Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msemaji si kiongozi? kweli common people have common sense.Huyo naye anajisahau sana, anaposema club inaonewa hafu viongozi tupo ana maana gani?
Au kasema hivyo kwa niaba ya kiongozi mwingine maana sijajua kama usemaji siku hizi ni uongozi au ni kibarua ambacho kinaonesha unaongozwa
Na ni kweli hajafikia rank za kuitwa kiongozi wa club wakati kuna habari zinasema kapewa limit hawezi kushiriki vikao vya ndani vya club (haaminiki) sasa huo uongozi ni upo anaouzungumzia au anadhani bado yeye ni afisa habari?
Kiongozi anayemuongoza nani?Msemaji si kiongozi? kweli common people have common sense.
jibu swali Msukule ni kiongozi?Unaelawa maana ya kiongozi?
ugoro mtupuPress ya jana ya GSM na ya leo Yanga muelewa utajua kabisa ile bln 2 inaelekezwa wapi,haiwezekani timu 1 match 15 penalty 8 goli za offside 7 kukataliwa magoli waliyofungwa 4,penalty waliyopewa dhidi ya prison,goli la geita lilivyokataliwa eti kapombe kasukumwa na ile offside ya kagere dhidi ya mbeya kwanza,vurugu kwenye soka letu ndio zinaanza sasa,makolo mjiandae
Sasa kama wanaweza si wafanye kimya kimya press za nini sasa? Au wenzao walifanya hizo press kabla ya kupewa hizo penalty na magoli ya offsidePress ya jana ya GSM na ya leo Yanga muelewa utajua kabisa ile bln 2 inaelekezwa wapi,haiwezekani timu 1 match 15 penalty 8 goli za offside 7 kukataliwa magoli waliyofungwa 4,penalty waliyopewa dhidi ya prison,goli la geita lilivyokataliwa eti kapombe kasukumwa na ile offside ya kagere dhidi ya mbeya kwanza,vurugu kwenye soka letu ndio zinaanza sasa,makolo mjiandae
Litakufa jituuuuuZikibakia Points 2 Sijui itakuwaje
Tumebalance shobo ili mambo yakianza mjue shida ilianzia wapi na ndio zile press zilipishana siku tuSasa kama wanaweza si wafanye kimya kimya press za nini sasa? Au wenzao walifanya hizo press kabla ya kupewa hizo penalty na magoli ya offside
Ha haaaa haaaaa...achana na Yanga.tuliaminishwa hii uto yetu imechangamka na hakuna kulalamika tena
Labani og
Its Pancho
KAGAMEE
Ulimakafu
zipompa
changaule
Shadeeya
View attachment 2113597.
Jaman si tulikubaliana yanga sio klabu ya kulalamikia lalamika!!!
Yaani tunashangaa hii mbeleko imekuwa nene hivi.Lkn sio kwa kubebwa anakofanyiwa Simba. Katka mechi mbili mfululizo Simba anabebwa na Yanga anauliwa mara mbili ktk mechi moja. Na sisi tuna roho jamani daaaah
Achana na sisi wewe, una mechi jumamosi huko hakuna refa wa kuwapa penalty.tuliaminishwa hii uto yetu imechangamka na hakuna kulalamika tena
Labani og
Its Pancho
KAGAMEE
Ulimakafu
zipompa
changaule
Shadeeya
View attachment 2113597
Sasa Yanga wanaonewa kwa lipi? Au kutoa sare na Mbeya City
Malalamiko FcYanga wanalalamika wiki nzima hii