EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Ni wakati muafaka wa kujua upumbaf mlio nao ni wa kuzaliwa au mliuanza baada ya kuingia JF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha.....juzi dogo kaja kusemelea eti “dada” anamtesa sana.nilishtuka mno nikaanza na kufikiria Adhabu/hatua za kuchukua.Ila kwa upole nikamuhoji binti yangu dada anamtesaje.akanijibu eti kila siku anamlazimisha kulala tu mchana,ya kiiiiila siku akitoka shule,anaoga,kula,KULALA!eti “mi SIPENDI kulala jamani!
Yaani nilicheka mpaka basi
Hiyo simu unayo mpaka sasa ?Mimi nilipewa hela ya ada. Nikaamua kwenda kununua simu
Nilimuulizia bro wa form two kwa tsh 20,000 kwa kuogopa kukamatwa na Head MasterHiyo simu unayo mpaka sasa ?
Huyo broh nipo hapa 😅😅Nilimuulizia bro wa form two kwa tsh 20,000 kwa kuogopa kukamatwa na Head Master
Jamani wewe!Huu uzi umenifurahisha sana, Mimi nilikuwa najua mdogo wangu ndo atakuja kuwa mtoto wangu nikiwa mkubwa,
Wakaka kuniita 'mchumbaa' nilikuwa nalia mpaka nasusa kula, cha kusikitisha sasahivi hao wachumba hata siwaoni, Life is not fair..!!
[emoji16][emoji16]haka katabia sijaacha had leoKuna kale katabia ka kukojoa afu unatema mate ulipokojolea.. nakumbuka bro mtoto wa bamkubwa aliniambia usipotemea mate mchawi akipita mama yako anakatika maziwa! Mimi nilijua ni watu tu wa eneo letu kumbe karibia ni katabia ka wanaume wote wa Tz.. Mpaka leo najua haina maana yoyote kuteama mate ila bado nadumisha hii mira.. tena nisipotema nahisi sijajitendea haki
Hii hata mimi nimeshindwa kabisa kuiacha.Kuna kale katabia ka kukojoa afu unatema mate ulipokojolea.. nakumbuka bro mtoto wa bamkubwa aliniambia usipotemea mate mchawi akipita mama yako anakatika maziwa! Mimi nilijua ni watu tu wa eneo letu kumbe karibia ni katabia ka wanaume wote wa Tz.. Mpaka leo najua haina maana yoyote kuteama mate ila bado nadumisha hii mira.. tena nisipotema nahisi sijajitendea haki
Hahaha...ulikuwa boya sanaTukiwa wadogo tuliambiwa ukila huku umelala mama yako anakufa. Siku moja baba alikuwa anaumwa sasa sijui alipewa nini cha kutafuna akawa anakula huku amelala wacha niangue kilio namvuta aamke asile amelala mama atakufa[emoji23][emoji23][emoji23] eti nilijua mama yangu mimi na yeye ndio mama yake
Mimi mpaka leo naogopa mawingu, maji mengi na shimo.Utoto tabu tupu!
Imagine nilikuwa naogopa mawingu