UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

Soma theories of Wealth creation then urudi hapa

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Narudia tena kusema. Uwekezaji wa aina hii ni kwa ajili ya aina ya watu wasiokuwa na akili za kibiashara.

Kwa watu wenye akili zilizolala uwekezaji huu una faida kwao. Hata akiwekeza miaka 10 au 20 atakachovuna ataona amepata faida kubwa.
Lakini, kwa mtu smart kichwani huu siyo uwekezaji wenye faida.
 
Bado akili itakuwa imelala tu. Hata kama una pesa benki ambayo haina kazi bado ukiwa na akili ndefu utatafuta kitu cha kufanya chenye faida ya maana kuliko hiyo faida ya UTT.
Unafanya biashara, una milioni 500 benki kama akiba. Kwanini usitumie akili kufanya kitu cha maana kuliko kuwekeza UTT??

By the way, kuna disadvantages za kuwekeza kwenye UTT ambazo hamjaziongelea. Mfano, kuna kitu inaitwa inflation risk na pia kuna interest rate risk.

Tusidanganyane, hakuna faida ya asilimia 100 pasipo risk.
Tunaweka UTT ili kuepuka inflation ambayo average last year average ilikuwa 4.5% Last year return ilikuwa 14% hivyo ni uwekezaji salama kabisa ambao uko recommended na wataalam wa Economic na Finance mkuu.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Narudia tena kusema. Uwekezaji wa aina hii ni kwa ajili ya aina ya watu wasiokuwa na akili za kibiashara.

Kwa watu wenye akili zilizolala uwekezaji huu una faida kwao. Hata akiwekeza miaka 10 au 20 atakachovuna ataona amepata faida kubwa.
Lakini, kwa mtu smart kichwani huu siyo uwekezaji wenye faida.
Mkuu huhitaji kuwa smart kwenye investments unahitaji kuwa wise kwenye investments.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Yaani inatia huruma sana!!!

Mfano, kipande kimoja cha UTT ni sh 144. Ukiwa na vipande 50,000 utakuwa umelipia sh 5,700,000 yaani 50,000 X 114 = 5,700,000
Sasa eti unawekeza 5,700,000 halafu unapata faida ya sh 50,000 tu kwa mwezi.
Huu ni ujinga wa kiwango cha standard gauge!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Unaweza andika manamba namba apo unajiona kichwa kumbe wewe ndio mjinga. Kitu pekee unashindwa kuelewa ni kutofautisha biashara na uwekezaji. Kama ukielewa hilo na ukajua namna UTT inafanya kazi njoo hapa uandike comment kama hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado akili itakuwa imelala tu. Hata kama una pesa benki ambayo haina kazi bado ukiwa na akili ndefu utatafuta kitu cha kufanya chenye faida ya maana kuliko hiyo faida ya UTT.
Unafanya biashara, una milioni 500 benki kama akiba. Kwanini usitumie akili kufanya kitu cha maana kuliko kuwekeza UTT??

By the way, kuna disadvantages za kuwekeza kwenye UTT ambazo hamjaziongelea. Mfano, kuna kitu inaitwa inflation risk na pia kuna interest rate risk.

Tusidanganyane, hakuna faida ya asilimia 100 pasipo risk.
Wewe huna pesa na km una pesa basi pesa zako ni za mawazo na kutaka utajiri wa hapo kwa hapo, nenda kaweke 20,000/- Kaylinda wakupige uanze kulialia huku UTT waachie wasiokua na pesa za mawazo wenye malengo ya mda mrefu sio malengo ya mda mfupi

Nitarudi baadae..
 
Hata kama kipande kimoja ni sh 100 bado hiyo ni biashara kichaa.

Kwa mtu mwenye akili ya biashara, milioni 100 unafanya kitu kitakachokuingizia kipato kikubwa mara dufu ya hilo gawio la UTT.

Hii mambo ya UTT ni kwa ajili ya watu wenye pesa wasiokuwa na akili za biashara. Siwalaumu, binadamu tumetofautiana akili.

Kuna sehemu nimeandika nafanya biashara ya UTT? Unafikiria kwa kutumia kiungo Gani?
 
Ndiyo maana nimesema "siwalaumu" maana binadamu tumetofautiana uwezo wa akili.

Na huna haki ya kutulaumu kwa sababu hakuna mtu aliyekuja kukuomba ushauri au hela ya kufanyia biashara. Sasa mandate ya kumlaumu mtu unapatia wapi? Nishasema kule pesa yangu nimehafadhi ili biashara ninayoifanya ikiwa shwari nikaitoea hela then niifanye km ninavyoifanyaga.
 
Wewe bado haujaelewa ila mimi nmeelewa

Yaan ipo hivi ukiondoa pesa zako zooooote ambazo unazo kuna pesa ambayo haina cha kufanyia yaan kwa wafanyabiashara hio ipo, sasa ili hio pesa isiende kukaa bure tu bank ndio unaenda kuiweka UTT ili kila mwezi uingize pesa kuliko kuweka bank tu bure haifanyi kazi yoyote

Hio ni kwa wale wenye pesa zisizo na mawazo wewe km pesa zako za mawazo huwezi maana unawaza kufaidika kesho yaan unawaza uweke million 1 leo alafu kesho uvune billion 1, km ndio wazo lako ni hilo UTT hapakufai

Kwa nilivyomuelewa mdau UTT ni long term investment & wealth creation

Nilipofurahi ni pale aliposema ukiweka 100M unaweza ukaitoka kuanzia miezi 3 na kuendelea ukaachana nao ukaendelea na mambo zako zingine ukitaka tena unaenda tena unaweka hivyo tu, sasa ubaya upo wapi hapo?

Exactly. Hlf hawa binadamu hawaelewi kabisa. Kule nimeweka hela kwa muda ili biashara yangu ninayoifanyaga miaka yote iwe shwari. Then baadae naitoa naenda kuifanyia Kazi. Hlf hela ukishaweka kule unaweza kuitoa baada ya miezi 3. Sasa kuliko hela ikatwe benki nikaona Bora niiweke kule ili angalau iingize chchte. Wanachofikiri hawa ni kwmb nafanya biashara ya UTT[emoji23][emoji23][emoji23]. Kumbe UTT nimehifadhi tu. Ujuaji mwingi.
 
Tatizo siyo usahihi wa taarifa. Tatizo ni hiyo faida inayopatikana. Hiyo faida ni ndogo sana ukilinganisha na kiwango cha pesa unachowekeza.

Hata kama una vipande 1,000,000 bado faida yake haiendani kabisa na kiwango cha pesa utakachokuwa umewekeza.

Mfano, vipande 1,000,000 ikiwa kila kipande utanunua kwa sh 114 ni sawa na uwekezaji wa sh 114,000,000 (milioni mia moja na kumi na nne).

Sasa hebu fikiria, eti, unawekeza milioni 114 halafu unasubiria milioni 1 tu kwa mwezi? Hiyo ni akili au matembele???? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

We jamaa vp. Nani anafanya biashara ya UTT? Huko nishasema nimehifadhi fedha zangu ambapo napata gawio kwa kuhifadhi kwangu huko kuliko kuweka benki. Mbona huelewi aseeee
 
Narudia tena kusema. Uwekezaji wa aina hii ni kwa ajili ya aina ya watu wasiokuwa na akili za kibiashara.

Kwa watu wenye akili zilizolala uwekezaji huu una faida kwao. Hata akiwekeza miaka 10 au 20 atakachovuna ataona amepata faida kubwa.
Lakini, kwa mtu smart kichwani huu siyo uwekezaji wenye faida.

Kwa mfano Kuna mtu amewekeza kwa miezi 6 sh 80m pekee then ataenda kuichukua hela yake aipeleke kwny biashara yake. Huyu mtu atalamba gawio la tsh laki saba na ushee kwa mwezi mara miezi 6 atalamba m4.2 huku akiwa amelala tu. Nmb bank fixed deposit wanatoa m1.4 kwa hiyo hela na hiyo miezi. Hivi hata kwa akili ya kawaida huoni kwmb UTT ni sehemu ya maana haswaaa? Elewa kwmb watu hawafanyi biashara ya UTT isipokua wanahifadhi hela zao wakisoma ramani za biashara zao huku wakipata faida na mm ndicho nilichomaanisha kwny post yangu. Mbona hii kitu mm naona iko wazi na inaeleweka vzr tu. Shida iko wapi kaka?
 
We jamaa vp. Nani anafanya biashara ya UTT? Huko nishasema nimehifadhi fedha zangu ambapo napata gawio kwa kuhifadhi kwangu huko kuliko kuweka benki. Mbona huelewi aseeee
Wewe ndiyo hakuna kitu unajua. Hivi biashara nini??
Au kwa akili zako unafikiri biashara ni kuuza physical goods na kupokea pesa pekee? Hujui kwamba hata kuweka pesa benki ni aina fulani ya biashara?

Eti kuweka pesa UTT siyo biashara, yaani kwa akili hizi za Watanzania taifa hili linasafari ndefu sana. 😂😂😂
 
We jamaa vp. Nani anafanya biashara ya UTT? Huko nishasema nimehifadhi fedha zangu ambapo napata gawio kwa kuhifadhi kwangu huko kuliko kuweka benki. Mbona huelewi aseeee
Sasa kama unahifadhi huko, Kwanini uje kutuambi """___ni bonge la dili""hahahah kwamba unawapigia promo wamekupa Tsh 1 kwa kila vipande vyako ulivyonunua kila kimoja Tsh 114?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe ndiyo hakuna kitu unajua. Hivi biashara nini??
Au kwa akili zako unafikiri biashara ni kuuza physical goods na kupokea pesa pekee? Hujui kwamba hata kuweka pesa benki ni aina fulani ya biashara?

Eti kuweka pesa UTT siyo biashara, yaani kwa akili hizi za Watanzania taifa hili linasafari ndefu sana. [emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa mtazamo wako ww biashara na investment ndo viko sawa. Ni ww. Sishangai na wala sikulazimishi ukubaliane na mm. Baki na unachokielewa na mm nabaki ninachokielewa. Nimeshafannya sana biashara a naendelea kuzifanya. As long asa niko kwny right track no prob[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Sasa kama unahifadhi huko, Kwanini uje kutuambi """___ni bonge la dili""hahahah kwamba unawapigia promo wamekupa Tsh 1 kwa kila vipande vyako ulivyonunua kila kimoja Tsh 114?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Unaelewa jinsi compound interest inavyofanya Kazi? Nilinunua vipande kwa 113tsh nna uwezo wa kuuza anytime nikitaka tena saiv naona Bei ya vipande inapanda. Imefika 114tsh. Akili yako inakutuma kwmb kwa sababu nimenunua tsh 114 na ninapata gawio la tsh 1 kwa Kila kipande basi ni hasara. Unashindwa kuelewa ktk huu mfumo Kuna kununua na kuuza vipande[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Ama kweli Kuna watu mazuzu. Guys elimikeni kwnz kabla hujatokwa na povu. Aibu hii
 
Wewe ndiyo hakuna kitu unajua. Hivi biashara nini??
Au kwa akili zako unafikiri biashara ni kuuza physical goods na kupokea pesa pekee? Hujui kwamba hata kuweka pesa benki ni aina fulani ya biashara?

Eti kuweka pesa UTT siyo biashara, yaani kwa akili hizi za Watanzania taifa hili linasafari ndefu sana. [emoji23][emoji23][emoji23]

Mbona hoja yangu ya kuihifadhi hela ambayo napata faida inapokaa idle huko then baadae nije nifanye biashara mbona unaikwepa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hebu tujadili hii hoja ambayo ndio lengo langu haswaaaa la kuwekeza UTT
 
Unaelewa jinsi compound interest inavyofanya Kazi? Nilinunua vipande kwa 113tsh nna uwezo wa kuuza anytime nikitaka tena saiv naona Bei ya vipande inapanda. Imefika 114tsh. Akili yako inakutuma kwmb kwa sababu nimenunua tsh 114 na ninapata gawio la tsh 1 kwa Kila kipande basi ni hasara. Unashindwa kuelewa ktk huu mfumo Kuna kununua na kuuza vipande[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Ama kweli Kuna watu mazuzu. Guys elimikeni kwnz kabla hujatokwa na povu. Aibu hii
Unashindwa kuelezea hadi unatukana,Poor you.
 
Mbona hoja yangu ya kuihifadhi hela ambayo napata faida inapokaa idle huko then baadae nije nifanye biashara mbona unaikwepa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hebu tujadili hii hoja ambayo ndio lengo langu haswaaaa la kuwekeza UTT
Halafu pia rejea mada yako kule juu...Ulisema umefanikiwa kupata gawio baada ya kuwekeza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] katikati unaanza kujisemea eti umehifadhi(na unaamua kubishania na watu hapo[emoji23]) Acha janja janja mkuu.

Rejea andiko lako huko. Au umesahau maneno yako? Ama hata kuEdit huko juu hujui?![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Poor you.
 
Kwa nini majina ya ajabu kama vipande. Watu bado wanalea majeraha ya Kalynda, tena anajitokeza mwingine na utapeli. Kwanza hilo jina vipande ni tosha kuanza kuwa na shaka. Ebu tuelrze wenye kampun ni nani na wako wapi, maana wasijekuwa nje ya nchi ambapo hatuwapata wakiisha tuibia. Ukiskia kuna kampuni inalipa riba tosha kwa mwezi juwa uk karibu kuliwa. Watatoa mgao kuhaKIkisha watu wanawaamini. Baadaye watapandisha dau au watu kuongeza dau kwa sababu walikuwa wakipata elfu kumi, ishirini, thelathini. Tukishaanza kuamini tunaamuwa faida ibaki hukohuko ili dau liwe kubwa. Wengine wataongeza mtaji. Kufumba na kufumbua mtaambiwa ofisi zimefungwa, wahusika hawaonekani. CHUNGA SANA.
km hujui kuhusu utt kaa kmyaaaa
 
Back
Top Bottom