Wizarani wana mishahara mirefu tofauti na halmashauri , zipo wizara graduate wa degree anapokea mpaka milion 4 ...Halmashauri hata mkurugunzi hakuti .
Ukiwa TPA bado uko wizara ya uchukuzi unaweza kubadilishwa sehemu yoyote ile ndani ya wizara kama unafaa, sema wizarani makao makuu ndio mishahara yao ni midogo ila wapo wizara moja .Tofautisha mwajiriwa wa wizara na mwajiriwa wa taasisi iliyo chini ya wizara. Mishahara ya watumishi walioajiriwa na wizara (Boss: Katibu Mkuu) na Halmashauri (Boss: Mkurugenzi) ni sawa sawa kabisa. Tofauti inakuja kwenye mambo mengine
Kuna watu wanakuwa kama companion kila wazri wa wizara anapoenda yupo , yaani jamaa hawana kazi zaidi ya kuambatanana na waziri wanapiga sana pesa za per diem ....Iwe waziri au naibu waziri wanaambatana nae kwenye ziara.
Uko sahihi , kuna watu wanafanya kazi kwa kustarehe kila safari yupo.Kazi wanayo na hawa kazi yao kubwa ni kumfurnish waziri na taarifa muhimu za haraka zinapohitajika, kukusanya na kuandaa taarifa fupi zinapohitajika kwa haraka. Mara nyingi, kwenye taasisi yoyote, kunakua na watu wenye institutional knowledge na kumbukumbu nzuri ya mambo mbali mbali yanayofanyika na wanaweza kumpa na kumkumbusha KM au Waziri pale anapohitaji taarifa fulani fulani.
Ukiwa TPA bado uko wizara ya uchukuzi unaweza kubadilishwa sehemu yoyote ile ndani ya wizara kama unafaa, sema wizarani makao makuu ndio mishahara yao ni midogo ila wapo wizara moja .
Madokezo yote pale juu ndani ya taasisi yatambulika kwa kuandika wizara husika hata barua zao za kizazi zina utambulisho wa wizara waliopo .
Wizara makao makuu ni kama Tamisemi .
Ukiwa TPA hauko wizarani, boss wako ni DG wa TPA. TPA ni taasisi iliyo chini ya Wizara ya Uchukuzi kimuundo. Boss wa TPA ndio anaripoti "kimuundo" kwa KM. Kiutendaji, DG wa TPA anaripoti kwa Bodi ya Wakurugenzi.
Ukiwa Wizarani mwajiri wako ni KM wa Wizara. Mimi naripoti kwa Mkurugenzi Mkuu wa taasisi X iliyo chini ya Wizara ya Afya.
Soma hapo juu...Waziri Makame Mbarawa yuko wizara ya uchukuzi ndio maana unamuona Kwenye ziara za TPA, TRC , Viwanja vya ndege , LATRA.....kuna uhusiano mkubwa sana hizi taasisi na wizara hata miswada yao inasomwa na waziri mmoja ...Wanazo hafla za pamoja tena wanasaini makubaliano ya kiuendaji na waziri.
Mpaka kile chuo cha NIT kipo chini ya wizara ya uchukuzi, kuna na boss sio ishu ....Boss wako ni kulingana na mfumo husika , mkurugenzi wa taasisi nae anasaini makubaliano ya kiuetendaji na waziri , wote ni wateule wa Rais.
View attachment 3115086
Yuko chini ya wizara ya uchukuzi .Duuh. Sawa mkuu, mtumishi wa TPA ni mwajiriwa wa Wizara ya Uchukuzi
Adios
Hao jamaa njaa sana pia wanoko sanaNimefanya contract na baadhi ya halmashauri,sijawahi kuona watu wenye njaa rejareja kama maafisa wa halmashauri.
Halmashauri mwenye degree ile ya miaka 3 anaanza na 765,000 wakat taasisi niliyopo 1.4mKazi gani? Ngazi ya mshahara ni moja ila marupurupu na maslahi yapo sana Wizarani kuliko huko Halmashauri.
Nilifanya Halmashauri kabla ya kuhamia kwenye taasisi so najua uhalisia.
Wana ongoza kuwa na vi case vya ubadhirifu wa ml 1 ,lakini 8 .Laki 6 yani ni fujo 😅Nimefanya contract na baadhi ya halmashauri,sijawahi kuona watu wenye njaa rejareja kama maafisa wa halmashauri.
Are you normal?Halmashauri mwenye degree ile ya miaka 3 anaanza na 765,000 wakat taasisi niliyopo 1.4m
🤣🤣🤣🤣Nenda Wizarani mkuu.Huko Halmashauri majungu ni mengi kuliko utaalamu labda hiyo halmashauri wazazi au walezi wako wawe na jina mtambuka. To work with Local Authority you must be local.
Yes, vp ww usie jua ukiwa kwenye taasisi uko chini ya wizara 🤣Are you normal?
Ukitaka kupauka kimuonekano, kiafya, kiakili, kiutendaji na kila kitu, jichanganye uende lical government, iwe halmashauri au mkoani, wewe jichanganye tu.Anayeweza kutupa madini apo kutokana na experience.
Acha dharau. Mbona Liverpool VPN yupo LGA na hana mpauko?Ukitaka kupauka kimuonekano, kiafya, kiakili, kiutendaji na kila kitu, jichanganye uende lical government, iwe halmashauri au mkoani, wewe jichanganye tu.
Nashindwa kukushauri namna ya kufanya kazi zako kwa moyo, kujituma na kizalendo sababu kule hautoweza.
Ukipata kazi kule ni kama unakuwa umepata laana in advance kabla hata haujaanza kazi.
Unaweza ukapata hela lakini huzo hela zote utakazozipata ni sawa na tabia ya kula michango ya misiba na ya wagonjwa.
Nenda kapauke ndugu