KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
jambazi sana wewe!Kanunie mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jambazi sana wewe!Kanunie mbele
Kama ndio hivyo hiyo nguzo ya upendo mnayosisitiziwa mtaitekeleza vipi katikati ya chuki na utengano wa kiimani?Hiyo unayoichukulia kuwa ni changamoto ya utengano na kubaguana ndiyo hasa ile nguvu iitwayo imani.
Thibitisha huyo mungu kama yupo kweli .Umequote kwenye biblia unajibiwa unaanza kuongea kuonge pointless. Biblia haukijui, kasome umjue Mungu
Naam.Na itoshe kutofautisha nyakati hadi nyakati.Dini zote za kigeni walitumia mabavu kuzilazimisha Watu wazifuate Mpaka kufikia Hapa tulipo Dini ndîo imeua Watu wengi Kuliko kitu chochote baàda ya vita.
Dini ilikuwa siasa Zamani.
Kwa Sasa haulazimishwi Kwa sababu tayari mfumo ulioko umeshafiti matakwa ya Dini
Kama waiona biblia hivyo na haukujiumba wewe mwenyewe sawa, lakini kama uliumbwa na haujui nani analiinua jua Kila siku, alituweka ubongo kichwani mwako, alinipa bahari mipaka na kufanya binadamu apumue hewa na samaki apate oxygen Majini basi usiidharau biblia. Jipe nafasi usome uelewe na ukue.Hakuna cha kuelewa , biblia ni kitabu chenye mikanganyiko , ambacho kinatetewa kwa vitisho vya jehanam na ahadi ya mbinguni .
Hakuna atengenezaye chuki na utengano isipokua wapokeaji wa ujumbe wa imani kushindwa kutetea hoja zao kwa ushawishi na upendo.Ndipo hapo sasa wanaposhindwa kushawishi wa upande mwingine,wanaishia kuanzisha mizozo na/au mapambano.Kama ndio hivyo hiyo nguzo ya upendo mnayosisitiziwa mtaitekeleza vipi katikati ya chuki na utengano wa kiimani?
Bado unahubiri tu , kwa nini ninapaswa kujiuliza nani kaniumba ila sipaswi kuuliza nani kamuumba huyo Mungu?Kama waiona biblia hivyo na haukujiumba wewe mwenyewe sawa, lakini kama uliumbwa na haujui nani analiinua jua Kila siku, alituweka ubongo kichwani mwako, alinipa bahari mipaka na kufanya binadamu apumue hewa na samaki apate oxygen Majini basi usiidharau biblia. Jipe nafasi usome uelewe na ukue.
Usiwe mjinga siku zote. Ubarikiwe
Lakini kumfata Yesu alituletea habari njema nayo ni Upendo. Sheria kuu kuliko yote ni Upendo. Vita ni kutokana na ukaidi wa Mwanadamu na kumkataa Mungu ndio maangamizi hufanyika. Hata wewe, ukiwa ndani ya Yesu Kila njia Yako itafanyika Kwa mapenzi yake, sio ajaliDini zote za kigeni walitumia mabavu kuzilazimisha Watu wazifuate Mpaka kufikia Hapa tulipo Dini ndîo imeua Watu wengi Kuliko kitu chochote baàda ya vita.
Dini ilikuwa siasa Zamani.
Kwa Sasa haulazimishwi Kwa sababu tayari mfumo ulioko umeshafiti matakwa ya Dini
Naam.Na itoshe kutofautisha nyakati hadi nyakati.
Unatoa risala badala ya kudhibitisha kweli Mungu yupo!!
Hapo ni kutojipa jukumu la kujichosha ili uupate ukweli uutakao.Kwa nini kila siku uwe wa kuhitaji wengine tu wakupe majawabu?Na cha kufurahisha,unatoa maswali ya kuongoza unapotaka jibu litokee.Hakuna majibu mepesi kwa maswali yenye mchanganyiko wa mitazamo.Bado unahubiri tu , kwa nini ninapaswa kujiuliza nani kaniumba ila sipaswi kuuliza nani kamuumba huyo Mungu?
Anzia kwenye punyeto kwanza Ni dhambi au sio dhambi?Kisayansi Yai na sperm ni cell inayoishi hivyo huitwa LIVING things.
Wale wanaodai kua mtoto ambae hajazaliwa si binadamu ni wauaji kama wauaji wengine. Samahani Kwa kuwaumiza Moyo, lakini Mimba ni mbegu hai mbili zilizokutana na kuumba kiumbe kamilifu yani binadamu. Utoaji wa Mimba ni uuaji wa kiumbe hai.
wanasayansi walifanya uchunguzi kupima maumivu watoto hupitia wanaotolewa Mimba na inaonyesha wazi watoto wale Wana feel extreme pain hata wakiwa tumboni.
MWISHO nanukuu neno la kwenye Biblia
Zaburi 139:16 BHN
[16] Wewe uliniona hata kabla sijazaliwa, uliandika kila kitu kitabuni mwako; siku zangu zote ulizipanga, hata kabla ya kuweko ile ya kwanza.
Kama Mungu alitujua tukiwa Bado tumboni na kupanga siku zetu zote za maisha yetu, Kwa Nini basi binadamu mwingine aje atoe uhai wa kiumbe hiki Cha Mungu.
Usitoe MIMBA
Hao wote ni wauaji tu pamoja na Mungu anaejinadi ni waupendo , kuua ni kuua tu , bado naona sipaswi kujifunza kutoka kwao ,utashi wangu unatosha bila wao.Hoja ya min -me ni double standards zilizopo kwèñye hicho KITABU cha Biblia.
Niliwahi andika àndiko Hapa kuhusu uandishi wa Biblia na waandishi wake walivyowamba Ngoma kuvutia Kwao, kuanzia Musa.
Akiua Suleiman siô dhambi, Akiua Daudi siô dhambi, Akiua Musa siô dhambi, Kwa sababu wôte hao ndîo waandishi wamejipa uhalali na Haki ya kuua
Kwamba tutafute majibu? Min me katafuta majibu kapata conclusion Mungu hayupoHapo ni kutojipa jukumu la kujichosha ili uupate ukweli uutakao.Kwa nini kila siku uwe wa kuhitaji wengine tu wakupe majawabu?Na cha kufurahisha,unatoa maswali ya kuongoza unapotaka jibu litokee.Hakuna majibu mepesi kwa maswali yenye mchanganyiko wa mitazamo.
Lakini kumfata Yesu alituletea habari njema nayo ni Upendo. Sheria kuu kuliko yote ni Upendo. Vita ni kutokana na ukaidi wa Mwanadamu na kumkataa Mungu ndio maangamizi hufanyika. Hata wewe, ukiwa ndani ya Yesu Kila njia Yako itafanyika Kwa mapenzi yake, sio ajali
Hao wote ni wauaji tu pamoja na Mungu anaejinadi ni waupendo , kuua ni kuua tu , bado naona sipaswi kujifunza kutoka kwao ,utashi wangu unatosha bila wao.
Kila jambo lilitegemea lifanyike au kutokea(na kutofanyika au kutotokea) kwa lengo lipi!Na ndiyo maana,kuna simulizi za baadhi tu ya watu,jamii au nchi fulani kama kuwakilisha na si simulizi ya kila mtu,kila kiumbe,kila jamii au nchi zote.Hoja ya min -me ni double standards zilizopo kwèñye hicho KITABU cha Biblia.
Niliwahi andika àndiko Hapa kuhusu uandishi wa Biblia na waandishi wake walivyowamba Ngoma kuvutia Kwao, kuanzia Musa.
Akiua Suleiman siô dhambi, Akiua Daudi siô dhambi, Akiua Musa siô dhambi, Kwa sababu wôte hao ndîo waandishi wamejipa uhalali na Haki ya kuua