Utofauti kwenye ushabiki kati ya Yanga na Simba ni mkubwa sana

Utofauti kwenye ushabiki kati ya Yanga na Simba ni mkubwa sana

Yeah, hakuna haja ya kuua sisimizi kwa rungu. Power Dynamos wanakufa kirahisi tu
Kwa jinsi Simba inacheza ni ngumu kufika makundi klabu bingwa Africa msimu huu! Save my comment!
 
Labda kama HUNA AKILI TIMAMU NDIO UFANANISHE SIMBA NA YANGA.

NAONGELEA MAMBO YA JANA TU.

1. Simba iMeanzisha Simba day na INAJAZAA LIUWANJA KILA SIKU

2. Simba iMeanzisha UWEKEZAJI na MABADIRIKO.
Ni timu ya Nane 8 kwa UBORA AFRIKA.

3. Simba Kila siku inafika Robo FAINALI CAF CL yanga mala ya mwisho kucheza MAKUNDI ni Mwaka 1998.

4. JUZI tu kwenye nani zaidi Simba ilikusanya Fedha nyingi zaidi ya yanga.

5. Simba inacheza Africa Football league.
SUPER CUP.

UTAKUWA TAHIRA KUMFANANISHA SIMBA NA YANGA
-Super cup
-Robo fainal CAF
-8 kwa ubora.
-mabadiliko ya uwekezaji
-kujaza liuwanja.
Kwa mtu mwenye akili timamu atakuuliza swali, katika yote hayo kipi umefanikiwa kumzidi ya yanga zaidi ya upuuzi na kukalilishwa utahira?. Super cup umechukua wew, robo fainali kuishia ni utahira kujisifia hamuoni aibu kila mwaka mnafelia hapo?.
Hoja ya mleta mada ni kuhusu ushiriki wa timu hzi kwenda kuzisapoti timu zao, unakuja na taarabu Kama zuchu. Kwa uliyoyasema yote hayo basi ungesema mpk Sasa Simba ina mabasi 20 yamejaa huku yanga 2😅😜. Punguza kuwa juha...
 
Mna bishana kwa vitu vya kipuuzi Historia inaonyesha,
Simba ni mfupa katika mifupa ya Yanga.
Ni kama ilivyokua Pan Africa, Hii maana yake Simba, Pan wote ni mfupa katika mifupa ya Yanga walitofautiana umri wa kuzaliwa tu.

Red star ambayo ilizaliwa kutokea Simba ni mjukuu wa yanga.
Kama ingekua ni hesabu/Mathematics tunge sema Yanga ni Set na Simba, Pan zote ni sub set.



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Labda kama HUNA AKILI TIMAMU NDIO UFANANISHE SIMBA NA YANGA.

NAONGELEA MAMBO YA JANA TU.

1. Simba iMeanzisha Simba day na INAJAZAA LIUWANJA KILA SIKU

2. Simba iMeanzisha UWEKEZAJI na MABADIRIKO.
Ni timu ya Nane 8 kwa UBORA AFRIKA.

3. Simba Kila siku inafika Robo FAINALI CAF CL yanga mala ya mwisho kucheza MAKUNDI ni Mwaka 1998.

4. JUZI tu kwenye nani zaidi Simba ilikusanya Fedha nyingi zaidi ya yanga.

5. Simba inacheza Africa Football league.
SUPER CUP.

UTAKUWA TAHIRA KUMFANANISHA SIMBA NA YANGA
Simba iMeanzisha Simba day na INAJAZAA LIUWANJA KILA SIKU[emoji419][emoji375]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutoka Tanzania mpaka kigali nauli bei gani
Na kutoka Tanzania mpaka lusaka nauli bei gani
Tuanzie hapo kwanza.
 
Kutoka Tanzania mpaka kigali nauli bei gani
Na kutoka Tanzania mpaka lusaka nauli bei gani
Tuanzie hapo kwanza.
Wengi wa mashabiki wa Simba walishazoea vitu rahisi. Wewe Simba Day 5000/= leo uwaambie waende Zambia kutizama timu wakati wakiwa apa wataiona timu yao kwa 3000/=
Na walivyo wa ajabu wanataka wapate raha kama za Yanga[emoji3][emoji3][emoji3]
Kiwango chao cha viingilio vya mechi zao ni sawa na aina ya soka lao.

Kwa sasa Starehe wanayo pata Yanga ata kiingilio kikiwa 10,000/= japo hai kidhi thamani ya soka linalopigwa pale uwanjani na wananchi ila kwa kuanzia si haba.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Wengi wa mashabiki wa Simba walishazoea vitu rahisi. Wewe Simba Day 5000/= leo uwaambie waende Zambia kutizama timu wakati wakiwa apa wataiona timu yao kwa 3000/=
Na walivyo wa ajabu wanataka wapate raha kama za Yanga[emoji3][emoji3][emoji3]
Kiwango chao cha viingilio vya mechi zao ni sawa na aina ya soka lao.

Kwa sasa Starehe wanayo pata Yanga ata kiingilio kikiwa 10,000/= japo haki kidhi thamani ya soka linalopigwa pale uwanjani na wananchi ila kwa kuanzia si haba.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Sisi huku mtaani yanga akicheza kiingilio 1500 simba kiingilio 500 , na yanga akicheza utakuta mashabiki wa simba ndo wanawai kujaa bandani
 
Mabishano ya kipumbavu ila ukweli upo wazi tu.
Kuna mmoja hapo anajitutumua alingane na mwingine.
 
Kwa jinsi Simba inacheza ni ngumu kufika makundi klabu bingwa Africa msimu huu! Save my comment!
Sawa. Lakini watacheza African Footbal League, au nayo ngumu kufika?
 
Sawa basi tukubali yanga wamejaza mabasi sita hivyo wamepanda rank za caf
 
Back
Top Bottom