Poor BrainDaslam wengi tunatembelea ndgu kuondoa tu zile lawama za "wewe upo hapahapa na hatuonani" ila kiukweli hamnaga ile furaha ya kweli kabisa ya kutembelea ndgu hapa mjini kwa sisi wa kuja.
Wanakuchora tu yule mzee alikuwa anasemwa. Yeye na familia yake kwa watu mimi NO bora kwa friendπππ Mi kwangu sitaki waje, kwahiyo naenda kwao tu.
We unayo ya kufake ππ kwa wifi yako aliekuwa anapinga kaka yao asikuoe?Ni tabia mbaya sana, na hapo wa kulaumiwa baba hasimami kwenye kichwa cha nyumba..!!
Na huyo mke naye FURUSHI πΉπΉ
Hata nidhamu ya ku-fake kashindwa??
Mimi bandiko hili nilishalisoma fb mda mrefu zaidi ya mwaka.taja source
π₯ Wifi yupi?We unayo ya kufake ππ kwa wifi yako aliekuwa anapinga kaka yao asikuoe?
Nina chukulia mfano yaani ndio wewe wakati uho umeolewa ππ₯ Wifi yupi?
Au unaota wee Mwachi?? Lini nilisema nina mume? πΉ
sio mbaya mkuu kikubwa tuelimike wengine hatutumii fbMimi bandiko hili nilishalisoma fb mda mrefu zaidi ya mwaka.
Lakini nimekuta kumbe humu lilishawekwa kama lilivyo na mtu anaitwa Dalton Elijah January 5 2024 kwa hiyo aliyesema ni C&P hajakosea.Mimi bandiko hili nilishalisoma fb mda mrefu zaidi ya mwaka.
Muhimu somo ni zuri sana hata likijirudia mara nyingi japo watu wa Dar kuwabadilisha ni ngumu.Lakini nimekuta kumbe humu lilishawekwa kama lilivyo na mtu anaitwa Dalton Elijah January 5 2024 kwa hiyo aliyesema ni C&P hajakosea.
Ungeanza na mfano Mxieeeeww..!! πΉπΉNina chukulia mfano yaani ndio wewe wakati uho umeolewa π
"Wivuu Mamaa Wivuu....Wivuuπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈUngeanza na mfano Mxieeeeww..!! πΉπΉ
Mimi mdogo wangu usinione humu ninavyowajibu hovyo watu, nje huku nina heshima hata shem wako nikimpa maji kwanza nayaombea, kisha napiga goti mpk amalize kunywa ndo nainuka.!! πββοΈπββοΈπββοΈ
Basi kuna mikenge itaguna na mingine itabisha πΉπ€£π€£