Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tena mimi nilidanganywa kanisani kuwa Musa alipiga fimbo bahari ikagawanyika toka sikuiyo sijawahi kugusa kanisani kabisawote tumedanganywa,ebu sema ulidanganywa nini unachokikumbuka?
hiii ya kuoga nadhani hata mimi nilikua nayo,nilikua sipend kuoga maji baridi mimi Ikafika wakati nikisema naoga ntaigia bafuni ntaoga ila mgongo utatoka mkavuuuuuu.Utoto bwana mda wa kula tulikua tunapakuliwa kwenye senia sababu ya uvivu wa kutokula nikila pekeyangu basi tukimaliza kusali naanza na nyama yangu nikimaliza nalilia za wenzangu wakininyima watagombezwa kwamba hawaoni me mdogo wanipe wakigoma bmkubwa atanipa hata yake ilimradi tu
Mda wa kuoga nachuka mda mrefu bafuni nikiskia miguu ya mtu anakuja namwagamwaga maji ovyo ilimradi ujue naoga ila nikitoka bafuni miguu tu ndoimeloana maji sehemu nyingine ya mwili kavu nilipewa mikwaju sikumoja na bmkubwa ikawa ndo mwisho wa hiyo tabia
Cc Kingsmann
Mimi nilikua nikiona watu wanafanya hivyo nasema (wanafanya dhambi),bhasi rafiki angu alikua ananiambia twende tukaangalie wafanya Dhambi (hapo anamaanisha twende tukacheki X)Na mimi nikuwe muwazi
wakati niko na umri mdogo nilikuwa naamini sex is like kuiba ( dhambi rejelea kwenye dini )
Maana yake hata wanandoa hawaruhusiwi kufanya 😂😂😂
Ujanja woteeeeee joan Wingu likitanda unahisi linakudondokea 😀😀
Kwahiyo wewe samaki haumgeuzi?Hapo ndio utajua kama mtoto ni mzingativu au la
Maana mimi niliyoambiwa tangu mwaka huo mdogo niko chekecheka nayakumbuka kama jana
Sili kichwaKwahiyo wewe samaki haumgeuzi?
Hatujatofautiana 😂 😂 😂Mi nlikuwa naogopa mashine ya kukoboa na kusaga nafaka, yaan naweza ongozana na mama kwenda mashineni unakuta mashine imezimwa hadi wateja wawe wengi sasa ikiwashwa ule mlio na mtetemo wa ardhi kama hujanishika mkono vizuri utankuta mtaa wa pili, na treni nlikuwa naziogopa kwa zilivyokaa lile bichwa na mlio wake hasa ikiwa ndo inawashwa. Kuku mwenye vifaranga nakaa nae mbali maili 100.
hiii ya kuoga nadhani hata mimi nilikua nayo,nilikua sipend kuoga maji baridi mimi Ikafika wakati nikisema naoga ntaigia bafuni ntaoga ila mgongo utatoka mkavuuuuuu.
ikawa ndio kipimo changu kwamba nikitoka bafuni dada aambiwe anikague mgongoni na akinikuta mkavu anichape.