Utofauti wa mishahara katika Utumishi wa umma, kunavunja moyo na kusababisha watu kubeza kusoma sana

Utofauti wa mishahara katika Utumishi wa umma, kunavunja moyo na kusababisha watu kubeza kusoma sana

Its as simple as that wakati unajua wazi kuna ufinyu wa nafasi...be real hata kidogo! I don't believe you are this dumb.

Au unafikiri kwenda huko ni kama kwenda maliwatoni!?
Nafasi ni finyu? Kwani ni wapi ambapo nafasi ni nyingi? Soko la Ajira ni tight miaka yote.

Nafasi huwa zinatangazwa... apply then nenda huko katengeneze hela.

Hata mimi nilikuwa nafanya kazi kwenye sehemu yenye mshahara "mdogo". Nafasi ikatangazwa sehemu yenye mshahara "mkubwa". Nikaaply nikapata.

Siku nikiona mahali kuna mshahara "mkubwa" kuliko hapa nilipo nitaaply huko.
Nikipata I'll move there... ndio maisha yalivyo.

Wewe unakaa hapo unataka aliyejuu ashuke ili mlingane....c'moon man
 
Nafasi ni finyu? Kwani ni wapi ambapo nafasi ni nyingi? Soko la Akira ni tight miaka yote.

Nafasi huwa zinatangazwa... apply then nenda huko katengeneze hela.

Hata mimi nilikuwa nafanya kazi kwenye sehemu yenye mshahara "mdogo". Nafasi ikatangazwa sehemu yenye mshahara "mkubwa". Nikaaply nikapata.

Siku nikiona mahali kuna mshahara "mkubwa" kuliko hapa nilipo nitaaply huko.
Nikipata I'll move there... ndio maisha yalivyo.

Wewe unakaa hapo unataka aliyejuu ashuke ili mlingane....c'moon man
TTCL na ATCL walikua wanaingiza hasara kila mwaka hadi mashirika yalitaka kufilisika mbona mishahara haikupunguzwa kama kweli mashirika yanajilipa yenyewe?
 
Unataka kusema dereva wa tanapa anaiingizia serikali pesa nyingi kuliko dereva wa halmashauri. Tanapa wanaingiza pesa nyingi kutokana na majukumu waliyopewa na serikali kama taasisi. Hizo mbuga wangepewa halmashauri wangeingiza hizo pesa pia
Safi Sana kwa kuelewa. Sasa anzisha mada ya mbuga kunyang'anywa Tanapa na kupewa halmashauri ili mishahara yenu ipande au siyo?
 
Acha kuzunguka kwa maneno mengi. Hakuna aliyesema dereva wa tanesko sio mtu.
Jibu swali nililouliza.

Nauliza tena. Dereva wa tanesko anayepeleka nguzo site, anatakiwa alipwe mshahara sawa na dereva anayemuendesha Raisi?

Kama dereva wa tanesko analipwa laki 4, dereva anayemuendesha Raisi wa nchi naye anatakiwa alipwe laki 4??

Jibu linatakiwa liwe NDIO au HAPANA.
Mbona unachagua mifano isiyolingana. Dereva wa TRA na wa halmashauri ambao wote wanamuendesha ofisa wa kawaida kwa nini mishahara yao itofautiane kama wana uzoefu na elimu sawa?
Chagua mifano linganifu ili discussion iwe nzuri
 
Dereva wa halmashauri na wa tanapa wana tafouti gani kuweza kulipwa mishahara tofauti? Na kama wote wanawaendesha maofisa tu
Dereva wa judge na wa afisa naweza elewa utofauti ila ni kwa sababu dereva wa jaji anatakiwa awe na sifa za ziada kama TISS

Kuhusu kuzalisha unadhani halmashauri zingeruhusiwa zingeshindwa kukusanya mapato na wajilipe? Si wanabuni kodi mpya hadi wananchi watoke damu

Suluhisho ni kuharmonize misharaha ila watu walipwe bonus kutokana na uzalishaji wa taasisi na faida wanayotengeneza
Kuelewa kwako utofauti wa dereva wa judge na dereva wa halmashauri ni Jambo zuri Sana na linajibu hoja yenu ya utofauti wa mishahara.[emoji2936]
 
Nafasi ni finyu? Kwani ni wapi ambapo nafasi ni nyingi? Soko la Ajira ni tight miaka yote.

Nafasi huwa zinatangazwa... apply then nenda huko katengeneze hela.

Hata mimi nilikuwa nafanya kazi kwenye sehemu yenye mshahara "mdogo". Nafasi ikatangazwa sehemu yenye mshahara "mkubwa". Nikaaply nikapata.

Siku nikiona mahali kuna mshahara "mkubwa" kuliko hapa nilipo nitaaply huko.
Nikipata I'll move there... ndio maisha yalivyo.

Wewe unakaa hapo unataka aliyejuu ashuke ili mlingane....c'moon man
Mkuu mfano wako unafanana kabisa na wangu,
 
TTCL na ATCL walikua wanaingiza hasara kila mwaka hadi mashirika yalitaka kufilisika mbona mishahara haikupunguzwa kama kweli mashirika yanajilipa yenyewe?
My point is damn clear.

Kama hapo ulipo wanalipa mishahara midogo, HAMA HAPO.

Nenda kwenye shirika lenye mishahara mikubwa. Hayo mashirika yapo na huwa yanatangaza nafasi za kazi.
Aply hapo, Ukipata make money there.

Ila acha uchawi wa kutamani wenzako washuke ili mlingane.
 
Mbona unachagua mifano isiyolingana. Dereva wa TRA na wa halmashauri ambao wote wanamuendesha ofisa wa kawaida kwa nini mishahara yao itofautiane kama wana uzoefu na elimu sawa?
Chagua mifano linganifu ili discussion iwe nzuri
Kwa nini huutaki mfano wangu? Unaona unakubana kwenye kona?

Point ya mwanzisha uzi ni LEVEL YA ELIMU.
Kwamba kama level ya elimu ni sawa, basi mishahara ilingane regardless ya taasisi inayoajiri.

Sasa ndio ninakuuliza. Dereva wa tanesko mwenye level ya elimu sawa na Dereva wa Rais, Je walipwe sawa?

Wote walipwe lets say laki 4 kwa sababu ya elimu zao kuwa sawa.

Hilo ndilo swali unalopaswa kulijibu.
 
Kila mtu na bahati yake,hata huku mtaani Kuna inshu kama hzo
Mfano unaweza kuta Kuna jamaa anafanya biashara ya mtaji Mkubwa sana let say million 50 afu anahangaika sana kuiendesha na faida kwa siku anapata 30,000.

Afu unakuta Kuna msela mwingine ni msimamizi tu wa biashara ya mtu mwingine anaondoka na 100,000 kila siku na hata ahangahiki anakuwa amekaa sehemu moja na kiyoyozi juu
HR wa Halmashauri wenye Bachelor Degree za Mzumbe na HR wa Tanroads, Tasac, TPA, TCAa, tena waliohitimu intake moja wanatofautiana Sana Mishahara. Kwa Mimi na Wanatumikia Serikali moja?
 
Kwa nini huutaki mfano wangu? Unaona unakubana kwenye kona?

Point ya mwanzisha uzi ni LEVEL YA ELIMU.
Kwamba kama level ya elimu ni sawa, basi mishahara ilingane regardless ya taasisi inayoajiri.

Sasa ndio ninakuuliza. Dereva wa tanesko mwenye level ya elimu sawa na Dereva wa Rais, Je walipwe sawa?

Wote walipwe lets say laki 4 kwa sababu ya elimu zao kuwa sawa.

Hilo ndilo swali unalopaswa kulijibu.
Askari jeshi anaesimama nyuma ya rais na cheo cha luteni kanali ana mshahara sawa na mwenzake mwenye cheo hicho aliyepo kikosini Makutupora tofauti itakuwa kwenye posho tu. Hata kwa dereva inawezekana
 
Mtoa mada una wivu wa ovyo sana. Huko kwenye hizo kazi za mishahara midogo si uliomba mwenyewe. Mie nimefanya kazi za Halmashauri, nikatoka nikaenda benki, nikatoka nikaenda Taasisi za mishahara mikubwa, nikatoka nikaenda nje na nikarudi nikafanya chuo kikuu kimoja nchini na sasa nimerudi Serikali kuu na mshahara wangu uleule na nilipo hapa Sasa nina mshahara mkubwa kuliko wote na sio CEO

Ushauri huwezi kupanda bila kuzunguka zunguka sehemu tofauti na hata kama mna elimu sawa hamuwezi kulipwa sawa maana mashirika yanatofautiana.

Hata kwenye biashara hamuwezi kuwa sawa hata mkiwa na elimu sawa na mtaji sawa baada ya muda mtazidiana tu kutokana na huduma zako na juhudi zako.
 
Ndomana nimegoma kwenda kusomea masters,walinipa Hadi scholarship ya nje ya nchi,nikawaambia hali yangu hairuhusu kwenda, degree hii moja inanitosha Sana[emoji135][emoji1363]tena.
Hauna maana kabisa. Elimu (haswa ya nje) ina maana kubwa sana katika maisha kwa ujumla haswa nje ya kazi.

Nje kama ni mjanja kunafungua sana akili. Sijajutia kwenda nje ktk maisha yangu nadhani ndio kumenifanya niwe zaidi ya wengi hapa nchini
 
Askari jeshi anaesimama nyuma ya rais na cheo cha luteni kanali ana mshahara sawa na mwenzake mwenye cheo hicho aliyepo kikosini Makutupora tofauti itakuwa kwenye posho tu. Hata kwa dereva inawezekana
Jibu swali nililouliza mkuu. Mbona unazunguka?

JIBU NIKICHOULIZA
 
Wakati watu wanahimizwa kusoma tangu utotoni na kujiendeleza hata wakiwa makazini, ila ukweli ni kwamba, kusoma sana na kupata ma-degree mengi, sometimes huwa hakuna maana sana na hii ni kutokana na ulipaji wa mishahara serikalini kutegemea mtu anafanya kazi katika taasisi au shirika gani la umma.

Unaweza kuwa na masters ila kama uko wizarani au katika Halmshauri, unawezakuta unazidiwa mshahara na mtu mwenye Bachelor au hata Diploma anaefanya kazi katika taasisi (mara nyingi hizi Authority) za serikali. Hapo bado marupurupu.

Kwa mfano, dereva mwenye form iv anaeanza kazi pale BOT au TRA, sijui kama anazidiwa mshahara na mtumishi anaenza kazi akiwa na Diploma au Bachelor katika Halmshauri zetu.

Haya mambo ya kila taasisi kuwa na scale zake za mishahara, sometimes kunaondoa kabisa maana nzima ya kukaa darasa moja na kusotea degree ile ile wakati mkija kuajiriwa mmoja anakuwa yuko mawingumi na mwingine ardhini.

Kuna umuhimu wa serikali kutazama upya jambo hili na kufanya harmonisation ya mishahara serikalini ili kuondoa hali hii.Mambo ya kusema kuna taasisi zinazalisha au zinaingiza fedha serikalini hakutoia uhalali wa huu upendeleo kwani elimu waliyonayo wangeipata wapi bila mwalimu au wakiuguwa bila daktari au nesi watakuwa na afya ya kukusanya hizo hela na kuzipeleka serikalini au kutoa gawio kwa serikali?

Kama huu utofauti ni lazima uwepo (haukwepeki!), basi uwe reasonable na sio kuwa na ma- gape makubwa na ya kukatisha tamaa kwani ukweli wote tunategemeana. Wewe unaelipwa mshahara wa mamilioni, bila Polisi usalama wa mali zako ungetoka wapi?

Siku tukipata mtawala ataeamua kuweka wazi/hadharani scale za mishahara kwa watumishi wa umma, nadhani siku hiyo mitandao ya kijamii itashindwa kuhimili mijadala itayoibuka baada ya hapo jna huyo Raisi atajizolea sifa nyingi iwapo atahakikisha kunawakuwa na harmonisation ya mishahara.

Kama mnasema kila mtu na bahati yake, basi hata wakati wa ukoloni wazungu na wahindi ilikuwa sahihi kulipwa mishahara minono kutokana na bahati yao ya kuwa na ngozi nyeupe.
Issue hapa ni utofauti wa mishahara, doesnt matter how many degree whom you studied.
Utofauti mkubwa sana wa mishahara ni sehem ya ubaguzi.
Leo hii daktari anaangaika kuokoa roho za watu pale hospitari, cha ajabu malipo yake yanazidiwa kwa kikubwa sana na mbunge wa viti maalum ambaye alikuwa anafanya kazi ya kukati kiuno tu jukwaani wakati wa kampeni then wameona ni bora wampe fadhira.
Mishahara itofautiane hata kwa laki mbili, tatu, nne hivi siyo mbaya.
Cha ajabu utakuta kuna mtu analipwa laki sita na mwingine analipwa milioni kumi na kitu huk........si upuuzi huu.!
 
Ieleweke kwamba sio kulinganisha mishahara ilingane lengo ni kuharmonize. Yaan kusiwe na gaps kubwa. Imagine lab technician wa TFDA anamzidi lab techician aliepo hospital za halmashauri au lab technician aliepo vyuoni au shule za sekondari kwa gap kubwa kama mbingu na ardhi. Muhasibu aliopo treasury au bot mwenye CPA anampiga gap kubwa muhasibu aliopo kwenye mamalaka za serikalinza mitaa au wizarani.
Ndo maana kusema harmonization kulinganisha mishahara.
Swali ni kwa nn magap yawe makubwa ivo.
Viwango vya elimu sawa na pengine majukumu ya kazi day to day, week to week na month to month almost hayatofautian afu deference ya salary inapishana hadi 3M plus.

Usilopenda kufanyiwa usiwafanyiwe wenzako.
Je ingekuwaje kama watumishi wa mamlaka za serikali za mitaa au serikali kuu wangekuwa wanalipwa incentives kama ivo je walioko mashirika ya umma si wangelalama.

Tujifunze historia vizuri na jinsi watu walipo anguka na kuingia machafuko. Sisi tusifanye kama wao.
Harmonization of salary is inevitable...
 
Back
Top Bottom