Utoto bwana,acheni tu

Ni wakati muafaka wa kujua upumbaf mlio nao ni wa kuzaliwa au mliuanza baada ya kuingia JF
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inabidi ujue hadi sasa hiv bado upo katika mambo ya kitoto kutuletea Uzi kama huu
 
Huu uzi umenifurahisha sana, Mimi nilikuwa najua mdogo wangu ndo atakuja kuwa mtoto wangu nikiwa mkubwa,

Wakaka kuniita 'mchumbaa' nilikuwa nalia mpaka nasusa kula, cha kusikitisha sasahivi hao wachumba hata siwaoni, Life is not fair..!!
Jamani wewe!
 
[emoji16][emoji16]haka katabia sijaacha had leo
 
Mimi nilikuwa nawaogopa sanaa wavuta bhangi.Ila nnavyozitembeza siku hizi[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mimi nilikuwa najua watoto hawazaliwi bali wananunuliwa hospitalin
 
Halafu nilikuwa najiuliza hivi nyerere akifa rais atakuwa nani asa nikiwaza hivyo nakosa kabisa amani,najua nchi sasa ndo kushney
 
Utoto raha sana,Nilikuwa na katabia kuna kamlio nakatoa mdomoni kama mdomo nauchezesha hivi siku nikapita na hako kamlio karibu na wamama..we! Walinikosakosa na vifuu,wengine mawe Sikujua sababu yake mpaka siku nilipolala na yule binti kwa mara ya kwanza.
 
Hii hata mimi nimeshindwa kabisa kuiacha.
 
Hahaha...ulikuwa boya sana
 
Nilijuaga watu wazima hasa wababa hawajisaidii haja kubwa

Pia nilijua wazazi huwa hawakosei kabisa, wako perfect.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…