min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Huna uthibitisho wa unacho kiongea zaidi ya maneno ya kiimani tu ambayo kila maelfu ya dini na imani wana maneno yao ya kiimani kama wewe tu ,ambayo pia yanapingana na yako.Kifo ni laana na matokeo ya uasi Kwa Mungu, kifo ni kutenganishwa na Mungu milele, lakini Yesu alikuja Ili tupate kuishi milele.
Yeye kifo hakikuweza kumzuia