Huu ni uongo!, hiyo sio Treni ya SGR ya Kenya!. Treni za SGR za Kenya site zina bendera ya Kenya,
View attachment 2441241
Mabehewa ya SGR yetu ni mapya!.
P
Hii picha na ile ktk mada kuu tofauti yake ni nini eti..?
Bila shaka ni bendera tu, au siyo...?
Vipi kuhusu tofauti ya muonekano na bei zake?
Wewe
Pascal Mayalla na mwenzako
UmkhontoweSizwe mna lolote la kusema...?
Wewe liongo sana.
1. Sgr ya kenya haitumii umeme, ni ya diesel. Hiyo picha ni ya treni ya umeme.
2. Hayo mabehewa unayodai ni ya sgr tz yako kwenye reli tayari, hivi mabehewa yaliyofika juzi yameshawekwa kwenye reli?
Ukitaka kuwa muongo next time jaribu kufikiri kwa undani kidogo!
Yaani nyie na wenzenu wachache wajinga huko mmeng'ang'ana kubweka tu kama mbwa kichaa kusema "aah! uongo!, uongo!, uongo!" eti kwa sababu ya bendera kiasi cha kushindwa kabisa kuelewa mantiki kuu ya hoja....
Na hivi mnadhani ni kwanini kuna kutofautiana kwa kauli za viongozi wa serikali moja iyo hiyo?.... Yaani;
✓
PM ndugu Kassim Majaliwa
✓ Waziri wa ujenzi Mbarawa
✓ DG wa TRC Kadogosa na
✓ Rais Samia mwenyewe..
✓ Lakini Gerson Msigwa naye anasema lake..
Kuhusu jambo moja lilelile yaani mabehewa haya...? Rais anasema mtumba, huyu anasema mapya, na yule anasema vile...
Lakini nyie hata kukuemea tu tabia hii ya uongo wa viongozi wetu hawa mnashindwa mkidhani waovu hawa wanaweza kujitibu na kujiokoa wenyewe...
Hakuna, haiwezekani unless wanaambiwa waziwazi tena kwa herufi kubwa kuwa, NYIE VIONGOZI MNACHOFANYA SIYO...!!
Labda niwaambie tu kuwa, kwa hatua hii, hakuna mtu awezaye kuutetea
"ufalme huu ambao umekwisha kufitinika" wenyewe tayari. Na dalili ya kufitinika kwenyewe ni hii kujichanganya kwao baada ya wizi kutokea...!
Hakika atakuwa ni mwendawazimu pekee. May be you're among of them....