Utoaji wa mimba ni uuaji na dhambi

Utoaji wa mimba ni uuaji na dhambi

Biblia haina chochote cha kunifundisha kuhusu hilo swala, rejea hadithi ya Mungu alipo agiza wana waisraeli waue vitoto vichanga na mifugo kwa maadui wa Israel!!!

Pia rejea wazaliwa wa kwanza katika hadithi ya farao na musa walipo uwawa kwa agizo la Mungu

Hizo hadithi zinajichanganya zenyewe kuhusu hilo swala.
Haujasoma Biblia na kuelewa, una chukua neno Moja na kufunga kitabu, usibaki kua kipofu. Hukumu ya Dhambi zamani ilikua ni kifo, kabla ya ujio wa Yesu, Wal watu ambao Mungu aliagiza Kila kitu kiuliwe walikua Wana tambika Kwa miungu yao Kwa kuwachoma watoto wao moto wakiwa hai, waliwachuna watu ngozi wakiwa hai na mambo mengi ya kinyama. Mungu hulipiza kisasi mpaka Kizazi Cha nne. Si Kwa hao tu, hata Kwa watoo wa Saul na wajukuu waliuliwa wote Kwa mauaji ya baba Yao alivyowaua makuhani miaka iyo.

Yesu alipokuja alitutoa katika laana za familia na hukumu za namna iyo.
 
Huenda hata mwanamke siku zake ni mauwaji! Kwa nini? Yai lina uhai, linatakiwa liungane na mbegu ya kiume ili uhai kamili upatikane. Ina maana kila mwezi anauwa chromosomes 23.
 
Kisayansi Yai na sperm ni cell inayoishi hivyo huitwa LIVING things.

Wale wanaodai kua mtoto ambae hajazaliwa si binadamu ni wauaji kama wauaji wengine. Samahani Kwa kuwaumiza Moyo, lakini Mimba ni mbegu hai mbili zilizokutana na kuumba kiumbe kamilifu yani binadamu. Utoaji wa Mimba ni uuaji wa kiumbe hai.

wanasayansi walifanya uchunguzi kupima maumivu watoto hupitia wanaotolewa Mimba na inaonyesha wazi watoto wale Wana feel extreme pain hata wakiwa tumboni.

MWISHO nanukuu neno la kwenye Biblia

Zaburi 139:16 BHN
[16] Wewe uliniona hata kabla sijazaliwa, uliandika kila kitu kitabuni mwako; siku zangu zote ulizipanga, hata kabla ya kuweko ile ya kwanza.

Kama Mungu alitujua tukiwa Bado tumboni na kupanga siku zetu zote za maisha yetu, Kwa Nini basi binadamu mwingine aje atoe uhai wa kiumbe hiki Cha Mungu.

Usitoe MIMBA
Asant3 pastor ze dozeir
 
Haujasoma Biblia na kuelewa, una chukua neno Moja na kufunga kitabu, usibaki kua kipofu. Hukumu ya Dhambi zamani ilikua ni kifo, kabla ya ujio wa Yesu, Wal watu ambao Mungu aliagiza Kila kitu kiuliwe walikua Wana tambika Kwa miungu yao Kwa kuwachoma watoto wao moto wakiwa hai, waliwachuna watu ngozi wakiwa hai na mambo mengi ya kinyama. Mungu hulipiza kisasi mpaka Kizazi Cha nne. Si Kwa hao tu, hata Kwa watoo wa Saul na wajukuu waliuliwa wote Kwa mauaji ya baba Yao alivyowaua makuhani miaka iyo.

Yesu alipokuja alitutoa katika laana za familia na hukumu za namna iyo.
Hakuna cha kuelewa , biblia ni kitabu chenye mikanganyiko , ambacho kinatetewa kwa vitisho vya jehanam na ahadi ya mbinguni .
 
Ukihubiriwa ni kusikiliza na kuitika amen.Unatoa sadaka na kurudi maskani kuchunga mifugo kwa sisi wa kijijini hapa.Ila,kama umeenda kupata darasa la mafunzo maalum ya imani husika,una nafasi ya kuhoji/kuuliza maswali ya kuupata ukweli.
Ukweli ni kwamba hizo ni hadithi tu za hapo mashariki ya kati , ambazo zimeleta utengano kwa sisi watu weusi na kubaguana kwa misingi ya dini na hata madhehebu.
 
Kisayansi Yai na sperm ni cell inayoishi hivyo huitwa LIVING things.

Wale wanaodai kua mtoto ambae hajazaliwa si binadamu ni wauaji kama wauaji wengine. Samahani Kwa kuwaumiza Moyo, lakini Mimba ni mbegu hai mbili zilizokutana na kuumba kiumbe kamilifu yani binadamu. Utoaji wa Mimba ni uuaji wa kiumbe hai.

wanasayansi walifanya uchunguzi kupima maumivu watoto hupitia wanaotolewa Mimba na inaonyesha wazi watoto wale Wana feel extreme pain hata wakiwa tumboni.

MWISHO nanukuu neno la kwenye Biblia

Zaburi 139:16 BHN
[16] Wewe uliniona hata kabla sijazaliwa, uliandika kila kitu kitabuni mwako; siku zangu zote ulizipanga, hata kabla ya kuweko ile ya kwanza.

Kama Mungu alitujua tukiwa Bado tumboni na kupanga siku zetu zote za maisha yetu, Kwa Nini basi binadamu mwingine aje atoe uhai wa kiumbe hiki Cha Mungu.

Usitoe MIMBA


Sheria ya Mungu kwa Waisraeli ilisema hivi: “Wanaume wakipambana na kumuumiza mwanamke mwenye mimba naye azae kabla ya wakati lakini kifo kisitokee, yule aliyemuumiza atalipa hasara atakayodaiwa na mume wa mwanamke huyo; naye atalipa kupitia waamuzi. Lakini kifo kikitokea, basi ni lazima mlipe uhai kwa uhai.”— Kutoka 21:22,23.
 
Hakuna cha kuelewa , biblia ni kitabu chenye mikanganyiko , ambacho kinatetewa kwa vitisho vya jehanam na ahadi ya mbinguni .
Umequote kwenye biblia unajibiwa unaanza kuongea kuonge pointless. Biblia haukijui, kasome umjue Mungu
 
Na ndiyo maana,hakuna dini inayolazimisha awaye yote kuingia imani kwa lazima.Ukiona ni njema unachoma ndani.Ukiona ni miyeyusho unasepa kispoti.Rahisi tu na si kuanzisha malumbano.
Dini zote za kigeni walitumia mabavu kuzilazimisha Watu wazifuate Mpaka kufikia Hapa tulipo Dini ndîo imeua Watu wengi Kuliko kitu chochote baàda ya vita.

Dini ilikuwa siasa Zamani.
Kwa Sasa haulazimishwi Kwa sababu tayari mfumo ulioko umeshafiti matakwa ya Dini
 
Back
Top Bottom