Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Dhamira ya kumkanyaga ilikuwepo?Ulimuona?hata ukimkanyaga sisimizi ni dhambi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dhamira ya kumkanyaga ilikuwepo?Ulimuona?hata ukimkanyaga sisimizi ni dhambi
😁😁😁Unanitishia?Wewe ni mtoto mdogo sana, Biblia imeandikwa miaka maelfu, usimkufuru Mungu mapema hivi wakati Bado kijana. Heri ukae kimya, Mungu hadhihakiwi
Alikua akiwa kama askari, there is sheria ya vita lakini kuua damu isio na hatia ni Dhambi. Daudi alikua askari hodari na shupavu na Mungu alimshidia vita vyote. Askari kazi yake ni kulinda na kupigana vita.
Anasema kweli😁😁😁Unanitishia?
Mungu hutoa na huchukua, yeye ndie mwenye mamlaka yote, Sovereign God. Lolote atakalo anaweza kufanya na hakuna mwenye haki hata mmoja awezae kuzielewa njia zake Wala kuhoji.Sasa ukiulizwa Mtoto aliyechukuliwa anamakosa gàni utaweza kueleza?
Kosa Afanye Daudi alafu Mtoto adhulumiwe Haki yake ya kuishi?
Biblia hiyohiyo inasema Mtoto hatachukua uovu wa Mzazi wake Wala Mzazi hatachukua uovu wa Mtoto wake.
Hao wanaopinga Biblia wanahoja kûbwa Sana.
Kwa sababu double standards ndîo unafiki wenyewe
Wa taifa/nchi yake.Alikuwa Askari wa Nani?
kuua ni kuua tu mkuu, ua hata kwa bahati mbaya uone unavyotesekaDhamira ya kumkanyaga ilikuwepo?Ulimuona?
Athibitishe huo ukweli na sio maneno ya kiimani tu ,yasiyo na uthibitisho wowote.Anasema kweli
Swali ni:Aliua kwa dhumuni/sababu/nia ipi hasa?
Sasa ukiulizwa Mtoto aliyechukuliwa anamakosa gàni utaweza kueleza?
Kosa Afanye Daudi alafu Mtoto adhulumiwe Haki yake ya kuishi?
Biblia hiyohiyo inasema Mtoto hatachukua uovu wa Mzazi wake Wala Mzazi hatachukua uovu wa Mtoto wake.
Hao wanaopinga Biblia wanahoja kûbwa Sana.
Kwa sababu double standards ndîo unafiki wenyewe
Wa taifa/nchi yake.
Mungu wa kwenye hizo hadithi ni muuaji hilo wala halina ubishi , na anavyojinadi ana upendo sio kweli .Kuua NI Kuua Mkûu.
Alafu zîpo Sheria za Kuua Mtu lakini yeye hakuzizingatia Sana isipokuwa Kwa aina fulanifulani ya Watu aliowaona wapakwa mafuta.
Kama Kuua kwake kungekuwa Kwa Haki Mungu angemruhusu Kujenga Hekalu
Kuua ni kutoa uhai.Sahihi.Askari anayeua maadui zake vitani na jambazi/wagombanao kuua ni mambo tofauti kabisa.Dhamira,eneo,matarajio/matokeo hutofautiana kutoka kwa mmoja hadi mwingine.kuua ni kuua tu mkuu, ua hata kwa bahati mbaya uone unavyoteseka
Hapana lakini nakuambia kua jipe nafasi ya kujifunza ndugu yangu. Kua na maswali mengi juu ya Mungu ni vizuri maana hata yeye anataka tumjue na tumuelewe na tuwe na uhusiano nae, hivyo jipe nafasi. Usifunge kurasa Kwa kumkejeli. Kuna kesho😁😁😁Unanitishia?
Kuua NI Kuua Mkûu.
Alafu zîpo Sheria za Kuua Mtu lakini yeye hakuzizingatia Sana isipokuwa Kwa aina fulanifulani ya Watu aliowaona wapakwa mafuta.
Kama Kuua kwake kungekuwa Kwa Haki Mungu angemruhusu Kujenga Hekalu
Kuua ni kutoa uhai.Sahihi.Askari anayeua maadui zake vitani na jambazi/wagombanao kuua ni mambo tofauti kabisa.Dhamira,eneo,matarajio/matokeo hutofautiana kutoka kwa mmoja hadi mwingine.
Mungu hutoa na huchukua, yeye ndie mwenye mamlaka yote, Sovereign God. Lolote atakalo anaweza kufanya na hakuna mwenye haki hata mmoja awezae kuzielewa njia zake Wala kuhoji.
😃😃😃Mungu wa kwenye hizo hadithi ni muuaji hilo wala halina ubishi , na anavyojinadi ana upendo sio kweli .
Kuna ila akafanya Moyo wa farao kua mgumu ili avimbe yeye ni mwamba😁
Kwa hiyo Mungu muweza wa yote mwenye upendo, alishindwa kuwabadilisha sodoma na gomora akaona awatie kibiriti kwa jazba?Kuua ni kutoa uhai.Sahihi.Askari anayeua maadui zake vitani na jambazi/wagombanao kuua ni mambo tofauti kabisa.Dhamira,eneo,matarajio/matokeo hutofautiana kutoka kwa mmoja hadi mwingine.
Daudi baada ya kumuua Goliati alikua karibu na Mfalme Saul, na baada ya kukimbia Ikulu alikua na jeshi lake ambalo Kwa muda liliongezeka sana hata kua watu zaidi ya 600. Kumbuka hata kabla ya kua mfalme alikua akiwaua wafilistine Kwa miaka mingi. Ndie mfalme Mungu anamuelezea alikua akiukimblilia Moyo wake. Alitanua mipaka ya nchi ya israel sana kama ambavyo Mungu alimuahidi Ibrahimu, Daudi alimtii Mungu na Mungu Alimfanikisha katika vita vyakeAlikuwa Askari wa Nani?
Basi,kumbe haujaimaliza simulizi yake hadi mwisho.Endelea kusomasoma mbele hadi utasoma amekua mfalme,baba wa familia,amiri jeshi mkuu na mtumishi wa BWANA.Daudi hakuwahi kuwa Askari wa nchi yake Mkûu.
CV Yake inaanza kama Mtoto WA Yese, Kisha Mchungaji wa mifugo ya Babaake, Kisha Shujaa aliyemuua Goliathi, Kisha Mwanamuziki WA Ikulu ya Mfalme Sauli,
Kisha mpiganaji anayejiandaa kuwa Mfalme akimkimbia Mfalme Sauli.
Daudi Hajawahi kuwa Askari