mazagazagatza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 208
- 224
Mkataba wa haya mabehewa ulisainiwa wakati wa utawala wake!Tutamkumbuka Magu Daima
Kwa hiyo,mkumbuke kwa haya mabehewa pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkataba wa haya mabehewa ulisainiwa wakati wa utawala wake!Tutamkumbuka Magu Daima
Kama ya kenya siyo ya umeme,, ba kumbe bei itakuwa sawA😂tafuta au waambie wahusika (TRC) waweke hizo 'specifications' unazodai wewe hapa au wamekutuma wewe uwawakilishe kama nani kwao?
Hata rangi wanashindwa kuchagua inayovutia macho?
Majizi yenye viwango vya phd.Nilisha andika sehemu uzi wangu wakautupa. Mradi ccm ipo madarakani inchi tusahau kusonga mbele kimaendeleo maana ni wizi wizi wizi
Mie niliamua kumezea, sema ndo maana nikamwambia asijimalize sana kwa sababu hafahamu hayo mabehewa yaliagizwa wakati gani!!Mkataba wa haya mabehewa ulisainiwa wakati wa utawala wake!
Kwa hiyo,mkumbuke kwa haya mabehewa pia.
DieselHivi SGR ya Kenya inatumia umeme au diesel? Naona juu ya treni kuna nyaya za umeme.
Hutomkumbuka kwingine kweny issue za tundulisu nk ila kwenye maendeleo acha chuki mkuuSema utamkumbuka, usituunganishe wengi katika kumkumbuka kwako!!
Hivi SGR ya Kenya inatumia umeme au diesel? Naona juu ya treni kuna nyaya za umeme.
Wewe ni muongo. Ondoa hizo picha.View attachment 2438117
✓ JUU: ni mwonekano wa behewa za SGR Kenya...
=== BEI YAKE:
Ni KES 52.2m kwa behewa moja sawa na TZS 980M
✓ CHINI: Mwonekano wa behewa za SGR ya Tanzania yaliyonunuliwa juzi kati hapa..
===BEI YAKE:
Ni TZS 2.5bn kwa behewa moja
NB: Kwa vijana wa UVCCM yeyote anayesema haya eti wanaanza kupiga kelele kuwa ni "msaliti wa nchi" na eti siyo "mzalendo..."
Yaani wezi na mafisadi wa CCM eti wanataka kutufundisha sisi wengine somo la uzalendo wa nchi hii..!!
Na tunaposema hawa watu watakufa wakiwa wamekenua meno kwa uovu wao huu muwe mnaelewa...!!
Waone: UHURU JR TUJITEGEMEE
Treni ya juu siyo ya kenya,, ya kenya ni hii hapa.Unaweza kutuambia ni kwanini hiyo unayodai ni ya Kenya umetumia picha safi na hiyo unayosema ya Tanzania umetumia picha yenye mabehewa makuu kuu?!
Btw, ni kwamba Kenya wamezitupa zile trains zenye sura kama treni za kubebea maiti, na hivyo wakanunua hizo ulizoonesha, ama?!
Amka usingizin ww acha kuwa KUNGUNI WA LUMUMBASema utamkumbuka, usituunganishe wengi katika kumkumbuka kwako!!
Utakuwa ndio umehitimu kidato Cha nne!!Ukiambiwa dhibitisha unaanza oooh naonewa,
Aliiba wapi? Unahakika aliziiba?
Uelewa wako ndio umeishia hapo?Amka usingizin ww acha kuwa KUNGUNI WA LUMUMBA
Niliamua tu kuacha hoja hewani ndo maana nikamuuliza ina maana wameuza zile treni zao na kununua hizo, au!Treni ya juu siyo ya kenya,, ya kenya ni hii hapa.
View attachment 2438664
Ijengwe na wezi wa CCM?Kikubwa Zanzibar ijengeke
Kma ww ulipoishia na mie nimekujibu kutokana na uelewa wakoUelewa wako ndio umeishia hapo?
Magu huyu huyu ambae hajatueleza kuhusu zile trilion 1.5 au Magu mwingne?Tutamkumbuka Magu Daima
yeye angesaidia nini kwenye hilo? kama na yeye hakuwa mwizi kwann alimuondoa ASSAD kwa kuhoji zilipo Trilion moja?Tutamkumbuka Magu Daima