Utofauti ya watu wa Dar na watu wa mkoani ni huu

Ndio maana mimi nikipata nafasi ya kwenda kumtembelea ndugu Dar, wakikaa vibaya napiga mashine mke wa bro, piga mashine beki tatu wao na kama usiku lazima niwapake mafuta nyumba nzima
 
Chenchi mnatoa wapi.

Mkifika bush mnakosa hata nauli za kurudia Mjini.

Kitu mpo nacho ni stori za kitapeli tu.
 
Umeongea uhalisia mkuu... Ila niwaibie tu siri nyie watu wa mikoani, ukishaona ndugu yako wa Dar anakitoto kinaitwa Junior au Brian ukimtembelea tegemea mambo kama haya.
Ha ha ha sasa ka Jr si kanafuata malezi kaliyopewa?
 
Mimi nimeguna na nabisha
 
Watu wa Dar siyo watu😂😂😂😂🙌🏿
Heri huyo hata amepokea simu ya ndugu yake
Huwa wanazima kabisa.

Yaani ndugu wa Dar
Ule upendo wa zamani haupo tena.
Wachache sana bado tunao huo upendo na aina hiyo ya mapokezi.

Tulioishi vijijini tumeexperience haya mapokezi ya mwanzo, mgeni akija wote mnakaa attention kumpokea. Baba anawaita wote
Anaanza kuwatambulisha mmoja baada ya mwingine.
 
Kuna Mjomba wetu alitembelea familia yenu miaka ya 70 kwenda 80 alikuja na familia yake kwa kutumia gari la kazi.. baada ya Baba kuona ugeni mkubwa km huo .. akachinja kambako la ng'ombe na kuita wananzengo kumsherehesha mgeni..ndani ya siku 3 ilikuwa ni kuogelea kwenye minofu iliyonona..na siku aliyoondoka mjomba akafungiwa furushi la nyama zilizokausha na kupewa ngozi ya yule ngombe aliyechinjwa kulingana na mila na desturi zetu... miaka ikapita mimi na kaka yangu tukamtembelea mjomba..tuliyokuta huko loading.............
 
Mimi nimeguna na nabisha
😹😹😹 Sema kweli??
Ila RRONDO umenichekesha wewe huwa unatafuta makosa yangu, kuna siku nilizingua mahali ukanishushua…!! 🤣
 
ukija tena njombe ramadhani nitafute naishi mitaa ya getini apa😌
 
Hii yaan niliiona tangu nipo form 1 halafu ni kitambo saaaana, kuna ile nyingine inayohimiza vijana kabla hawajafika miaka 35/40 kuna vitu vya kua navyo na vitu vya kuachana navyo akadokeza uwe na walau kanzu 1 na balagashea 1 haijalishi wewe muislamu au mkristu pia uwe na suti walau moja ya dharula, emu tafuta tafuta ukiona tuwekee nijikumbushie
 
Binafsi nikienda popote nkahisi mapokezi sio au ujio wangu ni kero kwa niliowakuta huwa sikai zaidi ya dakika 15 naaga naondoka. Iwe ni nyumbani, ofisini, dukani, bar, mgahawa, kijiweni au popote tu. Huwa naona kuwa kero kwa mtu ni tabia mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…