu Magu atutoke (rest in peace our hero), tumeshuhudia utitiri wa michango kwenye shule zetu za elimu bure tena isiyo na stakabadhi halali ya Serikali pindi ulipapo.

Mara mchango wa Maji ya kuflash vyooni (wasilete kwenye vidumu bali cash). Mara mchango wa mitihani/majaribio! Mara ya ujenzi.

Tatizo ni nini? Si mseme tu kama mmeshindwa kuvaa boot za shujaa wetu mrudishe tu ada na michango mliyokuwa mnatuchangisha na kusababisha utoro mwingi mashuleni?

Mfyuuuuuuuuuu!
 
Hahaaa! Buti la lakuchumpa halina garama
Kuna shule ya msingi wanachangisha elfu 5 kila mwezi ya nauli na walimu na chakula ili kufundisha wanafunzi jioni....
Sasa wazazi wakihoji hawapewi data kamili pesa hiyo inatumikaje Mwendazake kuna mambo aliweka usawa na haki japo sio yote.
 
Tangu Magu atutoke (rest in peace our hero), tumeshuhudia utitiri wa michango kwenye shule zetu za elimu bure tena isiyo na stakabadhi halali ya Serikali pindi ulipapo.

Mara mchango wa Maji ya kuflash vyooni (wasilete kwenye vidumu bali cash). Mara mchango wa mitihani/majaribio! Mara ya ujenzi.

Tatizo ni nini? Si mseme tu kama mmeshindwa kuvaa boot za shujaa wetu mrudishe tu ada na michango mliyokuwa mnatuchangisha na kusababisha utoro mwingi mashuleni?

Mfyuuuuuuuuuu!
Muhamishe hiyo shule
 
Tangu Magu atutoke (rest in peace our hero), tumeshuhudia utitiri wa michango kwenye shule zetu za elimu bure tena isiyo na stakabadhi halali ya Serikali pindi ulipapo.

Mara mchango wa Maji ya kuflash vyooni (wasilete kwenye vidumu bali cash). Mara mchango wa mitihani/majaribio! Mara ya ujenzi.

Tatizo ni nini? Si mseme tu kama mmeshindwa kuvaa boot za shujaa wetu mrudishe tu ada na michango mliyokuwa mnatuchangisha na kusababisha utoro mwingi mashuleni?

Mfyuuuuuuuuuu!
Hakika Chief Hangaya elimu bure imemshinda. Form four wanalipishwa elfu 45 kila mwezi ili wafundishwe hapa kigoma mjini. Miezi sita ( 45,000 x 6=270,000). Elimu bure iko wapi?
 
Hakika Chief Hangaya elimu bure imemshinda. Form four wanalipishwa elfu 45 kila mwezi ili wafundishwe hapa kigoma mjini. Miezi sita ( 45,000 x 6=270,000). Elimu bure iko wapi?
Pengine hiyo hela kwa ajili ya remedial

Sasa unataka mwalim abaki nje ya masaa ya kazi na bado asipewe motisha ungekua wewe ungeweza fanya kazi kwa moyo??

Kama mnaona sio vizuri msitoe na hizo remedial pengine zifutwe
 
Sasa hivi kila kitu hakikuwepo wakati wa Magufuli,ipo siku mtasema hata kukata gogo mlikuwa hamuendi wakati wa Magufuli.
 
Tangu Magu atutoke (rest in peace our hero), tumeshuhudia utitiri wa michango kwenye shule zetu za elimu bure tena isiyo na stakabadhi halali ya Serikali pindi ulipapo.

Mara mchango wa Maji ya kuflash vyooni (wasilete kwenye vidumu bali cash). Mara mchango wa mitihani/majaribio! Mara ya ujenzi.

Tatizo ni nini? Si mseme tu kama mmeshindwa kuvaa boot za shujaa wetu mrudishe tu ada na michango mliyokuwa mnatuchangisha na kusababisha utoro mwingi mashuleni?

Mfyuuuuuuuuuu!
ELIMU BORA NI INAYOLIPIWA MKUU,,

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
ELIMU BORA NI INAYOLIPIWA MKUU,,

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
bila receipt ya malipo? bila kutimiza matarajio ya malipo husika?
Unaweza kulipia pia kitu fake mkuu! Na kama tunalipia basi waweke taratibu za kutoa control number au receipt za electronic i see! Otherwise ni mradi mwingine wa hao wanaowaagiza kificho!
 
Muhamishe hiyo shule
kote hivyohivyo mkuu! walimu ni kama fungulia dog! Lete 200 kila siku usipoleta hakuna kufanya majaribio! Mara lete 400/= ya maji kila kila siku usipoleta kichapo! hakuna cha receipt ya malipo wala nini!
 
Pengine hiyo hela kwa ajili ya remedial

Sasa unataka mwalim abaki nje ya masaa ya kazi na bado asipewe motisha ungekua wewe ungeweza fanya kazi kwa moyo??

Kama mnaona sio vizuri msitoe na hizo remedial pengine zifutwe
Naona limekupiga jiwe la gizani mkuu! Tafuteni namna nyingine ya kuongeza kipato I see! Masaa yote ya kawaida mpo na watoto wetu kweli hayatoshi? Mbona mnawakomaza watotot wetu ,apema hivyo!
Tena utakuta na wengine wanalazimisha mpaka na 'boarding" ebo!
 
Sasa hivi kila kitu hakikuwepo wakati wa Magufuli,ipo siku mtasema hata kukata gogo mlikuwa hamuendi wakati wa Magufuli.
kwa hili la vijimichangochango vya mauza uza havikuwepo!
 
Kuna Watanzania bado ni wajinga sana. Hivi nani kakuambia kuna cha bure chenye thamani? Kuna mtoto yeyote wa Magufuli anasoma hizo shule zenu? Uko tayari utoe mchango wa harusi 100k lakini si 1000/= ya mtoto afanye test? Huo ni ukosefu wa fikra.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
ujinga unao ww! elimu bure inayolipiwa na serikali haina maana ni buree bwelele...tunailipiwa watz wote kwa kodi zetu!
pia ujinga unao ww! hao watoto wanaosoma huko sio vilaza na wanatusua sana tu wakifika vyuoni! Yes, wapo watoto wa Magu kwenye shule hizi!
 
Utakuwa mpiga dili na mvivu. Hela ndogo km hiyo unashindwa kulipa?
Mafisadi na majizi yanapata shida sana awamu hii.
Utakuwa una cheti feki, umefukuzwa kazi unalia mtaani.
hayo na yakurudie wewe mwenyewe na vizazi vyako!
Ww ni mvivu wa kufikiri, elewa mantinki ya uzi kwanza kabla ya kubwabwaja! Sijasema siwezi kulipa...lah hasha, ila wa nataka waseme tu hadharani kuwa wameshasalimu amri...hawana uwezo wa kuiishi elimu bure na hivyo wazazi tujichange wenyewe kwa utaratibu unaoeleweka! Sio kwa mtindo huu wa kuchapachapa vitoto kisa hakuja na 200 ambao haiwezi kuwa 'accounted for'!
 
😂😂😂😂 La kuchumpa la kumpa rama,,, No 45 kwa mguu no 35
 
Sasa hivi kila kitu hakikuwepo wakati wa Magufuli,ipo siku mtasema hata kukata gogo mlikuwa hamuendi wakati wa Magufuli.
Wajinga Sana Hawa misukule ya dikteta,

Huyo dikteta wao wamemfanya mungu wao
 
Back
Top Bottom