Ishu ya kuwapandisha wa chini naiunga mkono. Ingawa sio lazima walingane na wajuu.Yah ishu sio kupunguza mishahara, ni kustandardize ofcourse sio kila mtu atalipwa 7M! Ila complain ya watu atleast huyu wa laki 8 apewe 3M
Ila kufikiria kuwashusha wa juu eti ILI MLINGANE ni mawazo ya kimaskini sana.