Utopolo walalamika kuonewa sana

Utopolo walalamika kuonewa sana

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20220208_1537271607.jpg

Screenshot_20220208-154028_Chrome.jpg
 
Huyo naye anajisahau sana, anaposema club inaonewa hafu viongozi tupo ana maana gani?

Au kasema hivyo kwa niaba ya kiongozi mwingine maana sijajua kama usemaji siku hizi ni uongozi au ni kibarua ambacho kinaonesha unaongozwa

Na ni kweli hajafikia rank za kuitwa kiongozi wa club wakati kuna habari zinasema kapewa limit hawezi kushiriki vikao vya ndani vya club (haaminiki) sasa huo uongozi ni upo anaouzungumzia au anadhani bado yeye ni afisa habari?
 
Hii kali.
Juzi pale EFM Radio huyu Haji alisema Yanga ni Timu kubwa haiwezi kulalamika juu ya waamuzi, wanafanya makosa ya kibinadamu.

Baada ya jana GSM kujitoa udhamini, leo mtu huyohuyo anaibuka na malalamiko ya waamuzi ambao hata kwenye mechi za Yanga waamuzi wanalalamikiwa.

Huku kuweweseka ni wazi ule udhamini ulikuwa na matunda mazuri kwa Timu.
 
Huyo naye anajisahau sana, anaposema club inaonewa hafu viongozi tupo ana maana gani?

Au kasema hivyo kwa niaba ya kiongozi mwingine maana sijajua kama usemaji siku hizi ni uongozi au ni kibarua ambacho kinaonesha unaongozwa

Na ni kweli hajafikia rank za kuitwa kiongozi wa club wakati kuna habari zinasema kapewa limit hawezi kushiriki vikao vya ndani vya club (haaminiki) sasa huo uongozi ni upo anaouzungumzia au anadhani bado yeye ni afisa habari?
Tafsfir ya kiongozi ni ipi?? Huwa unawaza kwa kichwa au tackle? Au kiongoz kwako mpk akuamrishe?
 
Hii kali.
Juzi pale EFM Radio huyu Haji alisema Yanga ni Timu kubwa haiwezi kulalamika juu ya waamuzi, wanafanya makosa ya kibinadamu.

Baada ya jana GSM kujitoa udhamini, leo mtu huyohuyo anaibuka na malalamiko ya waamuzi ambao hata kwenye mechi za Yanga waamuzi wanalalamikiwa.

Huku kuweweseka ni wazi ule udhamini ulikuwa na matunda mazuri kwa Timu.
Lakini pia wanafanya hii press ili ipunguze makali ya kuongelea GSM kujitoa kwenye kuzamini ligi..
 
Tafsfir ya kiongozi ni ipi?? Huwa unawaza kwa kichwa au tackle? Au kiongoz kwako mpk akuamrishe?
Mc pilipili ni msemaji, kwa hiyo huyu tumuite kiongozi?

Manara hawezi kuwa kiongozi kwasababu hakuna mtu mwingine ambaye yuko chini yake katika department ya usemaji

Labda kama utaniambia kama kuna katibu msemaji na manara ndio mwenyeketi wao hapo nitakubali
 
Mc pilipili ni msemaji, kwa hiyo huyu tumuite kiongozi?

Manara hawezi kuwa kiongozi kwasababu hakuna mtu mwingine ambaye yuko chini yake katika department ya usemaji

Labda kama utaniambia kama kuna katibu msemaji na manara ndio mwenyeketi wao hapo nitakubali
Hiyo ndio tafsfir ya kiongozi?, Wewe unaweza ukatoka kwenye media nakusema jambo juu ya Simba then watu wakakubali??, Basi kama hujui Moja ya sifa ya kiongozi nikuwa na authority power hakusema jambo fulani kwa niaba ya taasisi na watu wakalipokea kama official statement ya taasisi.
 
Press ya jana ya GSM na ya leo Yanga muelewa utajua kabisa ile bln 2 inaelekezwa wapi,haiwezekani timu 1 match 15 penalty 8 goli za offside 7 kukataliwa magoli waliyofungwa 4,penalty waliyopewa dhidi ya prison,goli la geita lilivyokataliwa eti kapombe kasukumwa na ile offside ya kagere dhidi ya mbeya kwanza,vurugu kwenye soka letu ndio zinaanza sasa,makolo mjiandae
 
Hiyo ndio tafsfir ya kiongozi?, Wewe unaweza ukatoka kwenye media nakusema jambo juu ya Simba then watu wakakubali??, Basi kama hujui Moja ya sifa ya kiongozi nikuwa na authority power hakusema jambo fulani kwa niaba ya taasisi na watu wakalipokea kama official statement ya taasisi.
Ngoja kwanza

Haji manara ni mara ngapi anasema mambo mengi kuhusu simba kwenye media?

Kaajiriwa na nani pale simba kwa ajili ya kuyasema hayo?

Kiongozi ni mtu ambaye anaongoza kundi la watu kadhaa ambao watu hao wako chini yake yani kiufhpi yeye ndio anawa manage

Hapo jangwani kuna wasemaji wangapi ambao wanaongozwa na manara?
 
Back
Top Bottom