Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thamani ya mchezaji mahiri inaonekana pale anapotaka kuongeza mkataba na anapovunjiwa mkataba na timu nyingine, Feisal ametengenezwa kwa gharama kubwa hadi aonekane mchezaji mkubwa.Nyie mtahangaika sana kutafuta hatia ya Feisal lakini kama tatizo basi linaanzia hapo kwenye uongozi.
Maslahi ya mchezaji ni kitu muhimu sana, usiione thamani ya mchezaji punde tu baada ya yeye kuonesha dalili ya kutaka kuondoka
Ni kama saizi mnavyotumia muda mwingi kutafuta makosa ya Feisal wakati huu ulikuwa ni muda mzuri wa kurekebisha na kuboresha maslahi ya wengine ambao wamesalia ili lisije kutokea tena.
Mkuu kusema Yanga imemtengeneza Feisal nakataaThamani ya mchezaji mahari inaonekana pale anapotaka kuongeza mkataba na anapovunjiwa mkataba na timu nyingine, Feisal ametengenezwa...
Binafsi sikatai mchezaji kuiacha timu kwenda timu nyingine. Lakini ziko taratibu za kimpira za kujiunga na kuondoka kwenye timu.Acha fei toto aende nafikiri sisi WANANCHI ni zaidi ya fei toto kama walipita WAKINA edibily Jonas lunyamila ,akida makunda ,sekilojo chambua sembuse feitoto nafikiri ameondoka wakati sahihi acha akatafute riziki kwingine ila WANANCHI sio kwamba tuatashindwa kucheza kisa feitoto
Issue ya Morrison ni tofauti kabisaa na ya huyu mwehu, Morrison kaja Yanga akiwa mchezaji mkubwa kabisa lakini Fei kaja Yanga akiwa mchezaji mdogo kabisa.Morrison naye ni mzanzibar? Mbona aliwapiga na kitu kizito kichwani na bado mkamrudia kumsajiri ?
Huwa nawashangaa sana wanaosema na kuwa analipwa kidogo wakati aliridhia mwenyewe kulipwa hicho na akasainiKama aliona maslahi madogo, asingekubali kusaini mkataba mpya. Kwani yeye ni mtoto mdogo asijue kukataa kuwa msiponilipa kiasi fulani sisaini mkataba mpya. Lakini kukubali kwake kusaini mkataba mpya unaoishia mwaka 2024 inamaana karidhika na kiwango hicho
N B mkataba ni makubaliano ya pande mbili
Kama hakuwa na jeuru ya kwenda popote maanake hakuwa na ubora/ kiwango cha kumpeleka popote au unataka kusema alikuwa ajitambui?Kipindi anasaini mkataba mwaka hakuwa na power ya kuweza kusililizwa kwasababu hakuwa na plan B itayomsaidia endapo wasopofika makubaliano...
Mkuu mlitaka apewe sh ngapi nyie viazi? Maslah ya mchezaji hayarekebishwi katkat ya mkataba ... Fei kiwango chake kimepanda akiwa kat kat ya mkataba, katika kurenew mkataba angeomba hayo maslah kama angenyimwa angetimka Zake, ndo wanavyofanya wachezaji wengi tuu worldwide, Sadio Mane ni mfano.Nyie mtahangaika sana kutafuta hatia ya Feisal lakini kama tatizo basi linaanzia hapo kwenye uongozi...
kaka iyo brazil unayo iongelea imemtoa nani na nani au unaongea tu uonekane umezungumza katika wazungumzajiZanzibar ni Brazil ya Africa
Vipaji vitafatwa tu kule
Huwezi kuongeza mshahara gafla na hapo hapo wageni wanakuja na kulipwa Mara sita ya kile unachopata mzawa na mzawa unakua ndie injini ya timu yaan unavuja jasho unapambania timu hao wageni wanaolipwa pakubwa wakiwa wachezaji wa kawaida tu.Mpira una mengi.
Huwezi kuongeza mishahara ghafla bila kuwa na bajeti na fedha.
Kama mchezaji anaona anapata asichostahili Yanga basi akatafute kwingine atakapo ridhika.
Tena fey toto,mtakaa mnajadili kumbe ni nke ya ntu.Mtu anaitwa toto Kisha ushangae akifanya utoto!
Suala maslahi ni zuri kwa kila mtu ila hapo inakuja wakati anasaini ule mkataba akuliona hilo?jibu ni hapana aliliona ila kipindi anasaini akua na thamani aliyokua nayo sasa,Nyie mtahangaika sana kutafuta hatia ya Feisal lakini kama tatizo basi linaanzia hapo kwenye uongozi.
Maslahi ya mchezaji ni kitu muhimu sana, usiione thamani ya mchezaji punde tu baada ya yeye kuonesha dalili ya kutaka kuondoka
Ni kama saizi mnavyotumia muda mwingi kutafuta makosa ya Feisal wakati huu ulikuwa ni muda mzuri wa kurekebisha na kuboresha maslahi ya wengine ambao wamesalia ili lisije kutokea tena.
Fei...kaondoka kihalali kabisa hata viongozi wenu wanafahamu hilo ila wanaficha tu.Mpira ni furaha na mpira ni ajira pia. Lakini mpira una sheria, kanuni na taratibu zake. Fei Toto kuiacha Yanga katikati ya mashindano ya African championship, ligi kuu, Azam cup na mapinduzi cup sio Cha mtu muungwana hata kidogo na kinaudhi kila mtu mwenye akili lazini. Lakini kuondoka kwake kihuni kinahusika sana na uzanzibar wake, Yaani aliyemtorosha ametumia uhusiano wa mchezaji ña aliyemrubuni.
Hii inaweza kusababisha Yanga kwasasa isitafute vipaji Zanzibar,
Na mkataba huo huo ulitoa mwanya wa upande moja kuvunja mkataba na ukaweka na kiasi maalumu endapo mchezaji atahitaji kuvunja mkataba wakati wowote kabla ya 2024.Feisal ametumia hicho kipengele pia ambacho ni sehemu ya huo mkataba.Kama aliona maslahi madogo, asingekubali kusaini mkataba mpya. Kwani yeye ni mtoto mdogo asijue kukataa kuwa msiponilipa kiasi fulani sisaini mkataba mpya. Lakini kukubali kwake kusaini mkataba mpya unaoishia mwaka 2024 inamaana karidhika na kiwango hicho
N B mkataba ni makubaliano ya pande mbili
Hivi unaongelea ushabiki au? Mchezaji ana mkataba wa miaka 2 mbele,club imegoma kumuuza, kwanini asisubiri mkataba wake uishe ndio aondoke bure kama hajaridhika na maslahi?Nyie mtahangaika sana kutafuta hatia ya Feisal lakini kama tatizo basi linaanzia hapo kwenye uongozi.
Maslahi ya mchezaji ni kitu muhimu sana, usiione thamani ya mchezaji punde tu baada ya yeye kuonesha dalili ya kutaka kuondoka
Ni kama saizi mnavyotumia muda mwingi kutafuta makosa ya Feisal wakati huu ulikuwa ni muda mzuri wa kurekebisha na kuboresha maslahi ya wengine ambao wamesalia ili lisije kutokea tena.
Mkuu hili umedakia tu kwa mbele. Ila kuna mtu nilikuwa namjibu hoja yake ya kusema kuwa eti tatizo ni kulipwa ela ndogo. Hiyo ela ndogo mchezaji angekuwa anaiona ni ndogo asingesaini mkataba mpya na Yanga. Hilo la kuweka kipengele cha kuvunja mkataba kwa kiasi hiko ni swala lingine ambalo ni makosa ya uongozi wa Yanga kuweka kipengele cha ukichaa kiasi hikoNa mkataba huo huo ulitoa mwanya wa upande moja kuvunja mkataba na ukaweka na kiasi maalumu endapo mchezaji atahitaji kuvunja mkataba wakati wowote kabla ya 2024.Feisal ametumia hicho kipengele pia ambacho ni sehemu ya huo mkataba.
Yanga ilipojitela ni pale tu ilipoweka kipengele cha Fieitoto kuilipa Yanga milioni 100 na mishahara ya miezi 3 endapo atataka kuvunja Mkataba,mengine yote haya ni maongezi ya kunogesha kijiwe cha JF tuKama aliona maslahi madogo, asingekubali kusaini mkataba mpya. Kwani yeye ni mtoto mdogo asijue kukataa kuwa msiponilipa kiasi fulani sisaini mkataba mpya.
Lakini kukubali kwake kusaini mkataba mpya unaoishia mwaka 2024 inamaana karidhika na kiwango hicho
N B mkataba ni makubaliano ya pande mbili