Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taasisi najua zipo safi kabisa. Namanisha wizarani kwa afisa wa degreeKazi gani? Ngazi ya mshahara ni moja ila marupurupu na maslahi yapo sana Wizarani kuliko huko Halmashauri.
Nilifanya Halmashauri kabla ya kuhamia kwenye taasisi so najua uhalisia.
Nenda Wizarani mkuu.Huko Halmashauri majungu ni mengi kuliko utaalamu labda hiyo halmashauri wazazi au walezi wako wawe na jina mtambuka. To work with Local Authority you must be local.Anayeweza kutupa madini apo kutokana na experience.
Kwa sisi ngozi nyeusi usimpotoshe kijana, majungu yapo kila mahali. Nimefanya LGA na sasa nipo kwenye taasisi/Mamlaka moja ya Wizara mambo ni yale yale.Nenda Wizarani mkuu.Huko Halmashauri majungu ni mengi kuliko utaalamu labda hiyo halmashauri wazazi au walezi wako wawe na jina mtambuka. To work with Local Authority you must be local.
Mishahara ya halmshauri na wizara ni mbingu na ardhi ....Wizara zenye pesa ni hizi; wizara ya fedha , Nishati , uchukuzi na mawasiliano .Kwa sisi ngozi nyeusi usimpotoshe kijana, majungu yapo kila mahali. Nimefanya LGA na sasa nipo kwenye taasisi/Mamlaka moja ya Wizara mambo ni yale yale.
Ni vyema aende Wizarani japo nijuavyo mishahara ya wizara na LGA ni sawa kwa ngazi zote.
Wizarani wana mishahara mirefu tofauti na halmashauri , zipo wizara graduate wa degree anapokea mpaka milion 4 ...Halmashauri hata mkurugunzi hakuti .Accumen Mo kama jamaa alivyocomment nami najua hakuna tofauti ya mishahara labda inategemea na wizara gani.
Wizarani
wizara gani hiyo mkuu graduate anapokea milioni 4 😀Wizarani wana mishahara mirefu tofauti na halmashauri , zipo wizara graduate wa degree anapokea mpaka milion 4 ...Halmashauri hata mkurugunzi hakuti .
Mawasiliano iko TCRA , Uchukuzi kuna TAA&LATRA na wengine kibao ....wizara gani hiyo mkuu graduate anapokea milioni 4 😀
Mkuu watu wanaongelea wizarani sio taasisi/shirika/wakala zilizopo chini ya wizara, TCRA ni taasisi inayojitegemea.Mawasiliano iko TCRA , Uchukuzi kuna TAA&LATRA na wengine kibao ....
Hizo taasisi zipo chini ya wizara ....Unaijua timu ya wizara ya uchukuzi !?Mkuu watu wanaongelea wizarani sio taasisi/shirika/wakala zilizopo chini ya wizara, TCRA ni taasisi inayojitegemea.
OkayHizo taasisi zipo chini ya wizara ....Unaijua timu ya wizara ya uchukuzi !?
Basi inajengwa na taasisi zote pamoja na wafanyakazi wa makao makuu ya wizara, timu ya uchukuzi ina wachezaji wa TRC,LATRA,TPA, TCAA, TAA , TASAC pamoja na wafanyakazi wa wizarani kabisa .
Kuna bonanza la wizara ya uchukuzi pia hizo taasisi zote zinaingia ..Taasisi ndio wizara yenyewe sasa .
Sahihi kabisaJapo mishahara ni ile ile ila fursa nyingine kufanya kazi wizarani unakuwa na fursa ya kukutana na katibu mkuu wa wizara na waziri wa wizara almost kila siku kwahyo unazungukwa na watu wakubwa pia training ninyingi tena za nje ya nchi tofauti na Local Government.
Hizo taasisi zilizopo chini ya wizara moja , wafanyakazi wanahama kutoka taasisi moja kwenda nyingine kwa urahisi kabisa maana ni wizara moja ...Mtiti ni pale unataka kwenda wizara nyingine au Tamisemi .Okay
Kuna watu wanakuwa kama companion kila wazri wa wizara anapoenda yupo , yaani jamaa hawana kazi zaidi ya kuambatanana na waziri wanapiga sana pesa za per diem ....Iwe waziri au naibu waziri wanaambatana nae kwenye ziara.Japo mishahara ni ile ile ila fursa nyingine kufanya kazi wizarani unakuwa na fursa ya kukutana na katibu mkuu wa wizara na waziri wa wizara almost kila siku kwahyo unazungukwa na watu wakubwa pia training ninyingi tena za nje ya nchi tofauti na Local Government.
Asimpotoshe kivipi mbona wewe ulihama hapo LGA.?Kwa sisi ngozi nyeusi usimpotoshe kijana, majungu yapo kila mahali. Nimefanya LGA na sasa nipo kwenye taasisi/Mamlaka moja ya Wizara mambo ni yale yale.
Ni vyema aende Wizarani japo nijuavyo mishahara ya wizara na LGA ni sawa kwa ngazi zote.