Utoto wa Fei Toto utawasumbua wachezaji wa Kizanzibari

Utoto wa Fei Toto utawasumbua wachezaji wa Kizanzibari

Hata akishinda atakuwa amedhoofika sana kisoka
 
Acha fei toto aende nafikiri sisi WANANCHI ni zaidi ya fei toto kama walipita WAKINA edibily Jonas lunyamila ,akida makunda, sekilojo chambua sembuse feitoto nafikiri ameondoka wakati sahihi acha akatafute riziki kwingine ila WANANCHI sio kwamba tuatashindwa kucheza kisa feitoto
Hao uliotaja wote achepe alolo... sifa nyingi mpira ukiisha huli sifa. Fei Toto hata hapo Yanga kuna nyakati hakuwa na namba mbele ya dogo mmoja mzanzibar hadi kocha Nabi akamrudisha kwenye kiwango.

Yanga mnashida kwenye mikataba hilo kubalini idara ya sheria imewaangusha muda mrefu. Mkataba umeweka wazi kipengele cha kuvunja mkataba kwa pande zote tena hata kama hakuna sababu unategemea nini kama mchezaji anaona anaibeba timu huku maslahi ni duni? Mngewahi kumboreshea ili atulie.

Achezi ushabiki usiosaidia timu, walaumuni viongozi wenu kwa uzembe badala ya kumshambulia tu mchezaji. Hata Mayele hapati picha nzuri za mashabiki wasioweza kumtetea kama akidai maslahi mazuri kutokana na mchango wake. Wachezaji sio mashabiki, hio ni kazi yao na wana maisha nje ya mpira.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Hao uliotaja wote achepe alolo... sifa nyingi mpira ukiisha huli sifa. Fei Toto hata hapo Yanga kuna nyakati hakuwa na namba mbele ya dogo mmoja mzanzibar hadi kocha Nabi akamrudisha kwenye kiwango.

Yanga mnashida kwenye mikataba hilo kubalini idara ya sheria imewaangusha muda mrefu. Mkataba umeweka wazi kipengele cha kuvunja mkataba kwa pande zote tena hata kama hakuna sababu unategemea nini kama mchezaji anaona anaibeba timu huku maslahi ni duni? Mngewahi kumboreshea ili atulie.

Achezi ushabiki usiosaidia timu, walaumuni viongozi wenu kwa uzembe badala ya kumshambulia tu mchezaji. Hata Mayele hapati picha nzuri za mashabiki wasioweza kumtetea kama akidai maslahi mazuri kutokana na mchango wake. Wachezaji sio mashabiki, hio ni kazi yao na wana maisha nje ya mpira.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Una akili kama za Fei au Fei ana akili kama zako? Huwezi kuongezwa posho eti kwasababu umeifunga Azam au umefunga BAO zuri la msimu. Mfano, Sakho baada ya kufunga BAO Bora la caf kwenye mashindano angewaambia Simba niongezeni posho, Boko baada ya kufunga hart trick mbili awadai Simba aongezewe posho hapohapo katikati ya mkataba. Hakuna mpira wa hivyo duniani. Unalipwa ili ucheze sio ucheze ili ulipwe.
 
Umeandika kama kilaza. Ili wazanzibar wamchukie fei toto? Mimi yanga mwenzio ila nimekuona kilaza. Kwani Niyonzima alipofanya haya kuhamia Simba tukachoma moto na jersey yake...si baadaye alipoachwa simba tulimchukua tena?

Morrison alitucheka na kutunyanyasa tukaenda Caf, Cas , Fifa n.k alipotemwa Simba si tulimchukua tena?

Sisi Yanga ni Wapumbavu. Na Fei akishindwa huko atarudi tutamshangilia....sababu asilimia kubwa ya mashabiki wetu hawana akili na viongozi wanatuendesha kwa propaganda
 
Umeandika kama kilaza. Ili wazanzibar wamchukie fei toto? Mimi yanga mwenzio ila nimekuona kilaza. Kwani Niyonzima alipofanya haya kuhamia Simba tukachoma moto na jersey yake...si baadaye alipoachwa simba tulimchukua tena?

Morrison alitucheka na kutunyanyasa tukaenda Caf, Cas , Fifa n.k alipotemwa Simba si tulimchukua tena?

Sisi Yanga ni Wapumbavu. Na Fei akishindwa huko atarudi tutamshangilia....sababu asilimia kubwa ya mashabiki wetu hawana akili na viongozi wanatuendesha kwa propaganda
Hawa wote hawakuomdoka kama alivyoondoka bwege Fei. Ndiyo maana ameshindwa kesi kirahisi. Fei tumemtengezena wenyewe hadi akawa mtamu tofauti na Morrison na niyonzima.. Niyonzima aligoma kuongeza mkataba mpya, Fei alikuwa na mkataba. Kijana angewaelekeza waende Yanga wale wote wanaotaka huduma yake wapewe bei. Au kiungwana kabisa angewasilisha hoja yake moja kwa moja kwa Hersi
 
Hawa wote hawakuomdoka kama alivyoondoka bwege Fei. Ndiyo maana ameshindwa kesi kirahisi. Fei tumemtengezena wenyewe hadi akawa mtamu tofauti na Morrison na niyonzima.. Niyonzima aligoma kuongeza mkataba mpya, Fei alikuwa na mkataba. Kijana angewaelekeza waende Yanga wale wote wanaotaka huduma yake wapewe bei. Au kiungwana kabisa angewasilisha hoja yake moja kwa moja kwa Hersi
Bernard Morrison aliondokaje? Au ulikuwa mdogo kipindi hicho?
 
Mihemko ilitumika zaidi. Kuna matajiri walimpotosha mtoto. Kuanzia sasa ninamsamehe Fei kwa kila kitu kilichotokea. Hakuna asiyependa pesa hata mmoja. matajiri walimtia mtegoni kijana wa watu kipenza cha wanaYanga. Hebu sikia hili
 
Kipindi anasaini mkataba mwaka hakuwa na power ya kuweza kusililizwa kwasababu hakuwa na plan B itayomsaidia endapo wasopofika makubaliano

Vipi kama alijaribu kugusia swala la Yanga wamuongezee mshahara ila walimu ignore kwasababu walijua hana jeuri ya kwenda sehemu yeyote kwakua hakuna timu iliyomuhitaji kwa wakati huo?

Lakini kitu kingine wisely ni kwanini swala la kuongeza mshahara mpaka liombwe na mchezaji?

Kwani uongozi wenyewe hauoni mchango au thamani ya mchezaji kustahili malipo zaidi ya hayo mpaka mchezaji mwenyewe aombe?
Kumbe kuna wakati unatumia akili sahihi.
 
Kumbe kuna wakati unatumia akili sahihi.
Mpira wetu ndio kwanza umeanza kupiga chafa, vijana wetu ni lazima washauriwe vizuri kuhusu mikataba na namna ya kudai maslahi yao. Tusiwapotoshe kama wanaweza kudai nyongeza muda na siku yoyote wakiifunga Simba au Yanga mabao matatu kwenye mechi. Waelemishwe nini maana ya mkataba na waelewe kuwa kila mchezaji anao mkataba wake wenye masharti na malipo tofauti. Wajifunze kuwa na mameneja (chawa) wanaosimamia uchezaji wao na maslahi.

Yanga lazima wakaze misuli yao kupambana na yeyote aliyekiuka kanuni za Yaanga, TFF, caf na FIFA katika kumsajili mchezaji wa timu nyingine mwenye mkataba. Fidia watakayopata kwenye kosa hilo inaweza kusajili wachezaji 3 wa kiwango cha juu sana.
 
Back
Top Bottom