Utoto wa Fei Toto utawasumbua wachezaji wa Kizanzibari

Utoto wa Fei Toto utawasumbua wachezaji wa Kizanzibari

Binafsi sikatai mchezaji kuiacha timu kwenda timu nyingine. Lakini ziko taratibu za kimpira za kujiunga na kuondoka kwenye timu.

Tabia za Akina canavaro silisababisha Yanga iwe kipenzi Cha wachezaji wengi wa Zanzibar, lakini tabia ya Fei Toto nayo itasababisha Yanga iwachukie pia.

Eti mtu anasema Mimi ndiye kocha wake wa timu ya utotoni niliyevumbua kipaji chake, hivyo nimemshauri aende akatafite maslahi zaidi,
Hajavunja utaratibu wote kuondoka Yanga, katumia kipengele kilichoko kwenye huo huo mkataba wake na klabu kuondoka ndio maana uongozi haujaweza kumshtaki popote badala yake wanambembeleza arudi mezani wayajenge
 
Vilabu vyetu magumashi tena sana ila muda mwingine vinakosewa ila kutokana na historia yao jamii inakua haipo upande wao,feisal anademand maslahi zaidi huku ikiwa mkataba wake wa awali haujaisha,hilo si tatizo,shida inakuja feisal akijua bado ana mkataba lkn yeye anaondoka eneo la kazi imagine klabu ingemfukuza fei kila mdau wa soka angekua upande wa fei na sasa hivi ni kama fei ndio anaifukuza klabu lkn bado jamii iko upande wa fei,sometimes tuangalie na upande wa pili wa shilingi pia,njia za kuboresha mkataba au kuvunja mkataba zote zipo kwenye ule mkataba,fei anatakiwa afuate njia sahihi za kuvunja mkataba sidhani kama Yanga watamkatalia lkn si kama anavyofanya sasa hivi
Sasa mkuu ebu tuchukulie swala la Feisal ku demand maslahi zaidi kabla ya mkataba kuisha ni jambo ambalo linakiuka kanuni

Tukubaliane hapo kuwa ni kosa kisheria

Sasa mbona Yanga ilikuwa tayari kukaa chini na Feisali kumkubalia ombi lake la kuongezewa mshahara?

Hiyo kikanuni imekaaje?
 
Issue ya Morrison ni tofauti kabisaa na ya huyu mwehu, Morrison kaja Yanga akiwa mchezaji mkubwa kabisa lakini Fei kaja Yanga akiwa mchezaji mdogo kabisa.

Yanga ilakikuza kipaji chache kwa gharama kubwa ya mabenchi ya ufundi na mazingira Bora ya kucheza mpira. Mbona Msuva aliondoka na watu hawana kinyonyo nae?
Hahahahah mbona mnamlaumu sana wakati kafuata taratibu zote kuondoka? Hivi mfano angebakia yanga na akakataa kuongeza mkataba Ili aondoke free mngelalamika? Haya mambo yanaenda kisheria na yeye kafuata taratibu zote kuondoka
 
Huwa nawashangaa sana wanaosema na kuwa analipwa kidogo wakati aliridhia mwenyewe kulipwa hicho na akasaini
Ndio kasanuka kwamba anapigwa kaamua kununua mkataba wake Ili awe huru sasa[emoji23][emoji23][emoji23] Mimi sioni kosa lake hata wewe ukipata kazi yenye maslahi makubwa zaidi ya kazi unayoifanya Kwa sasa unajua utakachokifanya
 
Nami nimekuuliza nikiwa najua unaujua mpira na unaweza ukatoa rate ya ubora wa mchezaji kiusahihi

Kitu gani kinacho husiana na ubora ulichokiona kimeongezeka kwa Feisali sasa hivi ambacho awali kabla ya mkataba hakikuwepo?
Binafsi naona hakuna
 
Mkuu mlitaka apewe sh ngapi nyie viazi? Maslah ya mchezaji hayarekebishwi katkat ya mkataba ... Fei kiwango chake kimepanda akiwa kat kat ya mkataba, katika kurenew mkataba angeomba hayo maslah kama angenyimwa angetimka Zake, ndo wanavyofanya wachezaji wengi tuu worldwide, Sadio Mane ni mfano.

Fei karubuniwa na hajafanya uungwana , kama demand ilikuwa kubwa Sana walau angechora mwisho wa msimu
Kwani kakiuka mkataba? Si kafuata taratibu zote kuvunja mkataba? Kama kakiuka mbona hashtakiwi zimebaki kelele tu mitandaoni?
 
Yanga ni Taasisi, Imeanza toka 1930's huko, Walishakuja na kusepa wengi mno! Yanga haiwezi kupoteza kwakua Fei hayupo, lakini pia Yanga haikusema Fei afie jangwani, issue ilikua ni kuondoka kiungwana!! Kauzwa CR 7, Wyne Rooney na wengine wakali wengi sembuse Fei.. So issue ilikua ni kuondoka kwa njia rasmi. Pesa isiondoe Utu na ubinadamu.
Hakuna Cha utu na ubinadamu, dogo kafuata taratibu zote kuvunja mkataba wake sioni kosa lake
 
Sasa mkuu ebu tuchukulie swala la Feisal ku demand maslahi zaidi kabla ya mkataba kuisha ni jambo ambalo linakiuka kanuni

Tukubaliane hapo kuwa ni kosa kisheria

Sasa mbona Yanga ilikuwa tayari kukaa chini na Feisali kumkubalia ombi lake la kuongezewa mshahara?

Hiyo kikanuni imekaaje?
Na Kwa Nini wasimshtaki wanabaki tu kutuletea blaa blaa?
 
Vilabu vyetu magumashi tena sana ila muda mwingine vinakosewa ila kutokana na historia yao jamii inakua haipo upande wao,feisal anademand maslahi zaidi huku ikiwa mkataba wake wa awali haujaisha,hilo si tatizo,shida inakuja feisal akijua bado ana mkataba lkn yeye anaondoka eneo la kazi imagine klabu ingemfukuza fei kila mdau wa soka angekua upande wa fei na sasa hivi ni kama fei ndio anaifukuza klabu lkn bado jamii iko upande wa fei,sometimes tuangalie na upande wa pili wa shilingi pia,njia za kuboresha mkataba au kuvunja mkataba zote zipo kwenye ule mkataba,fei anatakiwa afuate njia sahihi za kuvunja mkataba sidhani kama Yanga watamkatalia lkn si kama anavyofanya sasa hivi
Hajakiuka mkataba katumia kipengele kilichoko kwenye huo huo mkataba wake 'kuununua' huo mkataba ili awe huru la sivyo angeshashtakiwa na klabu badala yake klabu inamtaka arudi mezani wayajenge
 
Mkuu kusema Yanga imemtengeneza Feisal nakataa

Yanga ingekuwa ina huo uwezo wa kutengeneza wachezaji leo hii Makambo angekuwa bora zaidi kuliko alivyo

Au wale wachezaji mliokatisha mikataba yao na kuamua kuachana nao baada ya kutoridhishwa na viwango vyao.

Hayo yote yasingewezekana kama mna taaluma ya kumtengeneza mchezaji.

Feisal alikuwa na kipaji cha mpira tangu mdogo, Yanga amepata uzoefu tu.

Kumvalisha na kumlisha mchezaji sio big deal kuitumia kama pay back kwa mchango wake uwanjani.

Wachezaji wangapi wanazidiwa uwezo na Feisal mnawavisha na kuwalisha na bado mshahara wao ni mlima kuliko Feisal??

Wenzenu walioona thamani ya miguu yake ndio hao walioamua kumpa kile ambacho kinamridhisha bila kuangalia vitu vidogo kama kuvaa na kula

Kwasababu wote mmemjua akiwa mkubwa, kipindi yupo mtoto unafikiri alikuwa analala njaa au kutembea uchi?

Tubadilike tuthamini wachezaji
Mchezaji mkubwa duniani kote ni dau lake la uhamisho kutoka kwenye club yake kwenda club inayohitaji saini yake au timu yake inapotaka kumuongezea mkataba, sio chupli chupli hizi za kishamba na ulimbukeni. Yanga alikuwa anapewa nafasi ya kucheza sio kwamba alikuwa bora kuliko wengine. Nabi alimpa nafasi ya upendeleo kwasababu alikuwa mzawa na sio kwamba alikuwa mzuri sana kuliko wengine. Ukweli wa hili ni timu kufsnya vizuri hata anapokosekana Fei toto uwanjani. Heshima aliyopewa na Nabi ili kuboresha kipaji chake ndio iliyomtia kiburi yeye na wahuni wenzake. Yanga inatakiwa imuuze sio uhuni wa hivi. Na mimi ninakwambia Fei anaweza asifike mbali kisoka. Hii ni sawa na mwanamke aliyejipeleka mwenyewe kwa mwanaume, hawezi kupata hadhi ile ya mwanamke aliyekwenda kuchukuliwa kwao kwa wazazi wake.
 
Umeamua kutukana kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
Utopolo wengi hamnazo kama alivyo sema Mannara, Kama mtu ameamua kuacha kazi na amefata taratibu za kuacha kazi sbb ameona haimlipi, ww unaanza kumtisha na kusema arudi kazini, mara hauziki hata kwa bilion.

Hakuna binadamu yoyote anae weza kufanya kazi isiyo mlipa ili hali ameahidiwa kazi nzuri yenye malipo mazuri labda awe hamnazo kama wao.

Mwacheni fei akatafute maisha kama samatta saivi anaona matunda ya kipaji chake, kwa maana maisha ya mpira ni mafupi sana
 
Ndio keshajua thamani yake sasa
Sio kwamba kajua thamani yake, ipo hivi mchezaji unaweza kukubaliana nae mkalipana kiasi fulani na kila mmoja akaridhia. Ila sasa mchezaji ikishafikia hatua ya kuhusishwa na kutakiwa sehemu ndipo nae anaanza kuvimba. Feisal na Azam wametumia mapungufu ya mkataba wa Yanga. Kosa ni la ni la Yanga wenyewe kuweka mkataba wa ovyo
 
kaka iyo brazil unayo iongelea imemtoa nani na nani au unaongea tu uonekane umezungumza katika wazungumzaji
Zanzibar ina canavaro Fei tu basi, na huyo fei mwenyewe ni jitihada za Prof. Nabi kutumia uzawa kumpa nafasi ya kucheza. Mbona hayupo na timu iko fresh tu?
 
Mchezaji mkubwa duniani kote ni dau lake la uhamisho kutoka kwenye club yake kwenda club inayohitaji saini yake au timu yake inapotaka kumuongezea mkataba, sio chupli chupli hizi za kishamba na ulimbukeni. Yanga alikuwa anapewa nafasi ya kucheza sio kwamba alikuwa bora kuliko wengine. Nabi alimpa nafasi ya upendeleo kwasababu alikuwa mzawa na sio kwamba alikuwa mzuri sana kuliko wengine. Ukweli wa hili ni timu kufsnya vizuri hata anapokosekana Fei toto uwanjani. Heshima aliyopewa na Nabi ili kuboresha kipaji chake ndio iliyomtia kiburi yeye na wahuni wenzake. Yanga inatakiwa imuuze sio uhuni wa hivi. Na mimi ninakwambia Fei anaweza asifike mbali kisoka. Hii ni sawa na mwanamke aliyejipeleka mwenyewe kwa mwanaume, hawezi kupata hadhi ile ya mwanamke aliyekwenda kuchukuliwa kwao kwa wazazi wake.
We nae hamnazo tu kama timu yenu, unaweza kunitajia viungo bora wazawa wa Tanzania hata 3 tu, Bila kuwepo fei toto ?.

Fei toto amewasaidia sana utopolo saivi mnamuona hana kiwango subili mkianza kushona sare, mtamkumbuka sana
 
Yanga ni Taasisi, Imeanza toka 1930's huko, Walishakuja na kusepa wengi mno! Yanga haiwezi kupoteza kwakua Fei hayupo, lakini pia Yanga haikusema Fei afie jangwani, issue ilikua ni kuondoka kiungwana!! Kauzwa CR 7, Wyne Rooney na wengine wakali wengi sembuse Fei.. So issue ilikua ni kuondoka kwa njia rasmi. Pesa isiondoe Utu na ubinadamu.
Whatever goes around comes around, alichofanya Fei lazima kitamtafuna tyuuu, huwezi ukawaudhi wale wote waliokushangilia wakubwa na wadogo, wake kwa waume wa dini, umri na elimu mbalimbali halafu ubaki salama na amani, mbona watu hawasemi kuhusu Saido ambae ni mchezaji mkubwa kuliko Fei? Saido alivumilia yote hadi mwisho wa mkataba wake ndio akagoma kuendelea na Yanga. Huo ndio ukomavu wa mchezaji, huwezi kudai ongezeko la posho katikati ya makubaliano mliyotiliana saini. Mmepatana ujira wa dinali moja utalipwa dinali moja hiyohiyo, usiangalie wengine wanalipwa nini. Maliza ngwe yako kwanza kwa mujibu wa mapatano, unapakata ngwe nyingine ndipo mpatane malipo ya ngwe mpya.
 
Mchezaji mkubwa duniani kote ni dau lake la uhamisho kutoka kwenye club yake kwenda club inayohitaji saini yake au timu yake inapotaka kumuongezea mkataba, sio chupli chupli hizi za kishamba na ulimbukeni. Yanga alikuwa anapewa nafasi ya kucheza sio kwamba alikuwa bora kuliko wengine. Nabi alimpa nafasi ya upendeleo kwasababu alikuwa mzawa na sio kwamba alikuwa mzuri sana kuliko wengine. Ukweli wa hili ni timu kufsnya vizuri hata anapokosekana Fei toto uwanjani. Heshima aliyopewa na Nabi ili kuboresha kipaji chake ndio iliyomtia kiburi yeye na wahuni wenzake. Yanga inatakiwa imuuze sio uhuni wa hivi. Na mimi ninakwambia Fei anaweza asifike mbali kisoka. Hii ni sawa na mwanamke aliyejipeleka mwenyewe kwa mwanaume, hawezi kupata hadhi ile ya mwanamke aliyekwenda kuchukuliwa kwao kwa wazazi wake.
Mkuu tatizo hatutaki kukubali wapi tulipoteleza. Kosa ni la Yanga sio la Feisal. Kosa la Yanga ni kuweka kipengele cha kijinga vile, ule ni upumbavu wa kiwango kikubwa. Yanga wanakosa mtu wa kuandaa mikataba ya kulinda wachezaji wao kimaandishi
 
Mchezaji mkubwa duniani kote ni dau lake la uhamisho kutoka kwenye club yake kwenda club inayohitaji saini yake au timu yake inapotaka kumuongezea mkataba, sio chupli chupli hizi za kishamba na ulimbukeni. Yanga alikuwa anapewa nafasi ya kucheza sio kwamba alikuwa bora kuliko wengine. Nabi alimpa nafasi ya upendeleo kwasababu alikuwa mzawa na sio kwamba alikuwa mzuri sana kuliko wengine. Ukweli wa hili ni timu kufsnya vizuri hata anapokosekana Fei toto uwanjani. Heshima aliyopewa na Nabi ili kuboresha kipaji chake ndio iliyomtia kiburi yeye na wahuni wenzake. Yanga inatakiwa imuuze sio uhuni wa hivi. Na mimi ninakwambia Fei anaweza asifike mbali kisoka. Hii ni sawa na mwanamke aliyejipeleka mwenyewe kwa mwanaume, hawezi kupata hadhi ile ya mwanamke aliyekwenda kuchukuliwa kwao kwa wazazi wake.
Una amini Nabi alikuwa akimpa nafasi Feisal kwasababu ya upendo na sio uwezo?

Sidhani kama hiyo ni kauli ya kisport binafsi naamini umetania

Nyakati ambazo Feisali alikuwa anacheza eneo la chini na timu kuonekana kusua sua , mashabiki wenyewe ndio mliokuwa mnamvaa kocha na kusema kocha kazingua kumchezesha eneo la chini.

Kuotoweza kufika mbali kisoka hiyo ni kawaida, haimaanishi kutasababishwa na yeye kuondoka Yanga.

Ajibu alikuwa misimu mitatu iliyopita alikuwa bora na TP Mazembe waliweka dau kumtaka lakini alikataa offer na kuendelea kubakia ligi kuu

Lakini wote tunaona namna alivyoshuka uwezo na wapo wengine wanaofikiria kuwa kushuka kwake kumesababishwa na kuendelea kusalia kwenye ligi yetu baada ya kukataa offer ya Tp Mazembe.
 
Na mkataba huo huo ulitoa mwanya wa upande moja kuvunja mkataba na ukaweka na kiasi maalumu endapo mchezaji atahitaji kuvunja mkataba wakati wowote kabla ya 2024.Feisal ametumia hicho kipengele pia ambacho ni sehemu ya huo mkataba.
Mambo yanayomruhusu mchezaji kuvunja makataba wake uliohai yameorodheshwa na FIFA, yako CAF na TFF wanayo. Unadanganya watu humu jf. Kama mambo hayo yangekuwepo mashitaka ungeyasikia kwenye media, na hata TFF. Wamepatana malipo ya dinali 2 na amelipwa dinali 2.
 
Na Kwa Nini wasimshtaki wanabaki tu kutuletea blaa blaa?
Ndio maana na viongozi wa yanga wana question mark issue za mikataba. Je, mbona viongozi wa Yanga hawalalamiki TAKUKURU, Mahakamani wala TFF?
 
Back
Top Bottom