Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Acha upumbavu.... Unahusisha mambo ya kipuuzi na mpira. Yanga bado tutatafuta vipaji Zanzibar. Kwani kwa Morrison ilikuaje? Si ndo alitudhalilisha zaidi? Sasa hivi anachezea team gani? Na yupo wapi?Mpira ni furaha na mpira ni ajira pia. Lakini mpira una sheria, kanuni na taratibu zake. Fei Toto kuiacha Yanga katikati ya mashindano ya African championship, ligi kuu, Azam cup na mapinduzi cup sio Cha mtu muungwana hata kidogo na kinaudhi kila mtu mwenye akili lazini.
Lakini kuondoka kwake kihuni kinahusika sana na uzanzibar wake, Yaani aliyemtorosha ametumia uhusiano wa mchezaji ña aliyemrubuni.
Hii inaweza kusababisha Yanga kwasasa isitafute vipaji Zanzibar,