Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Narudia tena kusema. Uwekezaji wa aina hii ni kwa ajili ya aina ya watu wasiokuwa na akili za kibiashara.Soma theories of Wealth creation then urudi hapa
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Tunaweka UTT ili kuepuka inflation ambayo average last year average ilikuwa 4.5% Last year return ilikuwa 14% hivyo ni uwekezaji salama kabisa ambao uko recommended na wataalam wa Economic na Finance mkuu.Bado akili itakuwa imelala tu. Hata kama una pesa benki ambayo haina kazi bado ukiwa na akili ndefu utatafuta kitu cha kufanya chenye faida ya maana kuliko hiyo faida ya UTT.
Unafanya biashara, una milioni 500 benki kama akiba. Kwanini usitumie akili kufanya kitu cha maana kuliko kuwekeza UTT??
By the way, kuna disadvantages za kuwekeza kwenye UTT ambazo hamjaziongelea. Mfano, kuna kitu inaitwa inflation risk na pia kuna interest rate risk.
Tusidanganyane, hakuna faida ya asilimia 100 pasipo risk.
Mkuu huhitaji kuwa smart kwenye investments unahitaji kuwa wise kwenye investments.Narudia tena kusema. Uwekezaji wa aina hii ni kwa ajili ya aina ya watu wasiokuwa na akili za kibiashara.
Kwa watu wenye akili zilizolala uwekezaji huu una faida kwao. Hata akiwekeza miaka 10 au 20 atakachovuna ataona amepata faida kubwa.
Lakini, kwa mtu smart kichwani huu siyo uwekezaji wenye faida.
Unaweza andika manamba namba apo unajiona kichwa kumbe wewe ndio mjinga. Kitu pekee unashindwa kuelewa ni kutofautisha biashara na uwekezaji. Kama ukielewa hilo na ukajua namna UTT inafanya kazi njoo hapa uandike comment kama hiyoYaani inatia huruma sana!!!
Mfano, kipande kimoja cha UTT ni sh 144. Ukiwa na vipande 50,000 utakuwa umelipia sh 5,700,000 yaani 50,000 X 114 = 5,700,000
Sasa eti unawekeza 5,700,000 halafu unapata faida ya sh 50,000 tu kwa mwezi.
Huu ni ujinga wa kiwango cha standard gauge!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe huna pesa na km una pesa basi pesa zako ni za mawazo na kutaka utajiri wa hapo kwa hapo, nenda kaweke 20,000/- Kaylinda wakupige uanze kulialia huku UTT waachie wasiokua na pesa za mawazo wenye malengo ya mda mrefu sio malengo ya mda mfupiBado akili itakuwa imelala tu. Hata kama una pesa benki ambayo haina kazi bado ukiwa na akili ndefu utatafuta kitu cha kufanya chenye faida ya maana kuliko hiyo faida ya UTT.
Unafanya biashara, una milioni 500 benki kama akiba. Kwanini usitumie akili kufanya kitu cha maana kuliko kuwekeza UTT??
By the way, kuna disadvantages za kuwekeza kwenye UTT ambazo hamjaziongelea. Mfano, kuna kitu inaitwa inflation risk na pia kuna interest rate risk.
Tusidanganyane, hakuna faida ya asilimia 100 pasipo risk.
Hata kama kipande kimoja ni sh 100 bado hiyo ni biashara kichaa.
Kwa mtu mwenye akili ya biashara, milioni 100 unafanya kitu kitakachokuingizia kipato kikubwa mara dufu ya hilo gawio la UTT.
Hii mambo ya UTT ni kwa ajili ya watu wenye pesa wasiokuwa na akili za biashara. Siwalaumu, binadamu tumetofautiana akili.
Ndiyo maana nimesema "siwalaumu" maana binadamu tumetofautiana uwezo wa akili.
Sawa mkuu hii ndio yenyewe sasa, nikajua zikiingia zimeingia hazitoki kumbe daah elimu watu hawaelimishwi kuhusu haya masuala ya uwekezaji wa kifedha
Wewe bado haujaelewa ila mimi nmeelewa
Yaan ipo hivi ukiondoa pesa zako zooooote ambazo unazo kuna pesa ambayo haina cha kufanyia yaan kwa wafanyabiashara hio ipo, sasa ili hio pesa isiende kukaa bure tu bank ndio unaenda kuiweka UTT ili kila mwezi uingize pesa kuliko kuweka bank tu bure haifanyi kazi yoyote
Hio ni kwa wale wenye pesa zisizo na mawazo wewe km pesa zako za mawazo huwezi maana unawaza kufaidika kesho yaan unawaza uweke million 1 leo alafu kesho uvune billion 1, km ndio wazo lako ni hilo UTT hapakufai
Kwa nilivyomuelewa mdau UTT ni long term investment & wealth creation
Nilipofurahi ni pale aliposema ukiweka 100M unaweza ukaitoka kuanzia miezi 3 na kuendelea ukaachana nao ukaendelea na mambo zako zingine ukitaka tena unaenda tena unaweka hivyo tu, sasa ubaya upo wapi hapo?
Tatizo siyo usahihi wa taarifa. Tatizo ni hiyo faida inayopatikana. Hiyo faida ni ndogo sana ukilinganisha na kiwango cha pesa unachowekeza.
Hata kama una vipande 1,000,000 bado faida yake haiendani kabisa na kiwango cha pesa utakachokuwa umewekeza.
Mfano, vipande 1,000,000 ikiwa kila kipande utanunua kwa sh 114 ni sawa na uwekezaji wa sh 114,000,000 (milioni mia moja na kumi na nne).
Sasa hebu fikiria, eti, unawekeza milioni 114 halafu unasubiria milioni 1 tu kwa mwezi? Hiyo ni akili au matembele???? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Narudia tena kusema. Uwekezaji wa aina hii ni kwa ajili ya aina ya watu wasiokuwa na akili za kibiashara.
Kwa watu wenye akili zilizolala uwekezaji huu una faida kwao. Hata akiwekeza miaka 10 au 20 atakachovuna ataona amepata faida kubwa.
Lakini, kwa mtu smart kichwani huu siyo uwekezaji wenye faida.
Wewe ndiyo hakuna kitu unajua. Hivi biashara nini??We jamaa vp. Nani anafanya biashara ya UTT? Huko nishasema nimehifadhi fedha zangu ambapo napata gawio kwa kuhifadhi kwangu huko kuliko kuweka benki. Mbona huelewi aseeee
Sasa kama unahifadhi huko, Kwanini uje kutuambi """___ni bonge la dili""hahahah kwamba unawapigia promo wamekupa Tsh 1 kwa kila vipande vyako ulivyonunua kila kimoja Tsh 114?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We jamaa vp. Nani anafanya biashara ya UTT? Huko nishasema nimehifadhi fedha zangu ambapo napata gawio kwa kuhifadhi kwangu huko kuliko kuweka benki. Mbona huelewi aseeee
Wewe ndiyo hakuna kitu unajua. Hivi biashara nini??
Au kwa akili zako unafikiri biashara ni kuuza physical goods na kupokea pesa pekee? Hujui kwamba hata kuweka pesa benki ni aina fulani ya biashara?
Eti kuweka pesa UTT siyo biashara, yaani kwa akili hizi za Watanzania taifa hili linasafari ndefu sana. [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kama unahifadhi huko, Kwanini uje kutuambi """___ni bonge la dili""hahahah kwamba unawapigia promo wamekupa Tsh 1 kwa kila vipande vyako ulivyonunua kila kimoja Tsh 114?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ndiyo hakuna kitu unajua. Hivi biashara nini??
Au kwa akili zako unafikiri biashara ni kuuza physical goods na kupokea pesa pekee? Hujui kwamba hata kuweka pesa benki ni aina fulani ya biashara?
Eti kuweka pesa UTT siyo biashara, yaani kwa akili hizi za Watanzania taifa hili linasafari ndefu sana. [emoji23][emoji23][emoji23]
Unashindwa kuelezea hadi unatukana,Poor you.Unaelewa jinsi compound interest inavyofanya Kazi? Nilinunua vipande kwa 113tsh nna uwezo wa kuuza anytime nikitaka tena saiv naona Bei ya vipande inapanda. Imefika 114tsh. Akili yako inakutuma kwmb kwa sababu nimenunua tsh 114 na ninapata gawio la tsh 1 kwa Kila kipande basi ni hasara. Unashindwa kuelewa ktk huu mfumo Kuna kununua na kuuza vipande[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Ama kweli Kuna watu mazuzu. Guys elimikeni kwnz kabla hujatokwa na povu. Aibu hii
Halafu pia rejea mada yako kule juu...Ulisema umefanikiwa kupata gawio baada ya kuwekeza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] katikati unaanza kujisemea eti umehifadhi(na unaamua kubishania na watu hapo[emoji23]) Acha janja janja mkuu.Mbona hoja yangu ya kuihifadhi hela ambayo napata faida inapokaa idle huko then baadae nije nifanye biashara mbona unaikwepa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hebu tujadili hii hoja ambayo ndio lengo langu haswaaaa la kuwekeza UTT
km hujui kuhusu utt kaa kmyaaaaKwa nini majina ya ajabu kama vipande. Watu bado wanalea majeraha ya Kalynda, tena anajitokeza mwingine na utapeli. Kwanza hilo jina vipande ni tosha kuanza kuwa na shaka. Ebu tuelrze wenye kampun ni nani na wako wapi, maana wasijekuwa nje ya nchi ambapo hatuwapata wakiisha tuibia. Ukiskia kuna kampuni inalipa riba tosha kwa mwezi juwa uk karibu kuliwa. Watatoa mgao kuhaKIkisha watu wanawaamini. Baadaye watapandisha dau au watu kuongeza dau kwa sababu walikuwa wakipata elfu kumi, ishirini, thelathini. Tukishaanza kuamini tunaamuwa faida ibaki hukohuko ili dau liwe kubwa. Wengine wataongeza mtaji. Kufumba na kufumbua mtaambiwa ofisi zimefungwa, wahusika hawaonekani. CHUNGA SANA.