TRANSPONDER
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 400
- 993
Since nimejiunga UTT nimegundua kitu.... wanaosupport idea hii ni watu wenye vipato vikubwa na elimu ya fedha..... wanaodiss ni watu wa kipato cha chini na wasiojielewa kifedha.... hivyo basi nimechagua kukaa kimya.... nitaendelea kuwashirikisha mambo ya maendeleo watu wenye fedha tu.....