Utopolo walalamika kuonewa sana

Utopolo walalamika kuonewa sana

Huyo naye anajisahau sana, anaposema club inaonewa hafu viongozi tupo ana maana gani?

Au kasema hivyo kwa niaba ya kiongozi mwingine maana sijajua kama usemaji siku hizi ni uongozi au ni kibarua ambacho kinaonesha unaongozwa

Na ni kweli hajafikia rank za kuitwa kiongozi wa club wakati kuna habari zinasema kapewa limit hawezi kushiriki vikao vya ndani vya club (haaminiki) sasa huo uongozi ni upo anaouzungumzia au anadhani bado yeye ni afisa habari?
Hata Maana Ya Neno Kiongozi Unataka Tukisaidie Maana Boss Wangu?
 
Hicho ndio kilichowachanganya. Misukule fc
Screenshot_20220209-152140.jpg
1644297672649.jpg
 
Hata Maana Ya Neno Kiongozi Unataka Tukisaidie Maana Boss Wangu?
Kuna maneno yanayo chukuliwa kimazoea bila watu kujua, nina mashaka na maana yako ya hilo neno ambayo unadhania kuijua

Unaweza kunipa hiyo maana tuione kama sio miongoni mwa maana potofu ambayo inatumika kimakosa?
 
Back
Top Bottom