Utoaji wa mimba ni uuaji na dhambi

Utoaji wa mimba ni uuaji na dhambi

Hapo ni kutojipa jukumu la kujichosha ili uupate ukweli uutakao.Kwa nini kila siku uwe wa kuhitaji wengine tu wakupe majawabu?Na cha kufurahisha,unatoa maswali ya kuongoza unapotaka jibu litokee.Hakuna majibu mepesi kwa maswali yenye mchanganyiko wa mitazamo.
Hakuna mwenye ukwel kwa sababu dini imetoa hadithi zake kwenye misingi ya kuziamini tu , bila kutumia akili wala kuhoji , shida inakuja pale anapotokea mtu anataka kusema ni kweli kabisa lazima atoe uthibitisho.
 
Kila jambo lilitegemea lifanyike au kutokea(na kutofanyika au kutotokea) kwa lengo lipi!Na ndiyo maana,kuna simulizi za baadhi tu ya watu,jamii au nchi fulani kama kuwakilisha na si simulizi ya kila mtu,kila kiumbe,kila jamii au nchi zote.

Vivyohivyo hata Wauaji Wengine watajipa uhalali kuwa wamefanya Kwa sababu wanazozijua waô.

Kimbembe ni Yule anayefanyiwa ubaya

Unaweza kuniambia Ipi Logic ya Simba Kumla Swala?
 
Mungu Muumbaji hawezi kuwa MUUAJI ila Ipo mîungu yenye Sifa za kibinadamu àmbayo ndiyo hiyo inayotaka kuabudiwa na usipoiabudu inakupa adhabu au inaagiza WAFUASI wake wakupe adhabu.
Unataka kusema huyo Mungu ana mahitaji ya kuabudiwa?😆
 
Hakuna mwenye ukwel kwa sababu dini imetoa hadithi zake kwenye misingi ya kuziamini tu , bila kutumia akili wala kuhoji , shida inakuja pale anapotokea mtu anataka kusema ni kweli kabisa lazima atoe uthibitisho.
Na wewe unathibitishaje kwamba yote ni uongo mtupu ili ukubalike?
 
Bado unahubiri tu , kwa nini ninapaswa kujiuliza nani kaniumba ila sipaswi kuuliza nani kamuumba huyo Mungu?
Kuitwa Mungu maana yake hazuili na time space na Matter.

Ni wazi, dunia hii wewe na Babu zako wote wameikuta, ni wazi misimu ya jua na mvua na Kila kitu kipo katika delicate balance kumaanisha Kila kitu kilifanywa na Mungu Kwa ukamilifu.

Licha ya Uumbaji, Kuna ushahidi kote Duniani ya uwepo wa Mungu, Kuna ushahidi wangu Binafsi kuona matendo Yako juu ya ya maisha yangu na hata kuona supernatural things tangu nikiwa mtoto. Mungu yupo
 
Mungu huzungumza na watu, na huzungumza nasi kupitia ndoto, neno lake (Biblia), kupitia watu na kupitia malaika au hata sauti yake. Hivyo vyote Duniani kote Kila mmoja huota, hupata ujumbe wa maonyo na mafundisho, watu Kwa watu huzungumza, Biblia IPO kutuambia kuhusu ahadi za Mungu maishani mwetu na namna ya Kujenga nae uhusiano na kadhalika. Mungu wetu ni Mungu anaeishi. Anazungumza nasi
Bado unahubiri tu , kwa nini ninapaswa kujiuliza nani kaniumba ila sipaswi kuuliza nani kamuumba huyo Mungu?
 
Hoja ya min -me ni double standards zilizopo kwèñye hicho KITABU cha Biblia.

Niliwahi andika àndiko Hapa kuhusu uandishi wa Biblia na waandishi wake walivyowamba Ngoma kuvutia Kwao, kuanzia Musa.

Akiua Suleiman siô dhambi, Akiua Daudi siô dhambi, Akiua Musa siô dhambi, Kwa sababu wôte hao ndîo waandishi wamejipa uhalali na Haki ya kuua
Daudi mwenyewe alikua chini ya sheria ya Mungu, unasahu alitaka kumuua nabali akagairi Kwa sababu angehukumiwa kifo, unasahu Mfalme Saul wa Israel aliuliwa Kwa Upanga kama alivyowaua wengine. Hukumu zote zilifanyika hapa hapa Duniani. Soma Biblia kaka
 
Hoja ya min -me ni double standards zilizopo kwèñye hicho KITABU cha Biblia.

Niliwahi andika àndiko Hapa kuhusu uandishi wa Biblia na waandishi wake walivyowamba Ngoma kuvutia Kwao, kuanzia Musa.

Akiua Suleiman siô dhambi, Akiua Daudi siô dhambi, Akiua Musa siô dhambi, Kwa sababu wôte hao ndîo waandishi wamejipa uhalali na Haki ya kuua
Unasahau Daudi alizini na mke wa Uria na Mungu alimuhukumu, baadae alimsamehe lakini mtoto wake Mungu alimchukua.

Matokeo ya zinaa yake tunaona Kwa watoto wa Daudi huko mbeleni kuanzia Solomon
 
Mungu huzungumza na watu, na huzungumza nasi kupitia ndoto, neno lake (Biblia), kupitia watu na kupitia malaika au hata sauti yake. Hivyo vyote Duniani kote Kila mmoja huota, hupata ujumbe wa maonyo na mafundisho, watu Kwa watu huzungumza, Biblia IPO kutuambia kuhusu ahadi za Mungu maishani mwetu na namna ya Kujenga nae uhusiano na kadhalika. Mungu wetu ni Mungu anaeishi. Anazungumza nasi
Asante kwa mahubiri
 
Hao wote ni wauaji tu pamoja na Mungu anaejinadi ni waupendo , kuua ni kuua tu , bado naona sipaswi kujifunza kutoka kwao ,utashi wangu unatosha bila wao.
Wewe ni mtoto mdogo sana, Biblia imeandikwa miaka maelfu, usimkufuru Mungu mapema hivi wakati Bado kijana. Heri ukae kimya, Mungu hadhihakiwi
 
Daudi mwenyewe alikua chini ya sheria ya Mungu, unasahu alitaka kumuua nabali akagairi Kwa sababu angehukumiwa kifo, unasahu Mfalme Saul wa Israel aliuliwa Kwa Upanga kama alivyowaua wengine. Hukumu zote zilifanyika hapa hapa Duniani. Soma Biblia kaka

Daudi kauua wengi Sana lakini yeye hakuuawa.
Hata sababu ya kutojenga Hekalu ni Kwa sababu ya Kuua Watu lakini yeye hakuuawa na Sheria za Mungu zinasema auaye Kwa Upanga atakufa Kwa Upanga. Sasa swali kwako Daudi aliuawa Kwa Upanga?
 
Kwamba tutafute majibu? Min me katafuta majibu kapata conclusion Mungu hayupo

Mimi huwa sijichoshi kufikiria hayo naamini Mungu yupo kwa sababu kuu 2
1. Kama kuna ulimwengu wa giza basi Ulimwengu wa mwanga nao upo

2. Huwa naomba kwa jina la Mungu na ninapata majibu.
Miungu ni mingi, lakini Mungu mkuu ni mmoja nae ni Mungu anaeishi. YHWH.

Na hauwezi kusema unamjua Mungu kama haukijui neno lake, Yesu. Waovu na wema wote wanaishi Kwa neema yake Mungu, waww wanasali au hawasali
 
Daudi kauua wengi Sana lakini yeye hakuuawa.
Hata sababu ya kutojenga Hekalu ni Kwa sababu ya Kuua Watu lakini yeye hakuuawa na Sheria za Mungu zinasema auaye Kwa Upanga atakufa Kwa Upanga. Sasa swali kwako Daudi aliuawa Kwa Upanga?
Alikua akiwa kama askari, there is sheria ya vita lakini kuua damu isio na hatia ni Dhambi. Daudi alikua askari hodari na shupavu na Mungu alimshidia vita vyote. Askari kazi yake ni kulinda na kupigana vita.
 
Unasahau Daudi alizini na mke wa Uria na Mungu alimuhukumu, baadae alimsamehe lakini mtoto wake Mungu alimchukua.

Matokeo ya zinaa yake tunaona Kwa watoto wa Daudi huko mbeleni kuanzia Solomon

Sasa ukiulizwa Mtoto aliyechukuliwa anamakosa gàni utaweza kueleza?

Kosa Afanye Daudi alafu Mtoto adhulumiwe Haki yake ya kuishi?

Biblia hiyohiyo inasema Mtoto hatachukua uovu wa Mzazi wake Wala Mzazi hatachukua uovu wa Mtoto wake.

Hao wanaopinga Biblia wanahoja kûbwa Sana.
Kwa sababu double standards ndîo unafiki wenyewe
 
Back
Top Bottom