Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Safari ya kwenda Rwanda kushangilia timu yao yanga wameshajaza mabus 6 , huku upande wa pili wamejaza mabus mawili , nataka nishuhudie huu mpambano mpk mwisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yangaaaa....Safari ya kwenda Rwanda kushangilia timu yao yanga wameshajaza mabus 6 , huku upande wa pili wamejaza mabus mawili , nataka nishuhudie huu mpambano mpk mwisho
View attachment 2742911View attachment 2742912
Yeah, hakuna haja ya kuua sisimizi kwa rungu. Power Dynamos wanakufa kirahisi tuSimba ilikua na mpango wa kuondoka na basi moja tuu kwa ajili ya mashabiki, hata hilo la pili lilikua ni ombi kutoka kwa mashabiki wenyewe
Washabiki wa Yanga wanajitambua sana, ndio maana walipowekewa kiingilio kikubwa siku ya Yanga Day wakagoma kwenda kuujaza uwanja, wakati Simba kwa umbumbumbu wao wakaenda kuujazaSiku zote Yanga imebarikiwa mashabiki wanaojitambua!
Lakini ujue hata Simba imeanzishwa na Yanga.Labda kama HUNA AKILI TIMAMU NDIO UFANANISHE SIMBA NA YANGA.
NAONGELEA MAMBO YA JANA TU.
1. Simba iMeanzisha Simba day na INAJAZAA LIUWANJA KILA SIKU
2. Simba iMeanzisha UWEKEZAJI na MABADIRIKO.
Ni timu ya Nane 8 kwa UBORA AFRIKA.
3. Simba Kila siku inafika Robo FAINALI CAF CL yanga mala ya mwisho kucheza MAKUNDI ni Mwaka 1998.
4. JUZI tu kwenye nani zaidi Simba ilikusanya Fedha nyingi zaidi ya yanga.
5. Simba inacheza Africa Football league.
SUPER CUP.
UTAKUWA TAHIRA KUMFANANISHA SIMBA NA YANGA
clickhabari.com
Aliyeanza kaanza tuSafari ya kwenda Rwanda kushangilia timu yao yanga wameshajaza mabus 6 , huku upande wa pili wamejaza mabus mawili , nataka nishuhudie huu mpambano mpk mwisho
View attachment 2742911View attachment 2742912
Aahaaaa,yeahLakini ujue hata Simba imeanzishwa na Yanga.
![]()
Historia ya Yanga na mgogoro uliopeleka Simba kuanzishwa - clickHabari
kuanzishwaHistoria ya Klabu ya Yanga inatokea tangu enzi za miaka ya 1910, ingawaje historia kamili ilianza kuandikwa mwaka 1935. Klabu hiyo ilitokana na desturi ya vijana wa Dar es salaam waliokuwa wakikutana viwanja vya jangwani kufanya mazoezi na baada ya muda wakaamua kuunda timu yao...clickhabari.com
Kweli wenye akili ni wawili tu ...
Gharama zipoje? Wa zambia na rwanda wanalipa sawa?Safari ya kwenda Rwanda kushangilia timu yao yanga wameshajaza mabus 6 , huku upande wa pili wamejaza mabus mawili , nataka nishuhudie huu mpambano mpk mwisho
View attachment 2742911View attachment 2742912
Wa Rwanda wanalipa 150kGharama zipoje? Wa zambia na rwanda wanalipa sawa?
Labda kama HUNA AKILI TIMAMU NDIO UFANANISHE SIMBA NA YANGA.
NAONGELEA MAMBO YA JANA TU.
1. Simba iMeanzisha Simba day na INAJAZAA LIUWANJA KILA SIKU
2. Simba iMeanzisha UWEKEZAJI na MABADIRIKO.
Ni timu ya Nane 8 kwa UBORA AFRIKA.
3. Simba Kila siku inafika Robo FAINALI CAF CL yanga mala ya mwisho kucheza MAKUNDI ni Mwaka 1998.
4. JUZI tu kwenye nani zaidi Simba ilikusanya Fedha nyingi zaidi ya yanga.
5. Simba inacheza Africa Football league.
SUPER CUP.
UTAKUWA TAHIRA KUMFANANISHA SIMBA NA YANGA
ITAKUWA HAUNA AKILI TIMAMU KUILINGANISHA YANGA NA VILABU VINGINE KAMA SIMBALabda kama HUNA AKILI TIMAMU NDIO UFANANISHE SIMBA NA YANGA.
NAONGELEA MAMBO YA JANA TU.
1. Simba iMeanzisha Simba day na INAJAZAA LIUWANJA KILA SIKU
2. Simba iMeanzisha UWEKEZAJI na MABADIRIKO.
Ni timu ya Nane 8 kwa UBORA AFRIKA.
3. Simba Kila siku inafika Robo FAINALI CAF CL yanga mala ya mwisho kucheza MAKUNDI ni Mwaka 1998.
4. JUZI tu kwenye nani zaidi Simba ilikusanya Fedha nyingi zaidi ya yanga.
5. Simba inacheza Africa Football league.
SUPER CUP.
UTAKUWA TAHIRA KUMFANANISHA SIMBA NA YANGA
Kwani takwimu za bodi ya ligi zikoje? Kwa timu zinazoongoza kuingiza mashabiki wengi uwanjani kwa msimu?Safari ya kwenda Rwanda kushangilia timu yao yanga wameshajaza mabus 6 , huku upande wa pili wamejaza mabus mawili , nataka nishuhudie huu mpambano mpk mwisho
View attachment 2742911View attachment 2742912
Kuna wanaotokea tunduma na kahama?Wa Rwanda wanalipa 150k
Wa Zambia wanalipa 200k
Hao ni wa safari za kutokea Dar Es Salaam