Infopaedia
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 1,231
- 1,491
Mi nilijuaga kila nchi ina Nyerere wake. Dot com tulieni, hapo hamuwezi kunielewa baba yenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😃😃😀 Sisimizi wana jina jingine 'Nyenyere'. Sasa ndo Watoto wanaunganisha na la Kambarage.😃umesema nyerere mi nakumbuka nilikua nawaita sisimizi Nyerere
Hii ya +ve hata mimi nilikuwa nashangaa.. Nilikuwa nataka iwe -ve ndo mwenye ngomaMi nilikua najiuliza baba haoni aibu kulala na mwanamke kitanda kimoja? ( ambaye ni mama)
Halafu nilikua najiuliza wanaooana inakuaje mpka wana ishi wote?? Nilikua Sijui km wanaoana, nilikua najua wanajikuta tu wanaishi wote
Pia nilikua najiuliza +ve na - ve, -ve ndo mbaya mbona mwenye ukimwi wanasema yuko +ve Wakati ndo nzuri. Imagine hapo niki std5,, nilikua nataka mwenye vvu waseme yuko -ve
Kumbe tupo wengiHii ya +ve hata mimi nilikuwa nashangaa.. Nilikuwa nataka iwe -ve ndo mwenye ngoma
Kuna sisimizi mkubwa ilikiwa tumeaminishwa ukimkuta, unamuimbia na kumtemea mate unaomba unachotaka, mimi kila nikimuona namuimbia habari za ubwabwa tuu!
Pia kuna wale wadudu wakati tukiwa wadogo tunatamani maziwa, basi tunawachukua tunawaumisha kwenye maziwa! Wakikung'ata waumwa haswa tumaziwa tunavimba basi kwa akili za kitoto unahisi yameota!
Huu uzi umenifurahisha sana, Mimi nilikuwa najua mdogo wangu ndo atakuja kuwa mtoto wangu nikiwa mkubwa,
Wakaka kuniita 'mchumbaa' nilikuwa nalia mpaka nasusa kula, cha kusikitisha sasahivi hao wachumba hata siwaoni, Life is not fair..!!
Sasahivi ewaaah' sina tatizo nalo.!!Mchumba
We dogo ulikuwa mjeuri sanaGhetto tulikua tunalala na mabro zangu wawili siku hiyo umeme ulikatika afu nilikua muoga saana kutoka usiku kwenda chooni siku hiyo kimba lilinibana mida ya saa sita nawaamsha mabro wanisindikize wanakausha wanajifanya awaskii kumbe wananichekea kwenye ma blanket. kimba lilipo nizidi nikavua nguo hapohapo nakushusha. mzee harufu iliyo kuwepo mle ndan hakuna aliye vumilia
Pimbi kabisa ww kwa hiyo ulijua yeye atabaki katoto milele na mileleHuu uzi umenifurahisha sana, Mimi nilikuwa najua mdogo wangu ndo atakuja kuwa mtoto wangu nikiwa mkubwa,
Wakaka kuniita 'mchumbaa' nilikuwa nalia mpaka nasusa kula, cha kusikitisha sasahivi hao wachumba hata siwaoni, Life is not fair..!!
Hahahahaha.....juzi dogo kaja kusemelea eti “dada” anamtesa sana.nilishtuka mno nikaanza na kufikiria Adhabu/hatua za kuchukua.Ila kwa upole nikamuhoji binti yangu dada anamtesaje.akanijibu eti kila siku anamlazimisha kulala tu mchana,ya kiiiiila siku akitoka shule,anaoga,kula,KULALA!eti “mi SIPENDI kulala jamani!Nilikuwa sipendwi kulala mchana nilikuwa nalia sanaaa
Si umeshazoea “Tabia mbaya”!Sasahivi ewaaah' sina tatizo nalo.!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahhaaaa uwiiii wana itwa fukufuku nimeumisha sana nyonyo kifuani
Hahhaaaa uwiiii wana itwa fukufuku nimeumisha sana nyonyo kifuani
Mimi nilipewa hela ya ada. Nikaamua kwenda kununua simuMi nlkua mjinga sana aisee
Nlifanya hadi headmaster ahame shule