Utitiri wa michango shule zetu za Msingi na Sekondari inaashiria nini?

Utitiri wa michango shule zetu za Msingi na Sekondari inaashiria nini?

Hakika Chief Hangaya elimu bure imemshinda. Form four wanalipishwa elfu 45 kila mwezi ili wafundishwe hapa kigoma mjini. Miezi sita ( 45,000 x 6=270,000). Elimu bure iko wapi?
Huyo mwalimu wa kulipwa hio pesa yuko wapi syllubus ni wajibu kuimaliza kwa wakati pia kama mwalimu ni utopolo na muda wa ziada pia akufundishe huyohuyo utopolo? Bora ya makambi ya Mtaka unapata walimu Konki ndio wanapika vijana.
 
Kuna Watanzania bado ni wajinga sana. Hivi nani kakuambia kuna cha bure chenye thamani? Kuna mtoto yeyote wa Magufuli anasoma hizo shule zenu? Uko tayari utoe mchango wa harusi 100k lakini si 1000/= ya mtoto afanye test? Huo ni ukosefu wa fikra.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Itachukua muda sana kuja kuondoa ujinga uliojazwa kwenye vichwa vya watanzania na mwendazake
 
Mlikuwa mkidanganywa; serikali haina huo uwezo wa kuprovide the whole necessities kwenye elimu. Kimsingi Serikali iliweza ku provide machache lkn siyo yote. Wakati wake hakutaka hayo yajulikane lkn lilikuwa ni bomu ambalo lingeripuka baadae kidogo.
ndugu, vyovyote vile, huu upuuzi haukuwepo kwa kuwa hata pesa ilipofika mashuleni iliogopwa kutafunwa kiholela na mambo yalikwenda! basic issues za kuwezesha elimu kupatikana zilikuwa addressed! Kama hii kwa sasa siyo sustainable ni jambo la maana zaidi kutuweka wazi ili raia huku wajifunge mkanda kuyatimiza majukumu yao individually!
 
hivi ww mbona mkuda sana, unakereka nini mtu kuchangia harusi! Hayo ni matumizi yake halali ya hela yake mwenyewe mwalimu vipi? Ni maamuzi yake huru, na haimaanishi kwa kuwa kachangia harusi basi umuibie kwa kumuwekea mcchango usiokuwa na mbele wala nyuma.
Ww mwenyewe ulichangiwa harusi, au umesahau ulivyokuwa unabembeleza watu wakuchangie na ulivyoweka bifu na wale walioshindwa kukuchangia!
swala siyo 200 bali ni kero inayoambatana na michango ya kinyemela isiyoratibiwa. Unataka kusema kwa sasa shule hazina fungu la kuwezesha wanafunzi kutahiniwa. Yaani ktk hayo ma 'trilioni' yaliyotakiwa kupelekwa mashuleni hakuna badget ya majaribio?
Kama hivyo ndivyo basi waziweke kwenye ada tutatoa lakini siyo wizi wa kupumbafu huu wanaofanya na kuwasumbua watoto wetu hata kuwachapa!
ww una mtindio wa ubongo ww! Aliyekuambia huwezi kutoa jaribio ubaoni na wanafunzi wakaandika kwenye daftari maalumu la majaribio ni nani vile! Hakuna cha photocopy wa bibie copy hapo huu ni upigaji mpya, na ni wizi kama ulivyo wizi mwingine!
Isitoshe ili kuhakikisha kuwa lengo la mchango siyo kumpima mtoto unakuta majaribio yenyewe yanafanyika ili liende na hakuna tija ktk hayo majaribio!
Yaani uandike jaribio ubaoni?
Hiyo itakua ni exercise au jaribio?

Au itakua ni Quiz na sio jaribio

Huko mashuleni kuna hali mbaya sana huwezi amka from no where unasema nataka nitoe copy niwape wanafunzi jaribio

Utaambiwa pepar za printing hamna au utaambiwa wino umeisha au utaambiwa wasubili midterm au terminal

Sasa wewe kama mwalim huwezi subili paka midterm lazima utafute alternative wanafunzi wafanye jaribio

Yaani ndio maana private school zitazidi kuongoza kuliko shule za umma

Maana mambo yenyewe ndio hayo sasa mzazi analalamika sh.200 ya jaribio[emoji23][emoji23].

Nyie ndio wazazi mkiitwa na uongozi wa shule jaman hakuna mwalim wa somo fulani pengne Physics au mathematics mkiambiwa changieni hata 1000 kila mwezi kwa kila mzazi ili mtafutiwe walimu wa kusaidia watoto wenu mnabaki mnalalamika.

Mnabaki msubili paka serikali iajiri

Hapo anaeumia ni pengne mtoto wako na sio serikali.

So ni the same to hayo majaribio mwalimu hawezi kaa kujitesa kuandika ubaoni

Kwanza akiandika ubaoni kuna vitu kwenye jaribio kama alitaka viwepo anaweza kuviskip maana unaweza andika ubao mzima na usitoshe

Kutokana na ulichotaka kupima
 
Bure gharama nyie wazazi...

Sasa kama wako kambi unataka wale nyasi.
Ndio hapo sasa na siku hizi madarasa ya mtihan wanakua na kambi kwa baadhi ya shule

Sasa unataka wale nini huko kambi

Ila kuna wazaz ni pasua kichwa
 
Yaani uandike jaribio ubaoni?
Hiyo itakua ni exercise au jaribio?

Au itakua ni Quiz na sio jaribio

Huko mashuleni kuna hali mbaya sana huwezi amka from no where unasema nataka nitoe copy niwape wanafunzi jaribio

Utaambiwa pepar za printing hamna au utaambiwa wino umeisha au utaambiwa wasubili midterm au terminal

Sasa wewe kama mwalim huwezi subili paka midterm lazima utafute alternative wanafunzi wafanye jaribio

Yaani ndio maana private school zitazidi kuongoza kuliko shule za umma

Maana mambo yenyewe ndio hayo sasa mzazi analalamika sh.200
Yaani uandike jaribio ubaoni?
Hiyo itakua ni exercise au jaribio?

Au itakua ni Quiz na sio jaribio

Huko mashuleni kuna hali mbaya sana huwezi amka from no where unasema nataka nitoe copy niwape wanafunzi jaribio

Utaambiwa pepar za printing hamna au utaambiwa wino umeisha au utaambiwa wasubili midterm au terminal

Sasa wewe kama mwalim huwezi subili paka midterm lazima utafute alternative wanafunzi wafanye jaribio

Yaani ndio maana private school zitazidi kuongoza kuliko shule za umma

Maana mambo yenyewe ndio hayo sasa mzazi analalamika sh.200 ya jaribio[emoji23][emoji23].

Nyie ndio wazazi mkiitwa na uongozi wa shule jaman hakuna mwalim wa somo fulani pengne Physics au mathematics mkiambiwa changieni hata 1000 kila mwezi kwa kila mzazi ili mtafutiwe walimu wa kusaidia watoto wenu mnabaki mnalalamika.

Mnabaki msubili paka serikali iajiri

Hapo anaeumia ni pengne mtoto wako na sio serikali.

So ni the same to hayo majaribio mwalimu hawezi kaa kujitesa kuandika ubaoni

Kwanza akiandika ubaoni kuna vitu kwenye jaribio kama alitaka viwepo anaweza kuviskip maana unaweza andika ubao mzima na usitoshe

Kutokana na ulichotaka kupima
seriously, unasema kuandika jaribio ubaoni ni kujitesa, na haiwezekani!? ama kweli dunia inakwenda kwa speed ya 5G!
Nikuombe unielewe, sina tatizo na kulipia elimu...ila nina tatizo ni utaratibu unaotumika wa kiholela!
weye mwl kama unajitambua na unaipenda na kuimudu kazi yako, huwezi ukasubiri kuwa shitukiza watoto wakuletee 200 kila siku kwa kazi unayoijua. Ulitakiwa ufanye upembuzi na uje na reasonable budget ya mwaka mzima, kisha muingejengee hoja na walimu wenzio ili iwe 'included' kwenye budget ya shule na iwe 'reflected' kwenye ada inayolipwa oficially! Siyo huu uhuni wa malipo yasiyo na lisit, vinginevyo waanzishe vijiwe vya tuisheni tukawalipe huko kwa njaa zao!
 
Ndio hapo sasa na siku hizi madarasa ya mtihan wanakua na kambi kwa baadhi ya shule

Sasa unataka wale nini huko kambi

Ila kuna wazaz ni pasua kichwa
msitufanye sisi hatukupitia shule, ni usanii tupu huu! mwalimu akitimiza wajibu wake ndani ya muda uliopangwa wa shule hayo mengine yote wala hayahitajiki! Sisi pia tulikuwa wanafunzi na tulifaulu pasipo kupitia sarakasi hizi!
 
Magu aliwaambia zaeni nchi hii ni tajiriiiii,elimu ni buuuuuuuuuuure.
naamu na tunazaaana kwerikweri! Kwa hiyo wasituzingue hawa na mamichangochango uchwara, kama vipi warudishe ada tulipie wenyewe na watueleze hayo matrilion ya elimu bure watayapereka wapi!?
 
Napendekeza hiyo michango ibadilishwe jina iitwe tozo, itasaidia kupunguza kero
 
Mtoto ulimzaa mwenyewe kwa raha zako, linapokuja suala la kubeba majukumu unataka serikali ikusomeshee bure, Pumbavu.
rekebisha mtazamo ndugu utanielewa! Serikali yenyewe ndio iliamua kuubeba huo mzigo, na wazazi (waliowengi) hawajashindwa kuubeba), shida ni wezi hawa wanaoiba 200 kwa siku kwa kila mwanafunzi! Zinatakiwa kuratibiwa ili ziingizwe kwenye mfumo rasmi!
 
Umeona eee? Mi nawaangalia tu wanavyohangaika na unafiki wao, UONGO MTUPU!!!!!!
uongo na unafiki gani huo unaouongelea! nenda mashuleni ukajiridhishe!
 
Kikubwa ni kulipa tu mtoto asisumbuliwe
patachimbika I see! waweke utaratibu mzuri tena tumekuwa tukiambiwa 'ukilipa/kununua dai lisit, ukiuza toa lisit, haya tunayaishi huko kitaa I see kwa uzalendo wa nchi yetu!
 
Itachukua muda sana kuja kuondoa ujinga uliojazwa kwenye vichwa vya watanzania na mwendazake
Inachukiza sana. Kama wangejua hao watoto wao wanavyosoma hata wasingethubutu kuandika. Mimi nilishaapa ikiwa ni mzima wa afya mwanangu hawezi soma shule za serikali, kwa sababu kuna mambo ya ajabu sana.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
naona umejihoji na kujijibu mnyewe, uko vizuri mkuu! unajua ukiangalia kwa jicho la ubinafsi huwezi ona tatizo la huu upuuzi wa michango isiyoratibiwa! Lakini ukiangalia kwa jicho lenye 'inclussivity' utagundua ubinafsi kwa hao wanaoiendekeza michango hiyo na adha kwa kundi hilo la pili! Mie sioni shida kuilipa hela yote ya vijimichango hivyo kwa mkupuo kama wangekuwa wameiratibu vizuri na iwekwe oficially!
Twende mbele turudi nyuma kweli mzazi unashindwa kulipa shilingi 200 kwa ajili ya mwanao ila upo tayari umlipie mchepuko kodi ya pango miezi 6 na mazagazaga juu.

Lakini pia wale watoto ambao hawana wazazi ila wana walezi tu ama hawana kabisa wazazi wala walezi na wanaotoka mazingira magumu hiyo michango wataimudu vipi?

So sad.
um
 
Sina uhakika ila naamini ni za remedial inshort mwalimu atemane na mambo mengine akae na mwanao baada ya masaa ya kazi
kama mwalimu kashindwa kuwasilisha na kueleweka maada kwa wanafunzi kwa kipindi kilichowekwa oficially sidhani kama kuendelea kumng'ang'ania mtoto kwa masaa ya ziada kuna jita yoyote! Mtoto anahitaji kupata muda wa kucheza na kuwa na familia yake pia!
 
msitufanye sisi hatukupitia shule, ni usanii tupu huu! mwalimu akitimiza wajibu wake ndani ya muda uliopangwa wa shule hayo mengine yote wala hayahitajiki! Sisi pia tulikuwa wanafunzi na tulifaulu pasipo kupitia sarakasi hizi!
Ndugu mimi nakuona kama mtu usiyeweza kufikiri na kutazama vitu kwa undani kama ni kinyume chake wewe ni mtu mwenye roho ya kwani.

Hebu fikiri nimetembelea shule moja ya sekondari nimeonyeshwa madarasa sita ya kidato cha kwanza yenye jumla ya wanafunzi 900. Wastani 150 kwa darasa. Wengine wako chini wengine wamekaa.

Ni mwalimu gani mwenye uwezo wa kufundisha na kutatua tatizo la uelewa la wanafunzi 150 kwa dakika themanini? Kwa msingi huu unafikiri hiyo serikali imetimiza wajibu wake wa kumwekea mazingira bora huyo mwalimu ya kufundisha? Nikiwa kama mzazi niliumia sana. Sasa mzazi wewe huoni kwamba kuna tija ya njia mbadala kusaidiwa mwanao? Bishana upendavyo ila tambua elimu bure bila serikali kuweka misingi madhubuti ni kuendelea kuhatarisha elimu ya watoto wetu.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu mimi nakuona kama mtu usiyeweza kufikiri na kutazama vitu kwa undani kama ni kinyume chake wewe ni mtu mwenye roho ya kwani.

Hebu fikiri nimetembelea shule moja ya sekondari nimeonyeshwa madarasa sita ya kidato cha kwanza yenye jumla ya wanafunzi 900. Wastani 150 kwa darasa. Wengine wako chini wengine wamekaa.

Ni mwalimu gani mwenye uwezo wa kufundisha na kutatua tatizo la uelewa la wanafunzi 150 kwa dakika themanini? Kwa msingi huu unafikiri hiyo serikali imetimiza wajibu wake wa kumwekea mazingira bora huyo mwalimu ya kufundisha? Nikiwa kama mzazi niliumia sana. Sasa mzazi wewe huoni kwamba kuna tija ya njia mbadala kusaidiwa mwanao? Bishana upendavyo ila tambua elimu bure bila serikali kuweka misingi madhubuti ni kuendelea kuhatarisha elimu ya watoto wetu.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Na hii ndio hali halisi mashuleni

Bora umeongea
 
Tangu Magu atutoke (rest in peace our hero), tumeshuhudia utitiri wa michango kwenye shule zetu za elimu bure tena isiyo na stakabadhi halali ya Serikali pindi ulipapo.

Mara mchango wa Maji ya kuflash vyooni (wasilete kwenye vidumu bali cash). Mara mchango wa mitihani/majaribio! Mara ya ujenzi.

Tatizo ni nini? Si mseme tu kama mmeshindwa kuvaa boot za shujaa wetu mrudishe tu ada na michango mliyokuwa mnatuchangisha na kusababisha utoro mwingi mashuleni?

Mfyuuuuuuuuuu!
Your hero!!! Not our hero !!! Tusheshimiane!!! Aisee!!!
Kama unafikiri elimu ni ghali jaribu ujinga!!!
 
kote hivyohivyo mkuu! walimu ni kama fungulia dog! Lete 200 kila siku usipoleta hakuna kufanya majaribio! Mara lete 400/= ya maji kila kila siku usipoleta kichapo! hakuna cha receipt ya malipo wala nini!
Lipa acha kulialia
 
Back
Top Bottom