Utofauti wa mwonekano na Bei za Behewa SGR Kenya vs Behewa SGR Tanzania

Utofauti wa mwonekano na Bei za Behewa SGR Kenya vs Behewa SGR Tanzania

View attachment 2438117
✓ JUU: ni mwonekano wa behewa za SGR Kenya...

=== BEI YAKE:

Ni KES 52.2m
kwa behewa moja sawa na TZS 980M

✓ CHINI
: Mwonekano wa behewa za SGR ya Tanzania yaliyonunuliwa juzi kati hapa..

===BEI YAKE:

Ni TZS 2.5bn kwa behewa moja

NB: Kwa vijana wa UVCCM yeyote anayesema haya eti wanaanza kupiga kelele kuwa ni "msaliti wa nchi" na eti siyo "mzalendo..."

Yaani wezi na mafisadi wa CCM eti wanataka kutufundisha sisi wengine somo la uzalendo wa nchi hii..!!

Na tunaposema hawa watu watakufa wakiwa wamekenua meno kwa uovu wao huu muwe mnaelewa...!!

Waone: UHURU JR TUJITEGEMEE
Nyie watu nyie.. heeee..... kama ni kweli, basi nitaamini yale yaliyosemwa, 85++% ya matatizo ya Dunia yanasababishwa na waafrika!!!!!
 
Naomba kujua nauli ya kwenda Zanzibar kwa Boat ni kiasi gani?

Sorry nipo nje ya mada
 
Kwani Mungu haoni na kufanya maamuzi mpaka we na mm tumuambie?

Au sisi ndio tunaona na kujua kuliko yeye?

Watu kuwa biz na mipira ndio ujinga wa kwanza na uchawi wenyewe,tusimsingizie shetani
Anaona lakini anataka kusikia toka kwako afanyeje...

Angekuwa anafanya kama unavyofikiri, asingesema tuombe lolote kwake naye atatenda...

Kanuni ya Mungu ni;

1. AMINI kuwa yeye yupo na anaweza...

2. OMBA kwa imani hiyo na utapata matokeo ya ombi lako...

KWA HIYO, shetani yupo. Yeye siku zote ni manipulator (mdanganyifu)...

Na usipoelewa utendaji kazi wake, utapata shida sana...

Kwa upande mwingine, MUNGU WETU ALIYE HAI yupo. Jeshi lake (malaika wahudumu wa watu wake) wapo na wanasubiri instructions tu ili watende. Instructions hizi ndo hayo yaitwayo maombi...

So, shetani hasingiziwi. It's real yuko pale. Anasubiri kutumia ujinga wa mwanadamu yeyote ili afanye destruction...

Hatupaswi kuwa wajinga ili shetani atuchinje...!!

Take that..
 
Miccm imeshajitengenezea kalegacy kao kaufisadi, uongo, ukosefu wa aibu na adabu nk.
Na sie watanzania ndio tumeruhusu huu ujinga. Siku tukiamka ndio kitaeleweka.
Mnatuone wivu tu CCM. Chama ni company kina kila aina ya watu..

Siku mtaamukia nchi jirani mpendwa.. nchi ina fisi wanakula hadi mifupa sasa hivi
 
View attachment 2438117
✓ JUU: ni mwonekano wa behewa za SGR Kenya...

=== BEI YAKE:

Ni KES 52.2m
kwa behewa moja sawa na TZS 980M

✓ CHINI
: Mwonekano wa behewa za SGR ya Tanzania yaliyonunuliwa juzi kati hapa..

===BEI YAKE:

Ni TZS 2.5bn kwa behewa moja

NB: Kwa vijana wa UVCCM yeyote anayesema haya eti wanaanza kupiga kelele kuwa ni "msaliti wa nchi" na eti siyo "mzalendo..."

Yaani wezi na mafisadi wa CCM eti wanataka kutufundisha sisi wengine somo la uzalendo wa nchi hii..!!

Na tunaposema hawa watu watakufa wakiwa wamekenua meno kwa uovu wao huu muwe mnaelewa...!!

Waone: UHURU JR TUJITEGEMEE
Mbona hujaweka specifications apart from muonekano? mfano mdogo tu kwa facilities hayo ya Kenya hayana AC wakati ya TZ yako na AC.
 
Dah vitu vinatia hasira hivi kmmake yaani hee! ndo maana sipendi kufuatilia chochote kuhusu chochote kinachoendelea kwenye hii nchi maana najitoa kwenye mood tu. Waai😏
 
NB: Kwa vijana wa UVCCM yeyote anayesema haya eti wanaanza kupiga kelele kuwa ni "msaliti wa nchi" na eti siyo "mzalendo..."

Yaani wezi na mafisadi wa CCM eti wanataka kutufundisha sisi wengine somo la uzalendo wa nchi hii..!!

Na tunaposema hawa watu watakufa wakiwa wamekenua meno kwa uovu wao huu muwe mnaelewa...!!
Mkuu uvccm achana nao akili zao sijui zimejificha wapi!
Sijui walinyimwa uwezo wa kufikiri na ufahamu!
Sijui akili zao waligawa kwa nani hadi wao kubaki watupu vichwani!!
 
Back
Top Bottom