National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Tanzania, fisi kila kona.. wabinafsi wamejaa kila mahala.. Maskini anazidi kuwa maskini, tajiri anazidi mkamua maskiniNchi gani hiyo ina fisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania, fisi kila kona.. wabinafsi wamejaa kila mahala.. Maskini anazidi kuwa maskini, tajiri anazidi mkamua maskiniNchi gani hiyo ina fisi?
Karibuni mfanye haraka kwa chap chap 😁😁[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Walah inabidi!!
Mimi naona kama wamechukua yale Mabehewa ya Kigoma wakapata rangi.....nyinyi mnaonaje ndugu zangu?View attachment 2438117
✓ JUU: ni mwonekano wa behewa za SGR Kenya...
=== BEI YAKE:
Ni KES 52.2m kwa behewa moja sawa na TZS 980M
✓ CHINI: Mwonekano wa behewa za SGR ya Tanzania yaliyonunuliwa juzi kati hapa..
===BEI YAKE:
Ni TZS 2.5bn kwa behewa moja
NB: Kwa vijana wa UVCCM yeyote anayesema haya eti wanaanza kupiga kelele kuwa ni "msaliti wa nchi" na eti siyo "mzalendo..."
Yaani wezi na mafisadi wa CCM eti wanataka kutufundisha sisi wengine somo la uzalendo wa nchi hii..!!
Na tunaposema hawa watu watakufa wakiwa wamekenua meno kwa uovu wao huu muwe mnaelewa...!!
Waone: UHURU JR TUJITEGEMEE
Haya si yaliagizwa tangu kitambo kabla ya Mama? Sema wanamfichia aibu tu marehemuView attachment 2438117
✓ JUU: ni mwonekano wa behewa za SGR Kenya...
=== BEI YAKE:
Ni KES 52.2m kwa behewa moja sawa na TZS 980M
✓ CHINI: Mwonekano wa behewa za SGR ya Tanzania yaliyonunuliwa juzi kati hapa..
===BEI YAKE:
Ni TZS 2.5bn kwa behewa moja
NB: Kwa vijana wa UVCCM yeyote anayesema haya eti wanaanza kupiga kelele kuwa ni "msaliti wa nchi" na eti siyo "mzalendo..."
Yaani wezi na mafisadi wa CCM eti wanataka kutufundisha sisi wengine somo la uzalendo wa nchi hii..!!
Na tunaposema hawa watu watakufa wakiwa wamekenua meno kwa uovu wao huu muwe mnaelewa...!!
Waone: UHURU JR TUJITEGEMEE
Mnataka miradi mikubwa ya nini wakati 50 - 80yrs ijayo kakisiwa kenu katakuwa kamemezwa na bahari sababu ya climate change? Kupoteza raslimali bure tu [emoji51][emoji51][emoji51]Zanzibar imejengwa kitu gani acheni propaganda za kitoto.
Sisi wenyew tunashida na miradi mikubwa munatukwamishwa nyinyi na roho mbaya zenu.
Hamuwezi kuingia Barabarani kulinda aridhi ya Babu zetu dhidi ya CCM tukae kimya watafuneView attachment 2438117
✓ JUU: ni mwonekano wa behewa za SGR Kenya...
=== BEI YAKE:
Ni KES 52.2m kwa behewa moja sawa na TZS 980M
✓ CHINI: Mwonekano wa behewa za SGR ya Tanzania yaliyonunuliwa juzi kati hapa..
===BEI YAKE:
Ni TZS 2.5bn kwa behewa moja
NB: Kwa vijana wa UVCCM yeyote anayesema haya eti wanaanza kupiga kelele kuwa ni "msaliti wa nchi" na eti siyo "mzalendo..."
Yaani wezi na mafisadi wa CCM eti wanataka kutufundisha sisi wengine somo la uzalendo wa nchi hii..!!
Na tunaposema hawa watu watakufa wakiwa wamekenua meno kwa uovu wao huu muwe mnaelewa...!!
Waone: UHURU JR TUJITEGEMEE
Mchakato wa manunuzi ulianza lini?Tutamkumbuka Magu Daima
Kama hamuwezi ingia Barabarani ni bora tukaungana na CCM tu, make njia pekee ya kuto ungana nao.ni Barabarani tofauto na hapo lets join themNilisha andika sehemu uzi wangu wakautupa. Mradi ccm ipo madarakani inchi tusahau kusonga mbele kimaendeleo maana ni wizi wizi wizi
Uwapige chini kupitia ku type kwenye keybord?Dawa ni kuipiga chini CCM ili tuwe na uhakika wa usalama wa kodi zetu
Nitafutie basi kamuzungu rafiki[emoji1787][emoji1787]Karibuni mfanye haraka kwa chap chap [emoji16][emoji16]
Usijali kabisa, sikilizia kidogo nakupa connection na mzungu OG mchamungu, mwenye love na pesa zake 😅😅Nitafutie basi kamuzungu rafiki[emoji1787][emoji1787]
Nilijuuliza swali kama lako na nikajibiwa hizo behewa zina weza kupita katika njia zote mbili na nimeziona tangu zinatoka bandari mpaka zonafika pale malind isitoshe mimi niko maeneo hayo ndio maana nakuambia acha ubishi usio na maingiAcha upotoshaji kijana. Behewa zilizopo pale Malindi ndio hizo mleta Mada amepost hapa. Hizo ni behewa za MGR Sio SGR.
Angalia hizo behewa gurudumu zake zipo juu ya reli.. Sasa jiulize Malindi Kuna SGR? Reli ya Kisasa kuingia bandarini bado ndio ipo kwenye ujenzi tena hatua za mwanzo kabisa.
Zile behewa za SGR ziko bandarini bado... Zinatolewa kwenda marshalling Kwa gurudumu special zinazopita juu ya MGR..
SGR ya Kenya siyo ya umeme. Ya Tanzania ni ya umeme.View attachment 2438117
✓ JUU: ni mwonekano wa behewa za SGR Kenya...
=== BEI YAKE:
Ni KES 52.2m kwa behewa moja sawa na TZS 980M
✓ CHINI: Mwonekano wa behewa za SGR ya Tanzania yaliyonunuliwa juzi kati hapa..
===BEI YAKE:
Ni TZS 2.5bn kwa behewa moja
NB: Kwa vijana wa UVCCM yeyote anayesema haya eti wanaanza kupiga kelele kuwa ni "msaliti wa nchi" na eti siyo "mzalendo..."
Yaani wezi na mafisadi wa CCM eti wanataka kutufundisha sisi wengine somo la uzalendo wa nchi hii..!!
Na tunaposema hawa watu watakufa wakiwa wamekenua meno kwa uovu wao huu muwe mnaelewa...!!
Waone: UHURU JR TUJITEGEMEE
Usitusemee, jisemee mwenyewe na familia yakoTutamkumbuka Magu Daima
Achana na picha hiyo. Tazama hii hapa.Mimi naona kama wamechukua yale Mabehewa ya Kigoma wakapata rangi.....nyinyi mnaonaje ndugu zangu?
Mkataba wa haya mabehewa ulisainiwa miaka miwili iliyopita. Nani alikuwa rais wakati huo?Magufuli asingeruhusu huu uchafu...!!