Utoto wa Fei Toto utawasumbua wachezaji wa Kizanzibari

Utoto wa Fei Toto utawasumbua wachezaji wa Kizanzibari

Asante kwa kunisahihisha.Back to my point,kwa muktadha huo sioni kwanini Fei ashutumiwe kwa kuondoka katikati ya kipindi cha mkataba wake.Umetoa angalizo zuri sana ambapo wengi wa Mashabiki wa Yanga hawataki kuliona la udhaifu wa Viongozi wa Yanga walioundaa huo mkataba.
Feisal mimi naona hana kosa kwavile yeye kaona fursa mbele yake na mkataba umemruhusu kufanya hivyo. Badala ya kuangaika na Feisal, nguvu zingetumika kufanya replacement ya zaidi ya Feisal. Wangeongea na uongozi wa SBS kwaajili ya kumsajili yule Gomez. Ni zaidi ya Feisal. Halafu la pili wajifunze kuwa na mikataba yenye masilahi kwa timu sio upumbavu walioufanya
 
Nyinyi ndiyo mnajiona wajanja kwa kuwaita watoto wenu "Junior au Beyonce" majina ambayo siyo ya 'kishamba'
Sijawahi kuona nyamizi mwenye akili, wapo pale ng,ambo Tabora hawaeleweki wanafanya nini
 
Unaelewa kweli nachoongelea? Kuna performance na kuna performance ya kushwawishi timu zingine zihitaji huduma ya mchezaji husika. Feisal kutohusishwa na tetesi yeyote maanake hakuna club iliyokuwa inamuhitaji. Nakumbuka ishu ya Feisal ilianzia humu humu JF kuna mtu alianzisha uzi wa kigogo wa Azam amng'oe Feisal pale Yanga. Kiufupi Feisal kashawishiwa na kaweza kushawishika badala ya mapungufu ya kimkataba dhidi ya Azam. Feisal alisaini mkataba na Azam kwa kukubali kiwango cha masilahi wala hakushikiwa bunduki ili asaini.
Kuna mtu alianzisha hili chokochoko humu jukwaani

Eti kuna perfomance na kuna perfomance ya kushawishi

Perfomance ya kushawishi ndio nini?

Labda nikuulize wewe

Katika hicho kipindi ambacho Feisali kavunja mkabata ili aondoke Yanga. Kuna kiwango gani cha kushawishi alichokionesha kinacho mtofautisha na kipindi chote kabla ya kuvunja mkataba?
 
Thamani ya mchezaji mahari inaonekana pale anapotaka kuongeza mkataba na anapovunjiwa mkataba na timu nyingine, Feisal ametengenezwa kwa gharama kubwa hadi aonekane mchezaji mkubwa.

Amelishwa, amevalishwa, amenolewa na makocha Bora kabisa wanaolipwa hela ndefu ambao wamemuongezea thamani hii inayoringa nayo, club nilazima imuuze na sio kuchukuliwa kihuni. Timu zitaona ukakasi kutengeneza mpumbavu mwingine wa aina hii.
Basi mtengenezeni ipielo boy
 
Wabongo tuna ujuaji wakijinga Sana!! Kwahiyo mkataba wake ulisema baada ya kiwango kuwa juu adai maboresho ya maslahi??. Vipi Kama kiwango kingekuwa kibovu je angedai kushushiwa mshahara??. Tuacheni upuuzi huu, Kama alitaka kuondoka angefuata taratibu za kimpira.
Thamani ya mchezaji huwezi ukaifanyia reference na thamani ya nyanya juu ya fungu.

Na ndio maana Yanga walikubali kumuongezea mshahara wake kumfanya aendelee kubaki

Unafikiri wao walikuwa wapumbavu hawajui wanachokifanya kuwa mkataba walioandikishana haukuwa na makubaliano ya kiwango kuwa juu mpaka kuamua kumpa kile anachokitaka??
 
Yanga ni Taasisi, Imeanza toka 1930's huko, Walishakuja na kusepa wengi mno! Yanga haiwezi kupoteza kwakua Fei hayupo, lakini pia Yanga haikusema Fei afie jangwani, issue ilikua ni kuondoka kiungwana!! Kauzwa CR 7, Wyne Rooney na wengine wakali wengi sembuse Fei.. So issue ilikua ni kuondoka kwa njia rasmi. Pesa isiondoe Utu na ubinadamu.
Utakuwa na utu na ubinadamu wa aina gani kwa watu wanaokunyonya na wasiothamini uwezo wako mkubwa?
 
Issue ya Morrison ni tofauti kabisaa na ya huyu mwehu, Morrison kaja Yanga akiwa mchezaji mkubwa kabisa lakini Fei kaja Yanga akiwa mchezaji mdogo kabisa.

Yanga ilakikuza kipaji chache kwa gharama kubwa ya mabenchi ya ufundi na mazingira Bora ya kucheza mpira. Mbona Msuva aliondoka na watu hawana kinyonyo nae?
Mm nilidhani najadiliana na mtu mwenye akili umbe naongea na kilaza hapa? hebu rudia kusoma ulicho kiandika alafu ujitathimini akili yako.


Kinacho mmbeba fei ni uwezo wake binafisi na sio kwa sababu eti ni bora kisa anacheza yanga na ndio maana yanga haikuweza kumtengeneza Nchimbi kuwa kama fei au yipe kuwa kama mayele.

Uwezo wa fei angeweza kuuonesha hata kwenye timu nyingine kama simba na Azam.

Kuhusu timu kumtunza ni wajibu wa timu kumtunza mwajili wake ambaye ni mchezaji na wala sio hisani.
 
Simba na yanga ni wahuni, sasa huu uhuni uendelee kama namna ya kulipiziana visasi vinavyoweza kutuletea marekebisho.Si vizuri kuvifuatilia vitu vya kitanzania kwa umakini, vitakuvuruga.
 
Hivi unaongelea ushabiki au? Mchezaji ana mkataba wa miaka 2 mbele,club imegoma kumuuza, kwanini asisubiri mkataba wake uishe ndio aondoke bure kama hajaridhika na maslahi?
Hivi nyinyi mashabiki wa utopolo mnataka tuwaelewesheje?
Ameondoka kwa sababu kwenye mkataba kuna kipengele kinamruhusu kuvunja mkataba pale atakapo taka.
 
Eti kuna perfomance na kuna perfomance ya kushawishi

Perfomance ya kushawishi ndio nini?

Labda nikuulize wewe

Katika hicho kipindi ambacho Feisali kavunja mkabata ili aondoke Yanga. Kuna kiwango gani cha kushawishi alichokionesha kinacho mtofautisha na kipindi chote kabla ya kuvunja mkataba?

Hao waliomtaka ndio wameshawishika na kiwango chake. Sasa unauliza swali kwangu mimi au uwaulize hao wanaomtaka?
 
Acha fei toto aende nafikiri sisi WANANCHI ni zaidi ya fei toto kama walipita WAKINA edibily Jonas lunyamila ,akida makunda, sekilojo chambua sembuse feitoto nafikiri ameondoka wakati sahihi acha akatafute riziki kwingine ila WANANCHI sio kwamba tuatashindwa kucheza kisa feitoto
Ndio muwaambie viongozi waache kumng'ang'ania
 
Vitu vingine tusijadili kama hatujui mifumo ya uongozi wa hizi Club zetu

Ebu jiweke katika nafasi ya Feisali afu jaribu kufikiria unaomba kuongezewa mkataba mpya wenye maslahi bora.

Wakati huo hakuna timu yeyote iliyoonesha nia ya kukuhitaji (means hauna plan B nje ya Yanga)

Kiasi ulicho demand kuongezewa vipi kama mkishindwa kufika muafaka na uongozi je utaenda wapi?

Ni ngumu sana hilo wazo la kuomba kupewa mkataba wenye maslahi kuwezekana
Vilabu vyetu magumashi tena sana ila muda mwingine vinakosewa ila kutokana na historia yao jamii inakua haipo upande wao,feisal anademand maslahi zaidi huku ikiwa mkataba wake wa awali haujaisha,hilo si tatizo,shida inakuja feisal akijua bado ana mkataba lkn yeye anaondoka eneo la kazi imagine klabu ingemfukuza fei kila mdau wa soka angekua upande wa fei na sasa hivi ni kama fei ndio anaifukuza klabu lkn bado jamii iko upande wa fei,sometimes tuangalie na upande wa pili wa shilingi pia,njia za kuboresha mkataba au kuvunja mkataba zote zipo kwenye ule mkataba,fei anatakiwa afuate njia sahihi za kuvunja mkataba sidhani kama Yanga watamkatalia lkn si kama anavyofanya sasa hivi
 
Kama aliona maslahi madogo, asingekubali kusaini mkataba mpya. Kwani yeye ni mtoto mdogo asijue kukataa kuwa msiponilipa kiasi fulani sisaini mkataba mpya.

Lakini kukubali kwake kusaini mkataba mpya unaoishia mwaka 2024 inamaana karidhika na kiwango hicho

N B mkataba ni makubaliano ya pande mbili
Na katumia kipengele kilichoko kwenye huo huo mkataba kuondoka Mimi sioni kisa lake
 
Mbona mnamsakama sana mtoto wa watu, pesa yenyewe mnamlipa kama mwalim wa primary 3M, nao ni mshahala wa kumlipa kwa level yake kwanza hautoshi hata matumizi tu ya family.

Utopolo tumieni akili wakati mwingine, kambole mmemfungia ndani miezi 4 mnamlipa 10M, feitoto anae toa jasho kila siku 3M.

Qmmke zenu, acheni akatafute pesa kwa wanao mdhamini
Umeamua kutukana kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hao waliomtaka ndio wameshawishika na kiwango chake. Sasa unauliza swali kwangu mimi au uwaulize hao wanaomtaka?
Nami nimekuuliza nikiwa najua unaujua mpira na unaweza ukatoa rate ya ubora wa mchezaji kiusahihi

Kitu gani kinacho husiana na ubora ulichokiona kimeongezeka kwa Feisali sasa hivi ambacho awali kabla ya mkataba hakikuwepo?
 
Mkuu haya magazeti unayoyaandika kila unapoletwa Uzi kuhusu saga ya Feitoto hayawezi kupeleka ubingwa pale msimbazi.

Hizi nguvu ungezitumia kuuhoji uongozi wa Simba kutoa majibu kwanini CEO amejiuzulu, ungehoji kwanini makombe yamekauka gafla Simba na kuhamia Yanga, kwanini Simba imekuwa mnyonge Kwa Yanga, Hapo ungekuwa umetumia vizuri maandishi yako kwa manufaa ya timu yako pendwa na labda ingepelekea kurudisha furaha yako..

Huu ni ushauri wa bure
Uzi unamzungumzia Feitoto halafu unataka mdau azungumzie mambo ya Simba kukosa makombe sijui CEO kujiuzulu hivi unakwama wapi [emoji23][emoji23]
 
Thamani ya mchezaji mahari inaonekana pale anapotaka kuongeza mkataba na anapovunjiwa mkataba na timu nyingine, Feisal ametengenezwa kwa gharama kubwa hadi aonekane mchezaji mkubwa.

Amelishwa, amevalishwa, amenolewa na makocha Bora kabisa wanaolipwa hela ndefu ambao wamemuongezea thamani hii inayoringa nayo, club nilazima imuuze na sio kuchukuliwa kihuni. Timu zitaona ukakasi kutengeneza mpumbavu mwingine wa aina hii.
Mkataba wake unayazungumzia haya yote au ni mihemko yako tu?
 
Back
Top Bottom