Utofauti ya watu wa Dar na watu wa mkoani ni huu

Utofauti ya watu wa Dar na watu wa mkoani ni huu

Hii ni nyuzi Bora sana kwangu ktkt nyuzi zako na ule Uzi wa chumvi... Ibarikiwe kazi ya mikono Yako Mshana....ereowaaaa
 
Yaan hii nyuzi kama wamenilenga mimi wakuu.

Maaana leo tu maza katoka kuniambia et mdogo ako anakuja amechoka kukaa hom hapa...

Nikaulizaa anakuja kufanyaje sasa..
Ukizingatia dogo ni bishoo na kazi hataki kufanya.

Dogo bishoo lakini anataka kula 3 times wakuu. Alafu kula kwake ni heavy weight..

Ukisema basi dogo nimekutafutia kazi ya kufanya dogo anasema anataka kazi ya kutumia akili et akae kwenye kiti.

Na hapo form 4 kazinguaa alafu anataka kazi za kukaa tu..

Sasa ili usikosane na mzazi nimetuma picha nikiwa na shangazi dorry tumelala..
Alafu nikamwambia mama mi now nina mke..

Kesi imekua kubwa yaani bora ningekubali tuu kumchukua dogo..

Life la huku tunajua wenyewe wakuu mi sishangai anavyo ishi Manyanza na Vishu Mtata kiuchoyo uchoyo...

Vishu hata umwambie nimekufata vingunguti atakwambia yupo mbezi..

Ukisema siku uwende mbezi atakwambia kaenda kongowe kuna kazi..

An ni kuvurugana tuu
 
Umeongea uhalisia mkuu... Ila niwaibie tu siri nyie watu wa mikoani, ukishaona ndugu yako wa Dar anakitoto kinaitwa Junior au Brian ukimtembelea tegemea mambo kama haya.
Ahahaha unanikumbusha katoto ka single maza..
Aiseee katundu kingese alafu akaniiti baba kananiita ankol miwani
 
Sio wanakuchangamkia kisa una vichenji mkuu, nshatembelea ndgu kibao vijijini nikiwa sina kitu ila ule ukarimu wao ni wa kweli sio kuigiza, washazoea hilo. Hawataki mgeni aondoke na kinyongo.
Kijijini kwenu wapi huko
 
Daslam wengi tunatembelea ndgu kuondoa tu zile lawama za "wewe upo hapahapa na hatuonani" ila kiukweli hamnaga ile furaha ya kweli kabisa ya kutembelea ndgu hapa mjini kwa sisi wa kuja.
Boyka wa vikindu acha uongo, maana huwa una enda kibabe kwao.
so huwa Wana ogopa kuja kwako 😂🤣
 
Back
Top Bottom