TRANSPONDER
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 400
- 993
Mwenye kujenga nyumba ya 100m anapata kodi kubwa sana 600k. Huyo naye amewekeza.
Ila utt. Kawekeza tu kwa mwaka same amount anapata 800k nani hajitambui?
Mwekezaji kwenye nyumba hawezi akachukua 25m nakuzungusha hela yake na kuirudisha kwenye uwekezaji wake wa awali, utt anaweza.
Wawekezaji wa utt wa risk free, chao ni uhakika kama kufa. Nyumba inapitia mengi mpangaji kachelewa kuingia, anaomba kushushiwa kodi, majanga ya moto na mengineyo.
Kwenye nyumba huwezi kufanya maboresho madogo madogo yenye thamani ndogo kama 10,00 yakaongeza kod ( faida) ila kwenye utt unaweza unaweza ukajazia na faida ikaongezeka
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Since nimejiunga UTT nimegundua kitu.... wanaosupport idea hii ni watu wenye vipato vikubwa na elimu ya fedha..... wanaodiss ni watu wa kipato cha chini na wasiojielewa kifedha.... hivyo basi nimechagua kukaa kimya.... nitaendelea kuwashirikisha mambo ya maendeleo watu wenye fedha tu.....
Huu muda wa kubishana na watu hivi kuhusu UTT unaupata wapi ndugu?Hujui hata lengo la watu kuweka hela kule. Wengi wanaweka km kuhifadhi wkt ramani za biashara zao zikiwa hazisomi vzr. Hata mm nimeweka kule kwa lengo Hilo. Biashara yangu ikiwa poa natoa naenda kufanya km kawaida yangu. Acheni ujuaji. Huko ulikowekeza ww unapata faida hata huku watu walipowekeza wanapata faida iwe ndogo au kubwa ni juu yetu. Kwnz mtu akiwekeza UTT hasa bond fund huyo lzm atakua na hela. Jiulize hizo alizokusanya mpk kwenda kuwekeza alizipata huko UTT?
Nimemwambia naona mdau mmoja hapo juu ananipinga, hya wewe unaepinga tupe uhalisia basi
Humu wamejaa wafanyakazi wa UTT wakiwadanganya watuNimemwambia naona mdau mmoja hapo juu ananipinga, hya wewe unaepinga tupe uhalisia basi
Ukweli mtupu,Since nimejiunga UTT nimegundua kitu.... wanaosupport idea hii ni watu wenye vipato vikubwa na elimu ya fedha..... wanaodiss ni watu wa kipato cha chini na wasiojielewa kifedha.... hivyo basi nimechagua kukaa kimya.... nitaendelea kuwashirikisha mambo ya maendeleo watu wenye fedha tu.....
Kuhusu hili uko wrong. UTT kiukweli sio kwa ajili ya wafanyabiashara bali kwa wawekezaji. Kuna kitu kinaitwa compounding kinafanya maajabu hapa ukiweka hela ambayo hauigusi kwa miaka mingi. Niliweka liquid 10m miaka mitano iliyopita sasa hivi inasoma 17,623,416.83Humu wamejaa wafanyakazi wa UTT wakiwadanganya watu
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mm naomba kufahamu inahusiana na Nini japo ela ya kuweka huko Sina nijifunze tu naona ni kitu kigeni kukisikiaSince nimejiunga UTT nimegundua kitu.... wanaosupport idea hii ni watu wenye vipato vikubwa na elimu ya fedha..... wanaodiss ni watu wa kipato cha chini na wasiojielewa kifedha.... hivyo basi nimechagua kukaa kimya.... nitaendelea kuwashirikisha mambo ya maendeleo watu wenye fedha tu.....
Nenda YouTube utapata video mingi mingi. Usisahau kuleta mrejesho hapa piaMm naomba kufahamu inahusiana na Nini japo ela ya kuweka huko Sina nijifunze tu naona ni kitu kigeni kukisikia
Humu wamejaa wafanyakazi wa UTT wakiwadanganya watu
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Uko sahihi kabisa.Since nimejiunga UTT nimegundua kitu.... wanaosupport idea hii ni watu wenye vipato vikubwa na elimu ya fedha..... wanaodiss ni watu wa kipato cha chini na wasiojielewa kifedha.... hivyo basi nimechagua kukaa kimya.... nitaendelea kuwashirikisha mambo ya maendeleo watu wenye fedha tu.....
Ndugu wapendwa wawekezaji kama mm jana mwaka Jana kuna mfuko mwingne unaiitwa FAIDA FUND upo chin ya watumish housings
Malengo na madhumuni ya mfuko huu n kama ule wa LIQUID FUND (UTT)
Kwa wanao ufaham plz embu tuelezen je na wenyewe n mzuri kwa kuwekeza ukizangatia huu bado mchanga tofaut na UTT
mawazo yenu na ufafanuzi plz wapendwa [emoji23]
Ndugu wapendwa wawekezaji kama mm jana mwaka Jana kuna mfuko mwingne unaiitwa FAIDA FUND upo chin ya watumish housings
Malengo na madhumuni ya mfuko huu n kama ule wa LIQUID FUND (UTT)
Kwa wanao ufaham plz embu tuelezen je na wenyewe n mzuri kwa kuwekeza ukizangatia huu bado mchanga tofaut na UTT
mawazo yenu na ufafanuzi plz wapendwa [emoji23]
Opinion