Utofauti wa mishahara katika Utumishi wa umma, kunavunja moyo na kusababisha watu kubeza kusoma sana



sasa tukiwaita nyumba mtakasirika. kwenda kote shule miaka 20 unatafuta mshahara? damn
 
Shirika la Umma linazalisha kwa faida na kut

Unataka kusema nini.
Mishahara inapangwa kutokana na mnachozalisha.hii iliwekwa kwa makusudi ili watu wajitume
TTCL na ATCL zilikuwa zinapiga hasara kila mwaka na mashirika yalikuwa yanakaribia kufa mbona mishahara yao haikushuka kama kweli haya mashirika yanajilipa?
Kuna vitu mnakaririshwa lakini uhalisia sio hivyo.
 
Dereva wa halmashauri na wa tanapa wana tafouti gani kuweza kulipwa mishahara tofauti? Na kama wote wanawaendesha maofisa tu
Dereva wa judge na wa afisa naweza elewa utofauti ila ni kwa sababu dereva wa jaji anatakiwa awe na sifa za ziada kama TISS

Kuhusu kuzalisha unadhani halmashauri zingeruhusiwa zingeshindwa kukusanya mapato na wajilipe? Si wanabuni kodi mpya hadi wananchi watoke damu

Suluhisho ni kuharmonize misharaha ila watu walipwe bonus kutokana na uzalishaji wa taasisi na faida wanayotengeneza
 
Ndiyo maana Kuna mishahara mikubwa kwa sababu nafasi ni chache, na ukipata nafasi hiyo unaiingizia serikali pesa nyingi sana( mfano Tanapa) tofauti na halmashauri ambako mnaweza kuwa wengi lakini pesa mnayoingiza ni kidogo Sana
Unataka kusema dereva wa tanapa anaiingizia serikali pesa nyingi kuliko dereva wa halmashauri. Tanapa wanaingiza pesa nyingi kutokana na majukumu waliyopewa na serikali kama taasisi. Hizo mbuga wangepewa halmashauri wangeingiza hizo pesa pia
 
Tumechelewa Sana Ndugu Zangu
Tumeliwa Sana Ndugu Zangu
Tumechezewa Sana Ndugu Zangu
 
Katika kuharmonize mishahara tuwe tayari na matokeo yatakayopatikana. Ni kama kustandardize marks kwenye mitihani.
Wapo ambao watapanda kidogo. Wapo ambao watashuka kidogo wapo ambao watabaki pale pale.
Kuharmonize mishahara haiepukiki zama hizi za jpm. Asiogope watumishi wenye mishahara mikubwa hata kidogo kwana hadi hivi sasa ameshafanya majaribio makubwa na yakafanikiwa kwenye maslahi ya watumishi woote wa serikali na wa sekta za umma. Alipue tuu hilo bomu. Sisi wa halmashauri tutaweza neemeka kidogo japo sio sana kwa sababu watumishinwa serikali kuu na serikali za mitaa tupo wengi sana kulinganisha na wale waliopo mashirika ya umma ambao ni wachache.
 
Ndomana nimegoma kwenda kusomea masters,walinipa Hadi scholarship ya nje ya nchi,nikawaambia hali yangu hairuhusu kwenda, degree hii moja inanitosha SanaπŸ™…πŸ‘ŠπŸΌtena.
Mnajiendeleza holela, TMA haifutwi. Nani kakutuma kusoma Masters au PhD? Ukitumwa unaenda kusoma ukirudi Una nafasi Mpya ya Kazi na Cheo. Hujatumwa hautambuliki.
 
Kuongeza Maarifa na kujidai kwenye Jamii. Wengine Masters na PhD zetu zitakuwa za Kuzikwa. Zitasomwa Siku ya Last Respect.
 
πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ€›πŸ€›πŸ€›Salary Slip duuu hongera sana. Paragraph ya 5, 6,7 imemaliza kila kitu. Basi kama wao wanazalisha ndio kigezo cha kupata Mishahara Mikubwa tupeane Zamu. Mhasibu wa TRA au Tanroads aje
naye Halmashauri kutumika
 

TTCL na ATCL zilikuwa zinaingiza hasara kila mwaka. Mbona mishahara yao haijapunguzwa waliendelea kunyonya hazina?
 
Hata kukataa mwenzio kupandishwa mlingane au kutafuta average mlingane nayo ni roho mbaya
Nani kakataa mwenzake asipandishwe? Unaongea nini we jamaa!!
Acha kunilisha maneno.

Mimi nasema wenye mishahara midogo wapandishwe kwa kadiri inavyowezekana.

Na wenye mishahara wewe unayoiona mikubwa kama kuna uwezekano wa kupandishwa pia ipandishwe kama taasisi husika ina uwezo wa kuwalipa.

Lakini mtu yoyote asishushwe mshahara.

Ndio maana nasema tena, kama unaona mshahara hapo ulipo hautoshi... HAMA nenda kwenye taasisi nyingine yenye mshahara mkubwa. Ni simpo tu kama hivyo.
 
Acha kuzunguka kwa maneno mengi. Hakuna aliyesema dereva wa tanesko sio mtu.
Jibu swali nililouliza.

Nauliza tena. Dereva wa tanesko anayepeleka nguzo site, anatakiwa alipwe mshahara sawa na dereva anayemuendesha Raisi?

Kama dereva wa tanesko analipwa laki 4, dereva anayemuendesha Raisi wa nchi naye anatakiwa alipwe laki 4??

Jibu linatakiwa liwe NDIO au HAPANA.
 
Napenda hiyo paragraph ya mwisho. Tatizo wengi wanalalamika ila hawaweki juhudi kusolve changamoto za mshahara mdogo
 
Mfano mzuri Mwalimu wa secondary mwenye masters analipwa 760,0000 ila akihamia Chuo chochote cha elimu ya juu mshahara wake unaanzia 2,500,000 ***** , hapo umesomanae vyuo vyote ila anakupiga gape la hatari
What is the problem with that "Kukupiga gape"?

Unataka awe chini kama wewe ili ufaidike na nini?
Kwanini na wewe usikaze ili uajiriwe kwenye hiyo taasisi yake ili na wewe ukunje 2.5M?

Hizi ndio mentality za umasikini + roho mbaya tunazosema
 
Kwaio ww kwa ufikirivu wako unaona ni sawa au sahihi dereva wa tanesco an halmashauri awe na mshahara sawa na dereva wa raisi....hahaha this is so funny sijui kama kuna nchi dunian ina huu utaratibu Sina hakika
 
Mfano mzuri Mwalimu wa secondary mwenye masters analipwa 760,0000 ila akihamia Chuo chochote cha elimu ya juu mshahara wake unaanzia 2,500,000 ***** , hapo umesomanae vyuo vyote ila anakupiga gape la hatari
Labda ujaribu kutueleza kwamba kwa nini ww unaona ipo hivo wats the big deal kama Hawa wote ni walimu lakini wa secondary awe na mshahara mdgo kuliko yule wa chuo...na hii ipo almost ulimwenguni kote labda tujadili hapa nini chanzo au sababu za huu utofaut
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…