Utoto wa Fei Toto utawasumbua wachezaji wa Kizanzibari

Utoto wa Fei Toto utawasumbua wachezaji wa Kizanzibari

Kukaa chini wakati mko ndani ya mkataba wala sio issue,djuma,bangala na mayele wameongeza mkataba wakiwa ndani ya mkataba,hata fei mwenyewe aliongeza akiwa ndani ya mkataba so aikua dhambi kukaa tena na Yanga akiwa ndani ya mkataba,hata leo hii diarra ameongeza mkataba akiwa bado mkataba wa awali haujaisha,fei afuate taratibu za kuvunja mkataba Yanga wala awatomng'ang'ania lkn sio huu uhuni anaoutumia,mikataba kama ingekua inavunjwa hivyo sipati picha vurugu ambazo zingekuwepo
Mkuu hawa mashabiki wengi wa simba wameamua kulivalia njuga hili swala, wamesahau mwenendo mzima wa timu yao sasa kila dosari kwa Yanga kwao ni Furaha au ( Kombe) . Nje & Ndani wanajua hata Fei akisepa bado Yanga ni tishio kwao.
Fei hajacheza game ngapi mpaka sasa? Yanga imekosa matokeo jibu ni hakuna...! huko kimataifa Fei alionesha kitu kipi? hakuna Fei ni mchezaji kipenzi wa mashabiki na Viongozi tu ila uwanjani ni wakawaida tu...
 
Mm nilidhani najadiliana na mtu mwenye akili umbe naongea na kilaza hapa? hebu rudia kusoma ulicho kiandika alafu ujitathimini akili yako.


Kinacho mmbeba fei ni uwezo wake binafisi na sio kwa sababu eti ni bora kisa anacheza yanga na ndio maana yanga haikuweza kumtengeneza Nchimbi kuwa kama fei au yipe kuwa kama mayele.

Uwezo wa fei angeweza kuuonesha hata kwenye timu nyingine kama simba na Azam.

Kuhusu timu kumtunza ni wajibu wa timu kumtunza mwajili wake ambaye ni mchezaji na wala sio hisani.
Kwahiyo kama kiwango chake kingekuwa kibovu baada ya kusaini angeomba apunguziwe mshahara? kaka usajili ni kama kamali (gambling), Fei amekosea sana, kiwango chake alichokionyesha kingemsadia sana wakati wa kuongezewa mkataba au kununuliwa na timu nyingine, hivyo yanga na Fei wangecheza win-win situation kwa furaha kabisa. Tamaa mbaya, maana tamaa na heshima havikai nyumba moja.
Feisal amekuja akiwa mchezaji wa kawaida kabisa, tena alikuwa akifunikwa hata na mwenzake Bui. Msimu huu kiwango chake kimekuwa juu sana na amekuwa katika ya wachezaji wa kuzungumziwa.

Kwa vile msimu ndio kwanza unaendelea na kiwango kimeongezeka sana msimu huu, Fei alipaswa kuketi chini na waajiri wake ili kuomba kuboresha mkataba wake uendane na kiwango chake. Kama hilo lingekwama ndipo angetazama kuvunja mkataba kwa kufuata masharti yaliyomo kwenye mkataba huo.

KOSA LA FEI: Baada ya KUSHAWISHIWA kwamba kufuatia kiwango chake msimu huu halipwi kwa haki, akavimba kichwa na kuamua kuvunja mkataba kienyeji. Badala ya kuketi na mwajiri kumjulisha kuwa ziko timu nyingine zilizo tayari kumlipa maradufu kama hataboreshewa mkataba, yeye kafanya mambo kinyemela. Hapa kuna hila imetumika ili kujaribu kumng'oa Yanga kwani kwa taratibu za kawaida ibgehitajika gharama kubwa.

Halafu hapo hapo binafsi kama kweli Azam ndio wamehusika, ni ngumu sana kumbakisha Fei kwa sababu kitakachoongoza suluhu ni Uzanzibari na si vinginevyo. Azam wanatumia karata hiyo kwa chini chini na ndipo Fei anajiona yuko nyumbani kuliko alivyo Yanga. Hata kama Yanga watamwahidi helkopta licha ya Benzi, bado dogo huyu asiyejitambua hatorudi klabuni.

Kama ulivyosema huenda sakata hili likawa kizongiti kwa chipukizi wa Kizanzibari katika siku zijazo.
Ni kosa kwa timu kuongea na mchezaji wa timu nyingine kuhusu uhamisho. Kama kuna timu nyingine zinamtaka kwa bei kubwa angesubiri wakati Yanga inataka kumuongezea mkataba wake. Angewapa masharti yake kabla ya kukubali kusaini mkataba mpya. La sivyo, kama anatakiwa haraka na hiyo timu timu husika ingetoa offer yake kwa Yanga ili ikubali kumwachia mchezaji wake dirisha dogo. Alichofanya Fei ni sawa na binti aliyechukua pesa kwa mchumba na kwenda kumlipa baba yake gharama za kumlea ili aende kuolewa bure na bwana huyo.
 
Nyie mtahangaika sana kutafuta hatia ya Feisal lakini kama tatizo basi linaanzia hapo kwenye uongozi.

Maslahi ya mchezaji ni kitu muhimu sana, usiione thamani ya mchezaji punde tu baada ya yeye kuonesha dalili ya kutaka kuondoka

Ni kama saizi mnavyotumia muda mwingi kutafuta makosa ya Feisal wakati huu ulikuwa ni muda mzuri wa kurekebisha na kuboresha maslahi ya wengine ambao wamesalia ili lisije kutokea tena.

Umeandika pumba, sounds like you are from there.kinachoamua mshahara wa mchezaji ni makubaliano waliofikia wakati wanajadili mkataba wake. Kama anaona thamani yake imepanda anasubiri mkataba uishe aanze mazungumzo mapya ya kuuboresha mkataba au kuuvunja.
Achana na hisia za vijiweni
 
Mchezaji mkubwa duniani kote ni dau lake la uhamisho kutoka kwenye club yake kwenda club inayohitaji saini yake au timu yake inapotaka kumuongezea mkataba, sio chupli chupli hizi za kishamba na ulimbukeni. Yanga alikuwa anapewa nafasi ya kucheza sio kwamba alikuwa bora kuliko wengine. Nabi alimpa nafasi ya upendeleo kwasababu alikuwa mzawa na sio kwamba alikuwa mzuri sana kuliko wengine. Ukweli wa hili ni timu kufsnya vizuri hata anapokosekana Fei toto uwanjani. Heshima aliyopewa na Nabi ili kuboresha kipaji chake ndio iliyomtia kiburi yeye na wahuni wenzake. Yanga inatakiwa imuuze sio uhuni wa hivi. Na mimi ninakwambia Fei anaweza asifike mbali kisoka. Hii ni sawa na mwanamke aliyejipeleka mwenyewe kwa mwanaume, hawezi kupata hadhi ile ya mwanamke aliyekwenda kuchukuliwa kwao kwa wazazi wake.
Punguza mihemko mbona hta Yanga hua wanawafanyia wengine uhuni au mkuki Kwa nguruwe kwa binadamu unauma
 
Sio kwamba kajua thamani yake, ipo hivi mchezaji unaweza kukubaliana nae mkalipana kiasi fulani na kila mmoja akaridhia. Ila sasa mchezaji ikishafikia hatua ya kuhusishwa na kutakiwa sehemu ndipo nae anaanza kuvimba. Feisal na Azam wametumia mapungufu ya mkataba wa Yanga. Kosa ni la ni la Yanga wenyewe kuweka mkataba wa ovyo
Hivi mbona Azam hawajasema chochote kuhusu hili sakata? Ukute wahusika ni wengine kabisa Azam ni chambo tu[emoji23][emoji23]
 
Umeandika pumba, sounds like you are from there.kinachoamua mshahara wa mchezaji ni makubaliano waliofikia wakati wanajadili mkataba wake. Kama anaona thamani yake imepanda anasubiri mkataba uishe aanze mazungumzo mapya ya kuuboresha mkataba au kuuvunja.
Achana na hisia za vijiweni
Fei Hana hatia kafuata taratibu zote kuvunja mkataba wake walaumuni viongozi wenu Kwa kuingia naye mkataba wa ovyo
 
Umeandika pumba, sounds like you are from there.kinachoamua mshahara wa mchezaji ni makubaliano waliofikia wakati wanajadili mkataba wake. Kama anaona thamani yake imepanda anasubiri mkataba uishe aanze mazungumzo mapya ya kuuboresha mkataba au kuuvunja.
Achana na hisia za vijiweni
Kwanini asubiri mpaka mkataba uishe wakati mkataba huo huo una kipengele kinachoruhusu uvunjwe wakati wowote kwa kulipa 100M na mishahara ya miezi mitatu?
 
Kwanini asubiri mpaka mkataba uishe wakati mkataba huo huo una kipengele kinachoruhusu uvunjwe wakati wowote kwa kulipa 100M na mishahara ya miezi mitatu?
Kwa akili zako unadhani mtu anavunja mkataba akiwa amejifungia chumbani mwake? Rage toa elimu huku!!
 
Nyie mtahangaika sana kutafuta hatia ya Feisal lakini kama tatizo basi linaanzia hapo kwenye uongozi.

Maslahi ya mchezaji ni kitu muhimu sana, usiione thamani ya mchezaji punde tu baada ya yeye kuonesha dalili ya kutaka kuondoka

Ni kama saizi mnavyotumia muda mwingi kutafuta makosa ya Feisal wakati huu ulikuwa ni muda mzuri wa kurekebisha na kuboresha maslahi ya wengine ambao wamesalia ili lisije kutokea tena.
Naona simba mmekua watetezi wa feisal kama suala ni masilahi hv kipindi miquisone na chama wanaondoka mbona mashabiki mlirusha sana lawama kwa uongozi je hamkujua kama kule wanapoenda masilahi yao yalikua makubwa zaidi? Alichokifanya feisal sio uungwana kwa heshima yake angekaa tu mezani na uongozi wamalizane katika maisha ujui kesho yako uko anapoenda anaweza akaflop akarudi tena yanga kama ilivyokua kwa chama na kisinda
 
Yanga ni Taasisi, Imeanza toka 1930's huko, Walishakuja na kusepa wengi mno! Yanga haiwezi kupoteza kwakua Fei hayupo, lakini pia Yanga haikusema Fei afie jangwani, issue ilikua ni kuondoka kiungwana!! Kauzwa CR 7, Wyne Rooney na wengine wakali wengi sembuse Fei.. So issue ilikua ni kuondoka kwa njia rasmi. Pesa isiondoe Utu na ubinadamu.
Kwani kaondoka kwa njia isiyo rasmi ?.... 🙂
 
Umeandika pumba, sounds like you are from there.kinachoamua mshahara wa mchezaji ni makubaliano waliofikia wakati wanajadili mkataba wake. Kama anaona thamani yake imepanda anasubiri mkataba uishe aanze mazungumzo mapya ya kuuboresha mkataba au kuuvunja.
Achana na hisia za vijiweni
Uliisoma announcement ya Yanga kuhusu swala la Feisali?

Uongozi wa Yanga ulisema ulikuwa tayari kuboresha mshahara wake pamoja na ku extend mkataba

Sasa kama haiwezekani mshahara kuongezeka kabla ya mkataba kuisha ina maana Yanga ilikuwa inataka kufanya ulaghai??
 
Kwa akili zako unadhani mtu anavunja mkataba akiwa amejifungia chumbani mwake? Rage toa elimu huku!!
Wewe unahitaji kupumzika kwanza,uko so frustrated na swala la Feisal mpaka kila mtu unamtolea povu.Maisha hayapo hivyo ndugu [emoji3][emoji3]
 
Mpira ni furaha na mpira ni ajira pia. Lakini mpira una sheria, kanuni na taratibu zake. Fei Toto kuiacha Yanga katikati ya mashindano ya African championship, ligi kuu, Azam cup na mapinduzi cup sio Cha mtu muungwana hata kidogo na kinaudhi kila mtu mwenye akili lazini.

Lakini kuondoka kwake kihuni kinahusika sana na uzanzibar wake, Yaani aliyemtorosha ametumia uhusiano wa mchezaji ña aliyemrubuni.

Hii inaweza kusababisha Yanga kwasasa isitafute vipaji Zanzibar,

Sawa uneandika Point..
ila wewe ni Yanga Damu![emoji123][emoji12]
 
Uliisoma announcement ya Yanga kuhusu swala la Feisali?

Uongozi wa Yanga ulisema ulikuwa tayari kuboresha mshahara wake pamoja na ku extend mkataba

Sasa kama haiwezekani mshahara kuongezeka kabla ya mkataba kuisha ina maana Yanga ilikuwa inataka kufanya ulaghai??
Labda tuombe mkataba wa Yanga na Fei umeandikwa nini kuhusu kuvunja mkataba. Inawezekana Fei alikitumia kifungu hicho kwenye makataba kama kilivyo. Tunachokisema sisi ambacho kinaudhi wengi ni kukosekana kwa busara na hekima katika kukitumia hicho kifungu. yaani inaonekana kama vile Fei aliwekewa sumu kwenye chakula, hivyo anakimbia kujinusuru. Binafsi mimi siungi mkono Yanga kumuongeza mshahara Fei kwa njia ambazo ni kinyume na mkataaba wake. Hii ingesababisha Yanga isitawalike hata kidogo, kila mchezaji angedai kutendewa the same, ila naunga mkono Fei kuongezewa maslahi wakati wa kuongeza kandarasi yake kutoka na perfonce yake. Kipaji pekee hakitoshi katika kufanikisha mambo, bali utahitaji kuwa mwaminifu, hekima, busara na subra. Hata timu inayotaka kumsajili kwa njia hii itamdharau sana Fei, wataishi nae kwa tahadhari kubwa kwa kuwa haaminiki. Kuna mfanyakazi mwenzetu alikuwa amepata kazi nzuri yenye maslahi makubwa kwenye shirika la kimataifa, lakini aliwaambia kuwa hawezi kuripoti kwao mpaka kwanza akamilishe kazi alizozianza za mwajili wake wa sasa. Lile shirika walikubali amalizie kazi za mwajili na azikabidhi kabla hajaondoka,. Walimheshimu na kumuamini sana yule kijana kwa kitendo kile. Angekuwa mtu kama Fei toto angeacha kazi siku hiyohiyo na kusema shauri zao mimi naenda UN kwenye maslahi makubwa.

Fei ameiambia Yanga shauri yenu mimi naondoka.
 
Huyu Mudathir mliyemsajil ni Muha??
Nikajua ndio mmesusa kuwasajili wanzibar tena maana nyie mpaka leo mnahisi kumsajili mchezaji wa ndani ni kama kumsaidia hivyo maslahi mumpangie yoyote mnayopenda na asihoji
 
Huyu Mudathir mliyemsajil ni Muha??
Nikajua ndio mmesusa kuwasajili wanzibar tena maana nyie mpaka leo mnahisi kumsajili mchezaji wa ndani ni kama kumsaidia hivyo maslahi mumpangie yoyote mnayopenda na asihoji
Hakuna anaemshobokea, au huoni!!! Hata kwa kumuangalia TU usoni na anavyoongea na kujiekeza utagundua TU kuwa Fei ana shida ya akili sio kama mudathir. Mudathir ni mwanaume lakini Fei ni kivulana fulani hivi.
 
Back
Top Bottom