Utofauti kupata kazi Wizarani na halmashauri upoje upande wa maslahi kwa anaejua?

Utofauti kupata kazi Wizarani na halmashauri upoje upande wa maslahi kwa anaejua?

Pambana uende wizarani,local majungu na upuuzi mwingi sana na hakuna shukrani
 
Kwa kukandia huku, sasa huko local government nani aende ikiwa comment nyingi humu zinasema wizarani ndio kuna cake ya taifa.

NB: Bora kidogo kuliko kukosa kabisa.
 
Wizarani majanga ni yale yale tu japokuwa kuna utofauti na halmashauri, wizara nyingi posho za safari full kukopwa na kuingizwa katika mfumo wa madeni.

Ukitaka kupiga hela hamia Regulatory Authority yeyote huko mshahara mkubwa na safari hukopwi.
Wengine wana mpaka hela ya usafiri alaf useme tupo sawa.

Mwenzako akiajiriwa miaka miwili tu huko Regulatory Authority sio mwenzako.

Cha kushangaza Regulatory Authorities hawazalishi kazi zao kudhibiti huduma ila wana mtonyo mrefu.....
 
Wizarani majanga ni yale yale tu japokuwa kuna utofauti na halmashauri, wizara nyingi posho za safari full kukopwa na kuingizwa katika mfumo wa madeni.

Ukitaka kupiga hela hamia Regulatory Authority yeyote huko mshahara mkubwa na safari hukopwi.
Wengine wana mpaka hela ya usafiri alaf useme tupo sawa.

Mwenzako akiajiriwa miaka miwili tu huko Regulatory Authority sio mwenzako.

Cha kushangaza Regulatory Authorities hawazalishi kazi zao kudhibiti huduma ila wana mtonyo mrefu.....
Wanazalisha kupitia ada na tozo mbali mbali.

Mfano pale TBS wanakusanya sana ada mbali mbali hata zile za kukagua magari.
 
Wanazalisha kupitia ada na tozo mbali mbali.

Mfano pale TBS wanakusanya sana ada mbali mbali hata zile za kukagua magari.
Kwa namna hiyo ni sawa, lakini kutoa huduma mfano kuwa na mradi wanaoutekeleza moja kwa moja , wao wanakuwa wadhibiti kama refa anapokuwepo uwanjani kuwadhibiti wachezaji.
Kodi wanayoipata kutokana na udhibiti wao ndio inayoendeshea taasisi au mamlaka husika.

Kupata kazi mamlaka za udhibiti raha sana maana watumishi ni wachache alaf safari kila kukicha.

Hususan ukiwepo kitengo cha field works.
 
Wizarani pako vizuri Local government na central government njaa tupu ni kula vumbi tu,kuna jamaa yetu amepata kazi wizara ya kilimo anakula 1.8m ndio ameanza kazi ujue.
 
Wizarani pako vizuri Local government na central government njaa tupu ni kula vumbi tu,kuna jamaa yetu amepata kazi wizara ya kilimo anakula 1.8m ndio ameanza kazi ujue.

Wizara gani hiyo wanayolipa 1.8 M entry level? Kuna tofauti gani kati ya Wizarani na Central Government mkuu??
 
Back
Top Bottom