UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

Since nimejiunga UTT nimegundua kitu.... wanaosupport idea hii ni watu wenye vipato vikubwa na elimu ya fedha..... wanaodiss ni watu wa kipato cha chini na wasiojielewa kifedha.... hivyo basi nimechagua kukaa kimya.... nitaendelea kuwashirikisha mambo ya maendeleo watu wenye fedha tu.....
Ni kweli kabisa
 
Kuhusu hili uko wrong. UTT kiukweli sio kwa ajili ya wafanyabiashara bali kwa wawekezaji. Kuna kitu kinaitwa compounding kinafanya maajabu hapa ukiweka hela ambayo hauigusi kwa miaka mingi. Niliweka liquid 10m miaka mitano iliyopita sasa hivi inasoma 17,623,416.83

So wewe kama ni mfanyabiashara upo sahihi kuona faida yake ni ndogo. Ila kwa mfanyakazi ambaye anategemea mshahara hili ndio njia sahihi kwake. Hapa hata wanaojenga nyumba za kupangisha hawafikii manufaa ya UTT.
Hata ukiwaeleza hawawezi kukuelewa kwa kuwa hawako tayari kuelewa
 
Shida watu hawana hela. Pia hawana vyanzo vingi vya uhakika vya hela. Lzm wadiss UTT
..mkuu nadhani tunahitaji kuelimishana sana kwenye mambo ya investment..ninamfahamu mzee mmoja ambaye amekuwa akiwekeza kwenye Gov bonds kwa miaka kadhaa amefikia kupata kila mwezi zaidi ya 15miln kama gawio lake...yaani hiyo 15m per month inaingia tu bila yeye kugombana na mtu wala kutoka jasho..ninaelewa pia kuna wafanyabiashara wanatengeneza zaidi ya hiyo pesa per month but labda sio wengi na labda pia wanatengeneza baada ya purukushani nyingi na hata kukwepa kodi.

...ni vizuri tukaendelea kufundishana kuhusu investment na money market funds...busness huchanua sana na pia nyingi hufa sana baada ya muda fulani..sasa wakati busness ikiwa imechanua sana ni muhimu pesa inayopatikana ikawekezwa kwenye investment as investment huwa zinakaa sana eg kuna migahawa, maduka ya nguo, sehemu za starehe zilivuma sana na wamiliki kupata pesa sana but baada ya muda zikapoteza umaarufu na wamiliki kufilisika kabisa sababu walifanya biashara tu bila investment...hata wasanii na wenye vipaji kama futballers wanapitia same cycle ya kuwa na pesa nyingi but no investments na matokeo tunayaona.

Tuendelee kupeana hii elimu zaidi.
 
Shida watu hawana hela. Pia hawana vyanzo vingi vya uhakika vya hela. Lzm wadiss UTT
UTT ni kitu inafanyika sana hata kwa wenzetu ,na watu wanatengeneza pesa nzuri tu ,mfano mtu ameweka milioni 500 , hiyo pesa annually ana pesa yake ndefu tu ,tena bila shida ,mistake tunayofanya wabongo ni kuamini kwamba ukiwa na kibiashara kina kuletea faida basi itakuwa hivyo hivyo kila siku ,hii mistake ni hatari ,kuna watu walikuwa na billions of tshs na biashara kubwa tu na miradi yao ila leo wamefilisika na wengine wamerudi zero , sababu hawakufanya investment .
Na investment ni risk hedge kama mambo yakienda vibaya na biashara nyingi Tanzania hii hazimalizi miaka 10 zinakuwa zimefilisika , vibiashara vingi vya kuiganya tu humu bongo so survival rate ni ndogo mno , so unaweza kuwa na biashara unapata faida ila jua kuna booms and busts na ni wachache wanaochomoka kwenye huo mtego .
Na pia si kila mtu anaweza fanya biashara ,wengine personal characters zao tu haiwaruhusu ,so ni vizuri ni kuwekeza ,mtu anaweza kuwa muwekezaji na si mfanyabiashara na akawa tajiri mkubwa tu ,huko kwa wenzetu mtu kama Warren buffet Yule ni mwekezaji na si mfanyabiashara ila ni billionaire Kwa sasa
 
Inategemea una vipande vingapi. Huu mfuko minimum ni vipande 88,394. So chukua sh 1 X 88,394 vipande....unapata sh ngapi. Kuna watu wanavipande mpk 100,000,000. Fatilia bro usikurupuke
Bei ya kununua kipande ni shl. Ngapi? Ili upate gawio la shl.1 kwa kila kipande
 
UTT ni kitu inafanyika sana hata kwa wenzetu ,na watu wanatengeneza pesa nzuri tu ,mfano mtu ameweka milioni 500 , hiyo pesa annually ana pesa yake ndefu tu ,tena bila shida ,mistake tunayofanya wabongo ni kuamini kwamba ukiwa na kibiashara kina kuletea faida basi itakuwa hivyo hivyo kila siku ,hii mistake ni hatari ,kuna watu walikuwa na billions of tshs na biashara kubwa tu na miradi yao ila leo wamefilisika na wengine wamerudi zero , sababu hawakufanya investment .
Na investment ni risk hedge kama mambo yakienda vibaya na biashara nyingi Tanzania hii hazimalizi miaka 10 zinakuwa zimefilisika , vibiashara vingi vya kuiganya tu humu bongo so survival rate ni ndogo mno , so unaweza kuwa na biashara unapata faida ila jua kuna booms and busts na ni wachache wanaochomoka kwenye huo mtego .
Na pia si kila mtu anaweza fanya biashara ,wengine personal characters zao tu haiwaruhusu ,so ni vizuri ni kuwekeza ,mtu anaweza kuwa muwekezaji na si mfanyabiashara na akawa tajiri mkubwa tu ,huko kwa wenzetu mtu kama Warren buffet Yule ni mwekezaji na si mfanyabiashara ila ni billionaire Kwa sasa

N kwel kabsa
Umenena vyema . Je unaweza kufanya bznes na uka maintain for 10yrs...?? Km no Au hujui Bas wekeza hyo pesa achana na bznes
 
..mkuu nadhani tunahitaji kuelimishana sana kwenye mambo ya investment..ninamfahamu mzee mmoja ambaye amekuwa akiwekeza kwenye Gov bonds kwa miaka kadhaa amefikia kupata kila mwezi zaidi ya 15miln kama gawio lake...yaani hiyo 15m per month inaingia tu bila yeye kugombana na mtu wala kutoka jasho..ninaelewa pia kuna wafanyabiashara wanatengeneza zaidi ya hiyo pesa per month but labda sio wengi na labda pia wanatengeneza baada ya purukushani nyingi na hata kukwepa kodi.

...ni vizuri tukaendelea kufundishana kuhusu investment na money market funds...busness huchanua sana na pia nyingi hufa sana baada ya muda fulani..sasa wakati busness ikiwa imechanua sana ni muhimu pesa inayopatikana ikawekezwa kwenye investment as investment huwa zinakaa sana eg kuna migahawa, maduka ya nguo, sehemu za starehe zilivuma sana na wamiliki kupata pesa sana but baada ya muda zikapoteza umaarufu na wamiliki kufilisika kabisa sababu walifanya biashara tu bila investment...hata wasanii na wenye vipaji kama futballers wanapitia same cycle ya kuwa na pesa nyingi but no investments na matokeo tunayaona.

Tuendelee kupeana hii elimu zaidi.

Shida inakuja watu hawataki kusikia maswala ya investment. Yaani ujuaji ni mwingi kupita maelezo kiasi kwamb mtu unakua discouraged kutoa unachokijua na kuwaacha wanachokiamini. Hawa watu wanashindwa kuelewa huyu mtu amepata wapi hela ya kui invest UTT na kupata gawio la kila mwezi na tukumbuke ili upate gawio la kila mwezi lzm uwekeze above 10 Milioni. Sasa hawa wanashindwa hata kujiuliza hivi 10m and above mtu ameitoa wapi km sio ni mfanya biashara? So unabaki kuwaacha na ujinga wao kichwani
 
UTT ni kitu inafanyika sana hata kwa wenzetu ,na watu wanatengeneza pesa nzuri tu ,mfano mtu ameweka milioni 500 , hiyo pesa annually ana pesa yake ndefu tu ,tena bila shida ,mistake tunayofanya wabongo ni kuamini kwamba ukiwa na kibiashara kina kuletea faida basi itakuwa hivyo hivyo kila siku ,hii mistake ni hatari ,kuna watu walikuwa na billions of tshs na biashara kubwa tu na miradi yao ila leo wamefilisika na wengine wamerudi zero , sababu hawakufanya investment .
Na investment ni risk hedge kama mambo yakienda vibaya na biashara nyingi Tanzania hii hazimalizi miaka 10 zinakuwa zimefilisika , vibiashara vingi vya kuiganya tu humu bongo so survival rate ni ndogo mno , so unaweza kuwa na biashara unapata faida ila jua kuna booms and busts na ni wachache wanaochomoka kwenye huo mtego .
Na pia si kila mtu anaweza fanya biashara ,wengine personal characters zao tu haiwaruhusu ,so ni vizuri ni kuwekeza ,mtu anaweza kuwa muwekezaji na si mfanyabiashara na akawa tajiri mkubwa tu ,huko kwa wenzetu mtu kama Warren buffet Yule ni mwekezaji na si mfanyabiashara ila ni billionaire Kwa sasa

Mm nafanya biashara tofauti 5 lkn hakuna biashara hata moja inayoenda smooth. Ni changamoto kiasi kwmb unaweza kulia km una roho ndogo
 
Je value of money ivested in UTT inaendana na return inayotolewa? Pia how about other factors kama inflation tunayoiona Tanzania kwa kipindi hiki, matokeo yake ni depreciation. Huoni kama mfano umewekeza million 10 kwa miaka kadhaa, na unapata return ya 11% kwa mwaka. Katika swala la depretion huoni kama inflation na value of money havitoendana pale utakapoitoa. Hela ya baadae haiwezi kuwa na thamani ya hela amayo ungekuwa nayo leo. .
Mtazamo tu, nakubali kukosolewa. .
Investor 1
Thabit Karim
Imetimia miezi sita toka niulize hili swali I have seen you guys arguing here ila swali langu mmeliruka kama hamjaliona😃 we are here to learn not to argue unnecessarily. Anyway
MV5BMGFhOGVlNGUtZTY4NC00YjZmLWEzNTQtMDEwMjA3MmJiNmYzXkEyXkFqcGdeQVRoaXJkUGFydHlJbmdlc3Rpb25Xb3...jpg
 
Nafanya makosa kuongea na mtu ambae hata account number ya UTT hana plus sio mwanachama. Nakosea sana. Tunaongea nn. Nakuelewesha nn wkt hujui A wala B kuhusu UTT
Naomba kujua utaratibu wa kujiunga ukoje chief
Utt amis kwa ninavyoona Mimi Ni chaguo sahihi imagine Kila mwezi unapata hata Kama Ni elfu kumi ambayo iko secured na pia primary investment iko safe utajiri hauji kwa siku moja na Ni tabia pia ukiwaza Sana kuipata hela kwa pamoja kwa haraka ujue pia unakaribisha risks za kuipoteza pia
 
Naomba kujua utaratibu wa kujiunga ukoje chief
Utt amis kwa ninavyoona Mimi Ni chaguo sahihi imagine Kila mwezi unapata hata Kama Ni elfu kumi ambayo iko secured na pia primary investment iko safe utajiri hauji kwa siku moja na Ni tabia pia ukiwaza Sana kuipata hela kwa pamoja kwa haraka ujue pia unakaribisha risks za kuipoteza pia
Niliweka 20 million fixed deposit I&M bank in 2017. Nilikuw napata 2M per year. Kesho ngoja nitafute form nikutumie PM
It's loss achana nayo. Kuna swali nimemukiza Thabit hajanijib mpaka leo. Ten million uweke kwa 10 years au mpaka ustaafu hata kama itaongezeka ukijumlisha na inflation Je thaman ya hela yako itakuwepo?

Unajua 10 million today is worth more than 10 million tomorrow. Wana finance wanaelewa hii Na ukuaji wa Tsh 1 ni mdogo mno. .

Samahani kama nitakuudhi Niko radhi kukosolewa
 
Naomba kujua utaratibu wa kujiunga ukoje chief
Utt amis kwa ninavyoona Mimi Ni chaguo sahihi imagine Kila mwezi unapata hata Kama Ni elfu kumi ambayo iko secured na pia primary investment iko safe utajiri hauji kwa siku moja na Ni tabia pia ukiwaza Sana kuipata hela kwa pamoja kwa haraka ujue pia unakaribisha risks za kuipoteza pia
Niliweka 20 million fixed deposit I&M bank in 2017. Nilikuw napata 2M per year. Kesho ngoja nitafute form nikutumie PM
It's loss achana nayo. Kuna swali nimemukiza Thabit hajanijib mpaka leo. Ten million uweke kwa 10 years au mpaka ustaafu hata kama itaongezeka ukijumlisha na inflation Je thaman ya hela yako itakuwepo?

Unajua 10 million today is worth more than 10 million tomorrow. Wana finance wanaelewa hii Na ukuaji wa Tsh 1 ni mdogo mno. .

Samahani kama nitakuudhi Niko radhi kukosolewa
 
Back
Top Bottom