Utofauti wa mwonekano na Bei za Behewa SGR Kenya vs Behewa SGR Tanzania

Utofauti wa mwonekano na Bei za Behewa SGR Kenya vs Behewa SGR Tanzania

View attachment 2438117
✓ JUU: ni mwonekano wa behewa za SGR Kenya...

=== BEI YAKE:

Ni KES 52.2m
kwa behewa moja sawa na TZS 980M

✓ CHINI
: Mwonekano wa behewa za SGR ya Tanzania yaliyonunuliwa juzi kati hapa..

===BEI YAKE:

Ni TZS 2.5bn kwa behewa moja

NB: Kwa vijana wa UVCCM yeyote anayesema haya eti wanaanza kupiga kelele kuwa ni "msaliti wa nchi" na eti siyo "mzalendo..."

Yaani wezi na mafisadi wa CCM eti wanataka kutufundisha sisi wengine somo la uzalendo wa nchi hii..!!

Na tunaposema hawa watu watakufa wakiwa wamekenua meno kwa uovu wao huu muwe mnaelewa...!!

Waone: UHURU JR TUJITEGEMEE
Mimi naona kama wamechukua yale Mabehewa ya Kigoma wakapata rangi.....nyinyi mnaonaje ndugu zangu?
 
View attachment 2438117
✓ JUU: ni mwonekano wa behewa za SGR Kenya...

=== BEI YAKE:

Ni KES 52.2m
kwa behewa moja sawa na TZS 980M

✓ CHINI
: Mwonekano wa behewa za SGR ya Tanzania yaliyonunuliwa juzi kati hapa..

===BEI YAKE:

Ni TZS 2.5bn kwa behewa moja

NB: Kwa vijana wa UVCCM yeyote anayesema haya eti wanaanza kupiga kelele kuwa ni "msaliti wa nchi" na eti siyo "mzalendo..."

Yaani wezi na mafisadi wa CCM eti wanataka kutufundisha sisi wengine somo la uzalendo wa nchi hii..!!

Na tunaposema hawa watu watakufa wakiwa wamekenua meno kwa uovu wao huu muwe mnaelewa...!!

Waone: UHURU JR TUJITEGEMEE
Haya si yaliagizwa tangu kitambo kabla ya Mama? Sema wanamfichia aibu tu marehemu
 
Tanzania kuna mambo ya ajabu ajabu sana

Ova
20221207_122328.jpg
20221207_122357.jpg
 
Mtakomaa...
Mnalia lia tuu humu Jamiiforum kama mazezeta na maoga.
Eti mnaogopa kukamatwa na polisi
Mnaogopa Jela.

Acheni waibe na waibe mpaka akili iwakae sawa.

Kila kukicha mnaishia kulia lia hapa Jf.
Cccm acha iwakanyage mpaka mnyooke.
 
Zanzibar imejengwa kitu gani acheni propaganda za kitoto.
Sisi wenyew tunashida na miradi mikubwa munatukwamishwa nyinyi na roho mbaya zenu.
Mnataka miradi mikubwa ya nini wakati 50 - 80yrs ijayo kakisiwa kenu katakuwa kamemezwa na bahari sababu ya climate change? Kupoteza raslimali bure tu [emoji51][emoji51][emoji51]
 
View attachment 2438117
✓ JUU: ni mwonekano wa behewa za SGR Kenya...

=== BEI YAKE:

Ni KES 52.2m
kwa behewa moja sawa na TZS 980M

✓ CHINI
: Mwonekano wa behewa za SGR ya Tanzania yaliyonunuliwa juzi kati hapa..

===BEI YAKE:

Ni TZS 2.5bn kwa behewa moja

NB: Kwa vijana wa UVCCM yeyote anayesema haya eti wanaanza kupiga kelele kuwa ni "msaliti wa nchi" na eti siyo "mzalendo..."

Yaani wezi na mafisadi wa CCM eti wanataka kutufundisha sisi wengine somo la uzalendo wa nchi hii..!!

Na tunaposema hawa watu watakufa wakiwa wamekenua meno kwa uovu wao huu muwe mnaelewa...!!

Waone: UHURU JR TUJITEGEMEE
Hamuwezi kuingia Barabarani kulinda aridhi ya Babu zetu dhidi ya CCM tukae kimya watafune
 
Nilisha andika sehemu uzi wangu wakautupa. Mradi ccm ipo madarakani inchi tusahau kusonga mbele kimaendeleo maana ni wizi wizi wizi
Kama hamuwezi ingia Barabarani ni bora tukaungana na CCM tu, make njia pekee ya kuto ungana nao.ni Barabarani tofauto na hapo lets join them
 
WALITAFUTA SEHEMU PA KUYATUPIA MTANZANIA MMOJA AKAENDA KUYAOKOTA UKIANGALIA HATA MILIONI 500 KWA BEHEWA HAIFIKI
 
Acha upotoshaji kijana. Behewa zilizopo pale Malindi ndio hizo mleta Mada amepost hapa. Hizo ni behewa za MGR Sio SGR.

Angalia hizo behewa gurudumu zake zipo juu ya reli.. Sasa jiulize Malindi Kuna SGR? Reli ya Kisasa kuingia bandarini bado ndio ipo kwenye ujenzi tena hatua za mwanzo kabisa.

Zile behewa za SGR ziko bandarini bado... Zinatolewa kwenda marshalling Kwa gurudumu special zinazopita juu ya MGR..
Nilijuuliza swali kama lako na nikajibiwa hizo behewa zina weza kupita katika njia zote mbili na nimeziona tangu zinatoka bandari mpaka zonafika pale malind isitoshe mimi niko maeneo hayo ndio maana nakuambia acha ubishi usio na maingi
 
View attachment 2438117
✓ JUU: ni mwonekano wa behewa za SGR Kenya...

=== BEI YAKE:

Ni KES 52.2m
kwa behewa moja sawa na TZS 980M

✓ CHINI
: Mwonekano wa behewa za SGR ya Tanzania yaliyonunuliwa juzi kati hapa..

===BEI YAKE:

Ni TZS 2.5bn kwa behewa moja

NB: Kwa vijana wa UVCCM yeyote anayesema haya eti wanaanza kupiga kelele kuwa ni "msaliti wa nchi" na eti siyo "mzalendo..."

Yaani wezi na mafisadi wa CCM eti wanataka kutufundisha sisi wengine somo la uzalendo wa nchi hii..!!

Na tunaposema hawa watu watakufa wakiwa wamekenua meno kwa uovu wao huu muwe mnaelewa...!!

Waone: UHURU JR TUJITEGEMEE
SGR ya Kenya siyo ya umeme. Ya Tanzania ni ya umeme.
 
Back
Top Bottom