Utofauti wa mwonekano na Bei za Behewa SGR Kenya vs Behewa SGR Tanzania

Utofauti wa mwonekano na Bei za Behewa SGR Kenya vs Behewa SGR Tanzania

Jiulize hizo za kenya zinatumia umeme? Pia jiulize SGR ya kenya imeishia wapi? Hao wakenya wenyewe wanatushangaa tunavofanywa mazuzu na Kigwa mrupukaji
Yaani umeandika ujinga wa kiwango cha SGR ya Tanzania
 
Kuna wakati we refuse to be fools. Anayetaka kuwa mjinga aendelee yeye mwenyewe na mambo yake.

Kuna shida sehemu....tena shida kubwa. Mwenye macho haambiwi tazama



±
 
View attachment 2438117
✓ JUU: ni mwonekano wa behewa za SGR Kenya...

=== BEI YAKE:

Ni KES 52.2m
kwa behewa moja sawa na TZS 980M

✓ CHINI
: Mwonekano wa behewa za SGR ya Tanzania yaliyonunuliwa juzi kati hapa..

===BEI YAKE:

Ni TZS 2.5bn kwa behewa moja

NB: Kwa vijana wa UVCCM yeyote anayesema haya eti wanaanza kupiga kelele kuwa ni "msaliti wa nchi" na eti siyo "mzalendo..."

Yaani wezi na mafisadi wa CCM eti wanataka kutufundisha sisi wengine somo la uzalendo wa nchi hii..!!

Na tunaposema hawa watu watakufa wakiwa wamekenua meno kwa uovu wao huu muwe mnaelewa...!!

Waone: UHURU JR TUJITEGEMEE
Dah..!! Halafu anatokea kenge mmoja au zaidi ya mmoja wanatetea wizi huu..!!! Yaani bei ya behewa moja la SGR ya TZ ni sawa na mabehewa mawili na ushee ya KE, huku uzuri wa mabehewa ya TZ yapo chini ya Robo kwa yale ya KE..!!

TUFWILE BANYAMBALA
 
Ukimya wa wananchi ni faida kubwa sana kwao. Na ndio juhudi ilikowekezwa na serikali kutengeneza watu waoga, wasio hoji wala kujielewa.
Daraja limetengenezwa kwa bilioni 7
Behewa moja limenunuliwa bilioni 2.2
Na vile serikali haijitokezi kupinga au kukubali yaseamwayo, wananchi wanaamini sasa kile kisemwacho mitandaoni
 
Mimi Siyo shabiki wa JPM wala sikuwa na support.
Unathubutuje kutuaminisha kwamba enzi zake kila kilichofanyika kilikuwa above board? Je unakataa kuwa hicho kivuko hakikuletwa wakati wake? Je hicho kivuko kilichonunuliwa kwa mabilioni hatukuaminishwa toka awali kwamba ni kipya?
Nimeandika hivyo kwa kuwa namfahamu alienda vitu vizuri zuri. Hivyo nafikiri kama angekuwepo wasingeleta hizo takataka.
Je kwa unavyomfahamu Magufuli hakuwepo hiyo takataka ilipoletwa kwa madai kwamba ni kivuko kipya? Je utadai hakujua? Je huyo aliyesimama kwenye hicho kivuko si Magufuli mwenyewe au ni picha ya mchongo? Je unataka ushahidi zaidi?
Enzi zake hizi ndizo tulizoahidiwa.
Kuahidi na kutekeleza ni vitu viwili tofauti. Aliahidi kivuko kipya tukaletewa chakavu. Je una hakika gani kuwa angekuwepo tungeletewa mabehewa tofauti? Unamwamini vipi mtu anayeapa kuiheshimu, kuilinda na kuitetea Katiba halafu anaisigina?

Tuache na tukome kutetea visivyohitaji utetezi. CCM ilianzishwa katika misingi ya ufisadi na wizi, ikajengwa juu ya ufisadi na wizi, ikakomaa katika ufisadi na wizi na sasa inazeeka katika ufisadi na wizi. Kuamini vinginevyo ni kujipa matumaini ya kijinga.
 
View attachment 2438117
✓ JUU: ni mwonekano wa behewa za SGR Kenya...

=== BEI YAKE:

Ni KES 52.2m
kwa behewa moja sawa na TZS 980M

✓ CHINI
: Mwonekano wa behewa za SGR ya Tanzania yaliyonunuliwa juzi kati hapa..

===BEI YAKE:

Ni TZS 2.5bn kwa behewa moja

NB: Kwa vijana wa UVCCM yeyote anayesema haya eti wanaanza kupiga kelele kuwa ni "msaliti wa nchi" na eti siyo "mzalendo..."

Yaani wezi na mafisadi wa CCM eti wanataka kutufundisha sisi wengine somo la uzalendo wa nchi hii..!!

Na tunaposema hawa watu watakufa wakiwa wamekenua meno kwa uovu wao huu muwe mnaelewa...!!

Waone: UHURU JR TUJITEGEMEE
Mkuu picha ya behewa za Kenya sio kweli....
Bei sijui ila behewa za Kenya sio hizo..
 
Mungu alitupatia akili ili tuzitumie, ila sie watanzania sijui tulipunjwa!!
CCM ilifanya tambiko la nchi ili tuwe mazuzu daima. Ndo maana ajali na disaster kila kukicha na zinanyofoa uhai wa watu lqkini hakuna lolote tunalolifanyika zaidi ya kujadili kwa hisia kisha yanapita.

Kwa mfano ajali ya ndege ndo ishatoka hiyo.
 
Hizo behewa mbona zina fit kwenye reli ya kawaida na mbona zipo kama behewa za magereza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] used imekuja kwenye karatasi bas tunalazimishwa kuamini ni mpya[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizo behewa mbona zina fit kwenye reli ya kawaida na mbona zipo kama behewa za magereza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] used imekuja kwenye karatasi bas tunalazimishwa kuamini ni mpya[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hivi niko mombasa naelekea Nairobi na hi train ya sgr ya Kenya ebu niwapigie picha ya hizo behewa mnazo ongelea muone, hazina tofauti na zile za CCM
20221116_073823.jpg
20221116_054308.jpg
 
Kuna wakati we refuse to be fools. Anayetaka kuwa mjinga aendelee yeye mwenyewe na mambo yake.

Kuna shida sehemu....tena shida kubwa. Mwenye macho haambiwi tazama



±
Shida ipo..

Na shida yenyewe ni hii...

Kwamba, there's a satanic power behind the country's presidential authority that dictates every decision concerning this country and its people's welfare...

Hata hawa kina Samia pengine hata wao wenyewe hawajui kwanini kabla hawajabatizwa rasmi na nguvu za "mwenye kiti cha enzi - Ikulu yaani Ibilisi mwenyewe", wanakuwa na mawazo na mipango yao mizuri kwa nchi na watu..

Lakini akikaa kama miezi 3 au 6 hivi na after being initiated into satanic brotherhood, ghafla tu watu hawa hugeuka kuwa ni viongozi katili wasiojali wengine ila wao tu na tamaa zao...!

YES...

Ni kwa sababu kwa shetani hakujawahi kutoka jambo au kitu chema kwa ajili ya watu...

Kwake ni mabaya tu maana ameelezewa vyema sana kwenye biblia;

Yohana 10:10

"...Mwizi (shetani) haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; Mimi (Yesu Kristo) nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele..."

LA KUFANYA:

Ipo nguvu ya Mungu wetu aliye hai (Yesu Kristo). Pamoja na juhudi za kimwili za kupambana na nguvu hii, ni muhimu na lazima sana kama taifa kwa umoja wetu tuombe Mungu yeye ndiye aingilie kati kwa kuwapa uwezo (maarifa) na nguvu (ufahamu) baadhi yetu namna ya kupambana na kuvunjilia mbali kiti cha enzi cha shetani na mawakala wake ktk ikulu ya nchi yetu...

Hutupbani na WATU (CCM) na mawakala wake akiwemo Samia. Tunapambana na nguvu iliyo nyuma yao ambao hata wao pengine wanatumika tu kuharibu na kujiharibu wao wenyewe bila kujua...
.
 
View attachment 2438117
✓ JUU: ni mwonekano wa behewa za SGR Kenya...

=== BEI YAKE:

Ni KES 52.2m
kwa behewa moja sawa na TZS 980M

✓ CHINI
: Mwonekano wa behewa za SGR ya Tanzania yaliyonunuliwa juzi kati hapa..

===BEI YAKE:

Ni TZS 2.5bn kwa behewa moja

NB: Kwa vijana wa UVCCM yeyote anayesema haya eti wanaanza kupiga kelele kuwa ni "msaliti wa nchi" na eti siyo "mzalendo..."

Yaani wezi na mafisadi wa CCM eti wanataka kutufundisha sisi wengine somo la uzalendo wa nchi hii..!!

Na tunaposema hawa watu watakufa wakiwa wamekenua meno kwa uovu wao huu muwe mnaelewa...!!

Waone: UHURU JR TUJITEGEMEE
Umechanganya hapa
 
View attachment 2438117
✓ JUU: ni mwonekano wa behewa za SGR Kenya...

=== BEI YAKE:

Ni KES 52.2m
kwa behewa moja sawa na TZS 980M

✓ CHINI
: Mwonekano wa behewa za SGR ya Tanzania yaliyonunuliwa juzi kati hapa..

===BEI YAKE:

Ni TZS 2.5bn kwa behewa moja

NB: Kwa vijana wa UVCCM yeyote anayesema haya eti wanaanza kupiga kelele kuwa ni "msaliti wa nchi" na eti siyo "mzalendo..."

Yaani wezi na mafisadi wa CCM eti wanataka kutufundisha sisi wengine somo la uzalendo wa nchi hii..!!

Na tunaposema hawa watu watakufa wakiwa wamekenua meno kwa uovu wao huu muwe mnaelewa...!!

Waone: UHURU JR TUJITEGEMEE
Waendelee tu kuiba maana watz wengi wao bado akili hakuna kichwani,watu wako biz na mpira,petty issues na matukio.

Vitu vya msingi km katiba mpya na kuiondoa ccm inaonekana ni uhaini,90% bado ni wajinga kichwani
 
The fact kua watu wanajadili na kutoa povu using picha ya treni fake ya kenya inaonesha jinsi gani JF imejaa vilaza...picha ya juu ni treni ya umeme, na kenya hawana treni ya umeme, how come watu wanashindwa ku pick vitu vidogo vidogo km hivi?ni kwamba wanaona ila hawaelewi, au wanaona na wanaelewa ila wanajadili kimihemko zaidi?
Whatever it is hili ni Tatzo tena kubwa sana
 
Shida ipo..

Na shida yenyewe ni hii...

Kwamba, there's a satanic power behind the country's presidential authority that dictates every decision concerning this country and its people's welfare...

Hata hawa kina Samia pengine hata hawajui kwanini wakishangilia kwenye kiti hicho mawazo na mipango yao mizuri kwa nchi na watu huyeyuka na ghafla hugeuka viongozi katili wasiojali wengine ila wao tu na tamaa zao..

YES. Ni kwa sababu kwa shetani hakujawahi kutoka jambo au kitu kizuri kwa ajili ya watu. Kwake ni mabaya tu...

LA KUFANYA:

Ipo nguvu ya Mungu wetu aliye hai. Pamoja na juhudi za kimwili za kupambana na nguvu hii, ni muhimu na lazima sana kama taifa kwa umoja wetu tuombe Mungu yeye ndiye aingilie kati kwa kuwapa uwezo (maarifa) na nguvu (ufahamu) baadhi yetu namna ya kupambana na kuvunjilia mbali kiti cha enzi cha shetani na mawakala wake ktk ikulu ya nchi yetu...

Inawezekana tukifanya wajibu wetu...
Kwani Mungu haoni na kufanya maamuzi mpaka we na mm tumuambie?

Au sisi ndio tunaona na kujua kuliko yeye?

Watu kuwa biz na mipira ndio ujinga wa kwanza na uchawi wenyewe,tusimsingizie shetani
 
Back
Top Bottom