Utoto wa Fei Toto utawasumbua wachezaji wa Kizanzibari

Utoto wa Fei Toto utawasumbua wachezaji wa Kizanzibari

Mpira ni furaha na mpira ni ajira pia. Lakini mpira una sheria, kanuni na taratibu zake. Fei Toto kuiacha Yanga katikati ya mashindano ya African championship, ligi kuu, Azam cup na mapinduzi cup sio Cha mtu muungwana hata kidogo na kinaudhi kila mtu mwenye akili lazini.

Lakini kuondoka kwake kihuni kinahusika sana na uzanzibar wake, Yaani aliyemtorosha ametumia uhusiano wa mchezaji ña aliyemrubuni.

Hii inaweza kusababisha Yanga kwasasa isitafute vipaji Zanzibar,
Acha upumbavu.... Unahusisha mambo ya kipuuzi na mpira. Yanga bado tutatafuta vipaji Zanzibar. Kwani kwa Morrison ilikuaje? Si ndo alitudhalilisha zaidi? Sasa hivi anachezea team gani? Na yupo wapi?
 
Yanga ilipojitela ni pale tu ilipoweka kipengele cha Fieitoto kuilipa Yanga milioni 100 na mishahara ya miezi 3 endapo atataka kuvunja Mkataba,mengine yote haya ni maongezi ya kunogesha kijiwe cha JF tu
Hapo ndipo uongozi wa Yanga ulipochemka, na ni wazi mambo ya kimkataba uongozi hauna mwana sheria mahiri na pia kuna watu wana uwezo wa kufikiri ndani ya uongozi wa Yanga. Bora wasingeandika kabisa kipengele cha kuvunja mkataba bali wasubiri mkataba unataka kuvunjwa wanakaa mezani anapewa thamani ya pesa ya kuuvunja mkataba. Sio kuandika vile kama walivyofanya wao, basi bora hata wangeandika ela nyingi kwanza bilioni wao wameandika milioni mia. Wamechemka sana kwakweli
 
Mpira ni furaha na mpira ni ajira pia. Lakini mpira una sheria, kanuni na taratibu zake. Fei Toto kuiacha Yanga katikati ya mashindano ya African championship, ligi kuu, Azam cup na mapinduzi cup sio Cha mtu muungwana hata kidogo na kinaudhi kila mtu mwenye akili lazini.

Lakini kuondoka kwake kihuni kinahusika sana na uzanzibar wake, Yaani aliyemtorosha ametumia uhusiano wa mchezaji ña aliyemrubuni.

Hii inaweza kusababisha Yanga kwasasa isitafute vipaji Zanzibar,
TOA MWIKO AKILI IJAE VIZURI,unawasimanga wazanzibar kwa mgongo wa FEI,acha ushamba
 
Nyie mtahangaika sana kutafuta hatia ya Feisal lakini kama tatizo basi linaanzia hapo kwenye uongozi.

Maslahi ya mchezaji ni kitu muhimu sana, usiione thamani ya mchezaji punde tu baada ya yeye kuonesha dalili ya kutaka kuondoka

Ni kama saizi mnavyotumia muda mwingi kutafuta makosa ya Feisal wakati huu ulikuwa ni muda mzuri wa kurekebisha na kuboresha maslahi ya wengine ambao wamesalia ili lisije kutokea tena.
Hata kama angalikuwa analipwa sh moja, taratibu za uondokaji zizingatiwe. Nani anakumbuka kisa cha Makelele na Real Madrid? Fei kuondoka Yanga sio tatizo, shida inaanzia pale anapowaacha waajiri wake waliokuwa wamemweka kwenye programu yao kwa dharura, ni kama shambulizi la kushitukiza na hivyo kuvuruga mpango wa timu. Alipaswa kutoa tahadhari kwa uongozi kuwa msimu uliomalizika na hali ikiendelea kuwa hivi atalazimika kuondoka.

Fei sio mfano mzuri kwa vizazi vijavyo vya soka.
 
Kama hakuwa na jeuru ya kwenda popote maanake hakuwa na ubora/ kiwango cha kumpeleka popote au unataka kusema alikuwa ajitambui?
Sio kweli

Kwani katika hicho kipindi uliona perfomance yake ikiwa low?

Una maanisha saizi Mayele hana ubora kwasababu hakuna timu ambayo imeonesha nia kumtaka?
 
Mkuu haya magazeti unayoyaandika kila unapoletwa Uzi kuhusu saga ya Feitoto hayawezi kupeleka ubingwa pale msimbazi.

Hizi nguvu ungezitumia kuuhoji uongozi wa Simba kutoa majibu kwanini CEO amejiuzulu, ungehoji kwanini makombe yamekauka gafla Simba na kuhamia Yanga, kwanini Simba imekuwa mnyonge Kwa Yanga, Hapo ungekuwa umetumia vizuri maandishi yako kwa manufaa ya timu yako pendwa na labda ingepelekea kurudisha furaha yako..

Huu ni ushauri wa bure
Amejikita kwenye mada iliyopo mezani.Wewe anzisha hiyo mada ya kuhoji kwa nini CEO ameresign atakuja kuchangia pia
 
Ukiona mtu yeyote ambaye anakwenda na jina la utotoni au la kishamba hadi ukubwani ujue Kuna tatizo
 
Sio kweli

Kwani katika hicho kipindi uliona perfomance yake ikiwa low?

Una maanisha saizi Mayele hana ubora kwasababu hakuna timu ambayo imeonesha nia kumtaka?
Una uhakika Mayele hakuna timu inayohitaji huduma yake mpaka sass? Kuna performance halafu kuna performance za kushawishi timu zingine zikugombanie. Embu niambie wakati Yanga wana muongezea Feitoto mkataba je wewe ulisikia timu zipi zilikuwa zina mgombania Feisal?
 
Mkuu mlitaka apewe sh ngapi nyie viazi? Maslah ya mchezaji hayarekebishwi katkat ya mkataba ... Fei kiwango chake kimepanda akiwa kat kat ya mkataba, katika kurenew mkataba angeomba hayo maslah kama angenyimwa angetimka Zake, ndo wanavyofanya wachezaji wengi tuu worldwide, Sadio Mane ni mfano.

Fei karubuniwa na hajafanya uungwana , kama demand ilikuwa kubwa Sana walau angechora mwisho wa msimu
Mkuu kwani juzi wakati mnasaini mkataba mpya kwanini hamkufikiria kipengele hicho kama mliona kuna kero inaweza kujitokeza endapo mtataka kuongeza maslahi katikati ya mkataba?

Kama maslahi hayarekebishwi katikati ya mkataba mbona punde tu baada ya kuonesha nia ya kuondoka mlikuwa tayari kumpa hitaji lake ili kumfanya aendelee kubaki bila kujali ni katikati ya mkataba??
 
Suala maslahi ni zuri kwa kila mtu ila hapo inakuja wakati anasaini ule mkataba akuliona hilo?jibu ni hapana aliliona ila kipindi anasaini akua na thamani aliyokua nayo sasa,

so kuna vipengele kwenye ule mkataba wa kumuongezea mshahara na mahitaji mengine,na Yanga wala hawajakataa kukaa nae ila inachoonyesha dogo kuna watu nyuma yake wanaomshawishi na wala sio vibaya basi kistaarabu na hao watu wangeenda kukaa na Yanga na sio kama njia ambazo wanatumia
Vitu vingine tusijadili kama hatujui mifumo ya uongozi wa hizi Club zetu

Ebu jiweke katika nafasi ya Feisali afu jaribu kufikiria unaomba kuongezewa mkataba mpya wenye maslahi bora.

Wakati huo hakuna timu yeyote iliyoonesha nia ya kukuhitaji (means hauna plan B nje ya Yanga)

Kiasi ulicho demand kuongezewa vipi kama mkishindwa kufika muafaka na uongozi je utaenda wapi?

Ni ngumu sana hilo wazo la kuomba kupewa mkataba wenye maslahi kuwezekana
 
Hapo ndipo uongozi wa Yanga ulipochemka, na ni wazi mambo ya kimkataba uongozi hauna mwana sheria mahiri na pia kuna watu wana uwezo wa kufikiri ndani ya uongozi wa Yanga. Bora wasingeandika kabisa kipengele cha kuvunja mkataba bali wasubiri mkataba unataka kuvunjwa wanakaa mezani anapewa thamani ya pesa ya kuuvunja mkataba. Sio kuandika vile kama walivyofanya wao, basi bora hata wangeandika ela nyingi kwanza bilioni wao wameandika milioni mia. Wamechemka sana kwakweli
Hakika
 
Una uhakika Mayele hakuna timu inayohitaji huduma yake mpaka sass? Kuna performance halafu kuna performance za kushawishi timu zingine zikugombanie. Embu niambie wakati Yanga wana muongezea Feitoto mkataba je wewe ulisikia timu zipi zilikuwa zina mgombania Feisal?
Mayele ni tetesi tu tena kwenye vyanzo vile vile ambavyo msimu uliopita vilianzisha tetesi kama hizo mpaka Senzo akaweka kiapo kuwa akiondoka Mayele nayeye ataondoka

Kipindi Yanga wanamuongezea mkataba Feisali ni kweli hakukuwa na tetesi za Club zingine kumhitaji

Lakini katika hicho kipindi unataka kutuaminisha kuwa alikuwa under perfomance?
 
Huwezi kuongeza mshahara gafla na hapo hapo wageni wanakuja na kulipwa Mara sita ya kile unachopata mzawa na mzawa unakua ndie injini ya timu yaan unavuja jasho unapambania timu hao wageni wanaolipwa pakubwa wakiwa wachezaji wa kawaida tu.

Msuli tembo mshahara sungura, embu tuwaheshimu watanzania wenzetu ,kutajirisha mtoto wa jiran wkt wa kwako yupo na Ana sifa za kuwa tajir huo ni uchawi
Ndo maana ameachwa akatafute maslahi anapoona inafaa yeye
 
Mayele ni tetesi tu tena kwenye vyanzo vile vile ambavyo msimu uliopita vilianzisha tetesi kama hizo mpaka Senzo akaweka kiapo kuwa akiondoka Mayele nayeye ataondoka

Kipindi Yanga wanamuongezea mkataba Feisali ni kweli hakukuwa na tetesi za Club zingine kumhitaji

Lakini katika hicho kipindi unataka kutuaminisha kuwa alikuwa under perfomance?
Unaelewa kweli nachoongelea? Kuna performance na kuna performance ya kushwawishi timu zingine zihitaji huduma ya mchezaji husika. Feisal kutohusishwa na tetesi yeyote maanake hakuna club iliyokuwa inamuhitaji. Nakumbuka ishu ya Feisal ilianzia humu humu JF kuna mtu alianzisha uzi wa kigogo wa Azam amng'oe Feisal pale Yanga. Kiufupi Feisal kashawishiwa na kaweza kushawishika badala ya mapungufu ya kimkataba dhidi ya Azam. Feisal alisaini mkataba na Azam kwa kukubali kiwango cha masilahi wala hakushikiwa bunduki ili asaini.
Kuna mtu alianzisha hili chokochoko humu jukwaani

 
Mkuu hili umedakia tu kwa mbele. Ila kuna mtu nilikuwa namjibu hoja yake ya kusema kuwa eti tatizo ni kulipwa ela ndogo. Hiyo ela ndogo mchezaji angekuwa anaiona ni ndogo asingesaini mkataba mpya na Yanga. Hilo la kuweka kipengele cha kuvunja mkataba kwa kiasi hiko ni swala lingine ambalo ni makosa ya uongozi wa Yanga kuweka kipengele cha ukichaa kiasi hiko
Asante kwa kunisahihisha.Back to my point,kwa muktadha huo sioni kwanini Fei ashutumiwe kwa kuondoka katikati ya kipindi cha mkataba wake.Umetoa angalizo zuri sana ambapo wengi wa Mashabiki wa Yanga hawataki kuliona la udhaifu wa Viongozi wa Yanga walioundaa huo mkataba.
 
Kipindi anasaini mkataba mwaka hakuwa na power ya kuweza kusililizwa kwasababu hakuwa na plan B itayomsaidia endapo wasopofika makubaliano

Vipi kama alijaribu kugusia swala la Yanga wamuongezee mshahara ila walimu ignore kwasababu walijua hana jeuri ya kwenda sehemu yeyote kwakua hakuna timu iliyomuhitaji kwa wakati huo?

Lakini kitu kingine wisely ni kwanini swala la kuongeza mshahara mpaka liombwe na mchezaji?

Kwani uongozi wenyewe hauoni mchango au thamani ya mchezaji kustahili malipo zaidi ya hayo mpaka mchezaji mwenyewe aombe?
Wabongo tuna ujuaji wakijinga Sana!! Kwahiyo mkataba wake ulisema baada ya kiwango kuwa juu adai maboresho ya maslahi??. Vipi Kama kiwango kingekuwa kibovu je angedai kushushiwa mshahara??. Tuacheni upuuzi huu, Kama alitaka kuondoka angefuata taratibu za kimpira.
 
Ukiona mtu yeyote ambaye anakwenda na jina la utotoni au la kishamba hadi ukubwani ujue Kuna tatizo
Nyinyi ndiyo mnajiona wajanja kwa kuwaita watoto wenu "Junior au Beyonce" majina ambayo siyo ya 'kishamba'
 
Back
Top Bottom