Utofauti wa mwonekano na Bei za Behewa SGR Kenya vs Behewa SGR Tanzania

Utofauti wa mwonekano na Bei za Behewa SGR Kenya vs Behewa SGR Tanzania

Nilijuuliza swali kama lako na nikajibiwa hizo behewa zina weza kupita katika njia zote mbili na nimeziona tangu zinatoka bandari mpaka zonafika pale malind isitoshe mimi niko maeneo hayo ndio maana nakuambia acha ubishi usio na maingi
Aliekwambia kakupotosha sana.

Hakuna behewa zinazoweza kupita kwenye MGR na SGR Kwa pamoja. Hicho kitu hapo. Na ndio maana Kuna hayo madaraja kuonesha utofauti. Cape gauge, Meter gauge na Standard gauge. Hizo ni rail track Tatu taofauti na Zina specifications tofauti. Haziingiliani.

Pale malindi zipo coaches za MGR. Hizo za SGR bado 12 ziko bandarini na 2 wameshazihamisha.

Wewe kuwa mazingira hayo Sio kwamba ndio utakuwa unajua kila kitu. Rudi tena kafatilie vizuri.
 
Nilidhani huyu kwenye picha ni Magufuli kumbe ni sanamu tu inayoabudiwa na waumini wake...

Huyo huyo Magufuli aliruhusu vipi hii? Jamani CCM ni kambi ya wezi na mafisadi, huwezi kuwa CCM ukawa msafi hata ukifuliwa kwa JIK.

khoisan, je unajua hiki kivuko chakavu kilinunuliwa kwa bilioni ngapi? Acheni ujinga kwa kuwatetea waovu wanaopata haki yao motoni ahera!
Twambie wewe unajua ilinunuliwa kwa bei gani
 
Kama aliweza kuruhusu ndege used kwa cash angeshindwaje mabehewa used kwa cash vilevile ?

Tena yeye alikwenda mbali zaidi Kwa sababu alilifanya hilo bila ya kufuata utaratibu bunge halikuidhinisha na aliehoji alitupwa ufukweni kwenye kiroba
Aliyepita na aliyepo wote ni ma-CCM
 
Ni mambo kama haya yanayoipa CCM na watu wake ujiko mkubwa.

Unapoleta habari ya kupotosha unawakingia kifua hawa mafisadi. Haihitaji kamwe kusema uongo ili kufanya watu wajue ubaya wa watawala wao.

Hizo picha hapo juu ulizoonyesha, hata kabla mtu hajasoma taarifa uliyoweka ndani yake inaonyesha uongo ulio wazi.
Hiyo SGR ya Kenya ilikuwa na mabehewa ya aina hiyo uliyoonyesha hapo juu?
Inakuwia vipi vigumu kutafuta tu picha halisi za vichwa na mabehewa halisi ambavyo vyote vinapatikana kiurahisi, lakini unaamua uweke uongo, kuwakingia kifua mafisadi!
Kwaiyo unakubaliana na behewa moja tena mtumba kununuliwa kwa 2.5B?
 
Lazima kuwe na mwanzo.

Wewe hapo unahaha kusaka majina yetu halisi ili mtusake na kudisconnect roho na miili yetu

Tuache, tunajua tunachokifanya na tutafika
Haa haa..

Wanatafuta actual names ili wa - disconnect miili na roho zetu, siyo...?

Usiogope kwa sababu kwa sasa, they can't...!!

UKWELI siku zote uko juu ya UONGO na uongo hauwezi kuua ukweli...

Wasemakweli siku zote wako connected na KWELI na HAKI...

Wanaweza kuua miili yetu lakini kamwe hawawezi kuua roho zetu...!!
 
Wewe ni muongo. Ondoa hizo picha.
I thought ungeleta picha za "ukweli wako" ili ku - counter attack "uongo wangu"...

Lakini cha ajabu unabweka tu kama mbwa 🐶🐶🐶 kichaa...

Jenga hoja ili ushinde hoja kinzani...
 
IMG-20221208-WA0003.jpg


Naaam
 
Haa haa..

Wanatafuta actual names ili wa - disconnect miili na roho zetu, siyo...?

Usiogope kwa sababu kwa sasa, they can't...!!

UKWELI siku zote uko juu ya UONGO na uongo hauwezi kuua ukweli...

Wasemakweli siku zote wako connected na KWELI na HAKI...

Wanaweza kuua miili yetu lakini kamwe hawawezi kuua roho zetu...!!
Watajie jina lako basi😀
 
Mtoa mada acha kuwadanganya watu, picha ya juu sio mabehewa ya Kenya na mabehewa ya chini kweli ni mali ya TRC lkn ni MGR.
 
Back
Top Bottom