Utoto bwana,acheni tu

Utoto bwana,acheni tu

Mi nilijuaga kila nchi ina Nyerere wake. Dot com tulieni, hapo hamuwezi kunielewa baba yenu.
 
Mi nilikua najiuliza baba haoni aibu kulala na mwanamke kitanda kimoja? ( ambaye ni mama)
Halafu nilikua najiuliza wanaooana inakuaje mpka wana ishi wote?? Nilikua Sijui km wanaoana, nilikua najua wanajikuta tu wanaishi wote

Pia nilikua najiuliza +ve na - ve, -ve ndo mbaya mbona mwenye ukimwi wanasema yuko +ve Wakati ndo nzuri. Imagine hapo niki std5,, nilikua nataka mwenye vvu waseme yuko -ve
 
Mi nilikua najiuliza baba haoni aibu kulala na mwanamke kitanda kimoja? ( ambaye ni mama)
Halafu nilikua najiuliza wanaooana inakuaje mpka wana ishi wote?? Nilikua Sijui km wanaoana, nilikua najua wanajikuta tu wanaishi wote

Pia nilikua najiuliza +ve na - ve, -ve ndo mbaya mbona mwenye ukimwi wanasema yuko +ve Wakati ndo nzuri. Imagine hapo niki std5,, nilikua nataka mwenye vvu waseme yuko -ve
Hii ya +ve hata mimi nilikuwa nashangaa.. Nilikuwa nataka iwe -ve ndo mwenye ngoma
 
Kuna sisimizi mkubwa ilikiwa tumeaminishwa ukimkuta, unamuimbia na kumtemea mate unaomba unachotaka, mimi kila nikimuona namuimbia habari za ubwabwa tuu!

Pia kuna wale wadudu wakati tukiwa wadogo tunatamani maziwa, basi tunawachukua tunawaumisha kwenye maziwa! Wakikung'ata waumwa haswa tumaziwa tunavimba basi kwa akili za kitoto unahisi yameota!

Hahhaaaa uwiiii wana itwa fukufuku nimeumisha sana nyonyo kifuani
 
Huu uzi umenifurahisha sana, Mimi nilikuwa najua mdogo wangu ndo atakuja kuwa mtoto wangu nikiwa mkubwa,

Wakaka kuniita 'mchumbaa' nilikuwa nalia mpaka nasusa kula, cha kusikitisha sasahivi hao wachumba hata siwaoni, Life is not fair..!!
 
Mchumba
Huu uzi umenifurahisha sana, Mimi nilikuwa najua mdogo wangu ndo atakuja kuwa mtoto wangu nikiwa mkubwa,

Wakaka kuniita 'mchumbaa' nilikuwa nalia mpaka nasusa kula, cha kusikitisha sasahivi hao wachumba hata siwaoni, Life is not fair..!!
 
Ghetto tulikua tunalala na mabro zangu wawili siku hiyo umeme ulikatika afu nilikua muoga saana kutoka usiku kwenda chooni siku hiyo kimba lilinibana mida ya saa sita nawaamsha mabro wanisindikize wanakausha wanajifanya awaskii kumbe wananichekea kwenye ma blanket. kimba lilipo nizidi nikavua nguo hapohapo nakushusha. mzee harufu iliyo kuwepo mle ndan hakuna aliye vumilia
We dogo ulikuwa mjeuri sana
 
Huu uzi umenifurahisha sana, Mimi nilikuwa najua mdogo wangu ndo atakuja kuwa mtoto wangu nikiwa mkubwa,

Wakaka kuniita 'mchumbaa' nilikuwa nalia mpaka nasusa kula, cha kusikitisha sasahivi hao wachumba hata siwaoni, Life is not fair..!!
Pimbi kabisa ww kwa hiyo ulijua yeye atabaki katoto milele na milele
 
Nilikuwa sipendwi kulala mchana nilikuwa nalia sanaaa
Hahahahaha.....juzi dogo kaja kusemelea eti “dada” anamtesa sana.nilishtuka mno nikaanza na kufikiria Adhabu/hatua za kuchukua.Ila kwa upole nikamuhoji binti yangu dada anamtesaje.akanijibu eti kila siku anamlazimisha kulala tu mchana,ya kiiiiila siku akitoka shule,anaoga,kula,KULALA!eti “mi SIPENDI kulala jamani!
Yaani nilicheka mpaka basi
 
Back
Top Bottom