Utofauti wa mwonekano na Bei za Behewa SGR Kenya vs Behewa SGR Tanzania

Utofauti wa mwonekano na Bei za Behewa SGR Kenya vs Behewa SGR Tanzania

Magufuli asingeruhusu huu uchafu...!!
Kama aliweza kuruhusu ndege used kwa cash angeshindwaje mabehewa used kwa cash vilevile ?

Tena yeye alikwenda mbali zaidi Kwa sababu alilifanya hilo bila ya kufuata utaratibu bunge halikuidhinisha na aliehoji alitupwa ufukweni kwenye kiroba
 
View attachment 2438117
✓ JUU: ni mwonekano wa behewa za SGR Kenya...

=== BEI YAKE:

Ni KES 52.2m
kwa behewa moja sawa na TZS 980M

✓ CHINI
: Mwonekano wa behewa za SGR ya Tanzania yaliyonunuliwa juzi kati hapa..

===BEI YAKE:

Ni TZS 2.5bn kwa behewa moja

NB: Kwa vijana wa UVCCM yeyote anayesema haya eti wanaanza kupiga kelele kuwa ni "msaliti wa nchi" na eti siyo "mzalendo..."

Yaani wezi na mafisadi wa CCM eti wanataka kutufundisha sisi wengine somo la uzalendo wa nchi hii..!!

Na tunaposema hawa watu watakufa wakiwa wamekenua meno kwa uovu wao huu muwe mnaelewa...!!

Waone: UHURU JR TUJITEGEMEE
Mbona ya Kenya mkuu huwa ina bendera pale mbele?
images (5).jpeg
 
Jiulize hizo za kenya zinatumia umeme? Pia jiulize SGR ya kenya imeishia wapi? Hao wakenya wenyewe wanatushangaa tunavofanywa mazuzu na Kigwa mrupukaji

✓ Tuambie wewe zinatumia umeme au makaa...?

✓ Tuambie wewe zimeishia wapi?

✓ Wamefukia chini au yako kazini kuhudumia wa-Kenya..?
 
Uchafu aliyofanya kwa Assad ni Zaidi ya huu, aliiba 1.5T afu unakuja na upuuzi wa mpuuzi.
Ukiambiwa dhibitisha unaanza oooh naonewa,
Aliiba wapi? Unahakika aliziiba?
 
Magufuli asingeruhusu huu uchafu...!!
Nilidhani huyu kwenye picha ni Magufuli kumbe ni sanamu tu inayoabudiwa na waumini wake...

1670392805451.png
Huyo huyo Magufuli aliruhusu vipi hii? Jamani CCM ni kambi ya wezi na mafisadi, huwezi kuwa CCM ukawa msafi hata ukifuliwa kwa JIK.

khoisan, je unajua hiki kivuko chakavu kilinunuliwa kwa bilioni ngapi? Acheni ujinga kwa kuwatetea waovu wanaopata haki yao motoni ahera!
 
Piga goti muombe Mungu kwa imani yako.

Njia itapatikana na haipo mbali.

Sasa wanafanya makosa ya wazi wazi na soon watajikatilia mbali wenyewe
Yes, wewe umeyaona mambo haya kwa jicho la rohoni...

Mwovu sugu siku zote ndivyo alivyo...

Itafika wakati atafanya kosa moja la linamwondoa kabisa na kumpeleka ktk hukumu yake...

Mungu awape neema ya kutubu na kurekebisha njia zao..
 
Nilidhani huyu kwenye picha ni Magufuli kumbe ni sanamu tu inayoabudiwa na wafuasi wake...

Huyo huyo Magufuli aliruhusu vipi hii? Jamani CCM ni kambi ya wezi na mafisadi, huwezi kuwa CCM ukawa msafi hata ukifuliwa kwa JIK.

khoisan, je unajua hiki kivuko chakavu kilinunuliwa kwa bilioni ngapi? Acheni ujinga kwa kuwatetea waovu wanaopata haki yao motoni ahera!
Mimi Siyo shabiki wa JPM wala sikuwa na support.

Nimeandika hivyo kwa kuwa namfahamu alienda vitu vizuri zuri. Hivyo nafikiri kama angekuwepo wasingeleta hizo takataka.

Enzi zake hizi ndizo tulizoahidiwa.
IMG-20221207-WA0003.jpg
 
Subiri yakitulia baada ya safari ndefu utayasifu, unapoenda kupanda treni kwenda Kigoma unaonekana nadhifu, lakini ukifika Kigoma unaonekana umechakaa, ukienda kuoga ulikofikia watu watakupotea, subiri yaoshwe.
Haa haa haa..

Kumbe ni kwa sababu hayajaoshwa tu...?

Nao sasa wajinga sana. Walitakiwa wayapige picha na kuyaweka public baada ya kuwa yameoshwa...!!!!

Hawa ndio watenda kazi wa "Dr Samia" na kazi ya kupiga inaendelea kwelikweli..!
 
Back
Top Bottom